Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza kwa kuwa tu na iyo mentle ya mshahara ni tatizo...pili naona umetumia mshahara wako kujipima sio mbaya pambana
Naona umeshindw apa kutokea sasa wajifariji
Mwenzako kawekeza we keti hapo tu ukipiga kelele, au unafikiria mjini watu hawamiliki matatu hata za kurithi
 
Mbna nyie hela yenu ya TRA hamgawii watu mwisho mnaenda kuzitumia kinyuma na sheria kununua mimdege ili muipaki JNIA

IMG_5032.jpg
 
Burundi ni nchi ya Tanzania iliyopo nje ya mipaka yetu (joking)
Nilikua nasoma chuo flani nchi flani na Mburundi mmoja, alikiuaa anaipenda bongo achaaa, hadi mi mwenyewe najitaathmini kama mbongo, kulikua na hall kubwa kila mtu anachora na kuandika kitu chochote cha nchi yake, Jamaa ye alichora Ramani ya TANZANIA na bendera .
 
Yaani Arusha haipo top 5 na zaidi ya 70% ya watalii wanaokuja Tanzania hupita pale! Nadhani kuna walakini kwenye hizo statistics!
Pengine hakuna walakini pale. Pengine Arusha haina industries nyingine isipokuwa utalii pekee. Ilhali maeneo mengine yanategemea industries na sectors nyingi tu. Halafu hata hio sekta ya utalii utakuta Arusha inawagana watalii na Zanzibar. Sio kwamba watalii wote wanakwenda Arusha.
 
Hivi huo uchumi wenu wa $100B uko wapi?
Tony254
Yaani mwanabiashara akikata pipe ya maji bahati mbaya unakuta mtu anaanza kuuliza kama Gdp ya Kenya kweli ni ya $100 billion. Mnashangaza sana. Ni kama kuwa na uchumi mkubwa kunazuia makosa madogo kama haya kufanyika.
 
Mbna nyie hela yenu ya TRA hamgawii watu mwisho mnaenda kuzitumia kinyuma na sheria kununua mimdege ili muipaki JNIA
nyie wakenya mbona hamueleweki,kioindi cha nyuma wakati hatuna ndege mlitukashfu kwa maneno kuwa hatuna ndege,sasa hivi tunanunua ndege zetu kwa pesa zetu unaanza ooh mnanunua mindege ili muipaki JNIA,

kipi unachotaka sasa maana haueleweki?
 
Mimi nilitegemea mtushinde angalau kwenye kandanda maana huwa tumelegea sana upande huo. Au basi hata mngetushinda kwenye rugby maana rugby huwa inataka mijitu yenye miraba minne iliyokula na kujishibia na kuvimbiwa. Nyinyi huwa mnajidai mna chakula kwa wingi na sisi tunakufa njaa. Sasa iweje watu kama sisi tunaokufa njaa ndio angalau tunajaribu kucheza rugby ila nyie mijitu yenye miraba minne mliokula na kujishibia bado mnashindwa kucheza mchezo huu? Mnakula sana ili iweje? Itakuwa mnakula na kukunya tu bila kutumia nguvu hio kwenye mambo ya maana.
Tazama wazee wa kazi waliposhinda Singapore 7s mwaka wa 2016 kwa kushinda kila mtu uwanjani.

View attachment 1982069



View attachment 1982070

Kazi yenu ni kukula na kukunya tu, nguvu hio mnaipeleka wapi?
View attachment 1982071
Sie hatuna chakula ila angalau tunajaribu kuiwakilisha Afrika kwenye michezo za watu walioshiba
A90E0580_-_Oscar_Ayodi.jpg

Endeleeni kujipiga vifua kwamba mna chakula ya kutosha na kwamba mnailisha Africa ila tunawapiga kwenye michezo zote.
Hawa unene wanaupatia mahotelini na makambini broo.
 
Back
Top Bottom