Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Mkuu dadavua inbox ili na mimi nieleweMtu alikuwa nusu kaputi kwa ajili ya matibabu kikao kichafu kikafanyika ,wahuni wakamaliza kazi ,mimi sita acha kumlaani mkuu wa majeshi hata siku moja
Mkuu dadavua inbox ili na mimi nieleweMtu alikuwa nusu kaputi kwa ajili ya matibabu kikao kichafu kikafanyika ,wahuni wakamaliza kazi ,mimi sita acha kumlaani mkuu wa majeshi hata siku moja
Nyingine hii hapa iko kwenye mpangoView attachment 2015709
Roho inaniuma sn sema basi tu, wacha niachane na hizi habari, gud night to u all.
Nani kakuambia kuna mgao wa umeme, muulize mwalimu MK254 anaishi Tz miaka nenda rudi ataki kurudi huko, muulize kuhusu mgao akuambie.
We shoooga unamuuliza nani ilo swali? kamuulize mkeo mjambiani na wapumbaavu wenzako ,sisi siyo mazuzuHivi miradi ya Kinyerezi ya gas to power generation iliishia wapi?
Siku Hizi ndo mnamsimanga Geza namna hii? 😂😂😂We shoooga unamuuliza nani ilo swali? kamuulize mkeo mjambiani na wapumbaavu wenzako ,sisi siyo mazuzu
Umeme hautoshi halafu wantuletea porojo za uwekezaji. Hao wawekezaji wataendesha mitambo na mishumaa. ....mxmView attachment 2015546![]()
Egyptian firm to invest Sh460 billion in Kigamboni Industrial Park
Egyptian multinational company firm, Elsewedy Electric is planning to invest $200 million (about Sh460 billion) in the first phase of the Kigamboni Industrial Park, thanks to the favourable...www.thecitizen.co.tz
Kwa kawaida, operation kubwa huanza na ganzi, or sindano ya nusu kaputi kumlaza mgonjwa nusu-kifo au hili na lile kumtayarisha mlengwa kisaikolojia.
Je, ni kweli ndicho wanacholenga kufanya??
View attachment 2015845View attachment 2015846
![]()
Safari ya Egypt kwa Mkandarasi mkuu, mgao wa ajabu wa umeme na maji
Kwa kawaida, operation kubwa huanza na ganzi, or sindano ya nusu kaputi kumlaza mgonjwa nusu-kifo au hili na lile kumtayarisha mlengwa kisaikolojia. Je, ni kweli ndicho wanacholenga kufanya??www.jamiiforums.com
Kwani hawana wind,geo, solar and thermal electricity?![]()
Watanzania mnalo! Jua na joto kali, mgao wa maji na sasa mgao wa umeme
Poleni sana, halafu kwa namna huwa mnabanana kwenye madaladala, mbona mnalo. Tanzanians should brace for more pains as power rationing looms after Tanzania Electric Supply Company Limited (Tanesco) revealed that water levels in many of their dams have reduced. According to a statement issued...www.jamiiforums.com