Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Idea nzuri 👏👏👏👏
Sitashangaa kampeni zijazo hili suala likawa agenda....Hii nchi haina mifumo thabiti kila kitu Ni siasa

Tatizo wanafanya siasa, kama kweli wako serious wanatakiwa kuondoa mabango yote yaliyo katikaki ya barabara, malori na magari yanayo paki hovyo hovyo kando ya barabara
 
dakika ya 20 tu
vs
IMG_2529.jpg

giphy.gif

nitarud hapa fulltime
 
Baba yao naomba utuletee ushahidi wa Wakenya wakijisifu humu ndani kwamba wanakuwa kwa 7%, mm nilikuwa najua fika kwamba Kenya uchumi wake upo kwenye negative lkn humu hawa mbwa waongo waongo wakiongozwa na Teargas wakawa wanajisifia eti uchumi wao unakuwa kuliko nchi zote EA alafu na cc tukawa tumekausha tu, Watz tuwe makini na hawa watu.
Natafakari kanin GDP yao iliendelea kukua wakati walikuwa kwa negative?....ndiomana manamba yao ya GDP haya copy with reality
 
Anayosema mengi ya ukweli yako wapi hayo mengi anayosema, infact humu ndani Watz walio wengi including me tunashindwa kumuelewa mana anaonesha tabia za wanasiasa wa bongo ambayo ni tabia iliyoongelewa vzr sn na Mwl. Nyerere.

Humu watu hatumpingi lkn asituone wajinga tunapomkumbusha kauli zake juu ya JPM, kama ulikuwa unasifia zen baada ya mambo kubadilika umeanza kuponda inatakiwa utoe taarifa kwamba jamani eehh nilikuwa nakosea kusema vile samahani jamani ukweli ni huu, Mana lengo la kuwa humu ni kupeana taarifa hata kama una uhuru wa kuongea unachotaka lkn juwa kwamba huongei peke yako humu.

So unafki co mzr, asilimia kubwa humu watu wameelimika usidhani kwamba hatukumbuki, kwa hyo inabidi ajitathmini kwanza Mana humu hajiabarishi yeye mwenyewe.
Natafakari tu kwa sauti ivi mfano raisi asinge kuwa mwenda zake, let say mzee wa mvii angechukua...ivi kuna asilimia ngapi huu uzi ungefunguliwa .....je tunge sustain kucompete na hawa jamaa ?given a fact tulikuw tunampango wa kujenga lireli kama lao?
 
Natafakari kanin GDP yao iliendelea kukua wakati walikuwa kwa negative?....ndiomana manamba yao ya GDP haya copy with reality
Tony254 njoo utufafanulie kuhusu uchumi wenu maana wengi hatuelewi, inakuwaje mna GPD ya $100 wakati mnashindwa hata kugharimia mradi wa $200m, wenyewe? Wakati sisi tunafanya miradi ya zaidi ya $2b kwa pesa zetu.
 
Hivi shuleni mlifundishwa 696 ni kubwa kuliko 1590 vileee View attachment 1983447View attachment 1983449
But nairobaa is also about its metropolitan area, i mean the likes of kiambu, ruiru, machakos, kiserian, kitengela, athi river, ngong, kikuyu, ruai, limuru and so on... all cummulatively having an area of more than 2,000km sq and with a population of more than 10m. Its only that nairobi territory as a city has never been revised ever since the colonial period
 
Yaani Arusha haipo top 5 na zaidi ya 70% ya watalii wanaokuja Tanzania hupita pale! Ukiacha International offices presence African Court, EAC n PAPU? Nadhani kuna walakini kwenye hizo statistics!
Walakini kivipi? Kwa hiyo tufuate hisia zako sio facts kutoka NBS? Ndio ukweli wenyewe huo ,mambo yanabadilika kwa kasi sana.
 
But nairobaa is also about its metropolitan area, i mean the likes of kiambu, ruiru, machakos, kiserian, kitengela, athi river, ngong, kikuyu, ruai, limuru and so on... all cummulatively having an area of more than 2,000km sq and with a population of more than 10m. Its only that nairobi territory as a city has never been revised ever since the colonial period
If there's any major city on planet earth that stands only alone as 'City Proper' and without its Satelite towns or metropolitan area, or borough, or cornubation, it shall be the one and only Dar Slum
 
Ukiambiwa ulete ushahidi utaweza?akuna anae pinga mapungufu yake,
Kwahiyo Magufuli hakuamuru Tundu Lissu, Ben Saanane na Azory Gwamba wapotezwe?

Na hili swali hujajibu ila upo busy kunitukana humu ndani!

Mbuga ya wanyama ilianzishwa unauhakika? Unamanish haikuwepo?
 
Katiba inataka kulinda kila mwananchi sasa yeye kuzuia uchunguzi wa hawa watatu ina maana kahusika! Kingine fuatilia kesi ya Sabaya ujue "maelekezo/amri toka juu" inamaanisha nn!
Kwaiyo kwa ushaidu huu , jpm ndio muuwaji?
 
Tatizo wanafanya siasa, kama kweli wako serious wanatakiwa kuondoa mabango yote yaliyo katikaki ya barabara, malori na magari yanayo paki hovyo hovyo kando ya barabara

Kweli mzee wanawaonea tuu mamachinga ukienda mjini kariakoo watu wanapaki hovyo , malori ndio usiseme hapo jangwanii
 
Back
Top Bottom