Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tz tuna kaz kwelikweli, naona infrastructures zilizopo, soon zitalemewa
Screenshot_20211118-164031.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20211118-164031.jpg
    Screenshot_20211118-164031.jpg
    50.4 KB · Views: 22
[emoji3516][emoji3516][emoji3516]Naona wamewasahau Wazee wa GDP kubwa entire EAC, ngoja niwasiliaane na UNDESA[emoji16][emoji16]
 
Wacha tu nikufurahishe.
40% of 55m is 22m. Swali bado inabaki pale pale: kati ya 22m na 28m gani nyingi?

Mtatafuta kila aina ya kisingizio a vijisababu lakini number bado mtasoma
Onesha mahali kuna maskini wa Tz anakufa njaa nikuoneshe maelfu ya Wakenya waliokufa njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii picha inanisikitisha sana tena sana kweli tz tumejaliwa viongozi vipofu na wapumbavu
[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061]
JamiiForums1001018487.jpg
 
Danganyikans are generally stupid. Even in the face of death like Magufuli, wanaamua kua tu wajinga. Maji maji rebellion the same, unaamini uchawi unakufa risasi. Magufuli unaamini dawa za kienyeji unakufa corona. Plain and simple.
Marehemu kakufanyia nini wewe kila saa kumtajataja mwache apumzike kwa amani mkuu.
 
Back
Top Bottom