Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi ni kwanini wapo tayari kufa ili mtu wa kabila lao awe Rais
Mkuu Kenya hakuna upinzani zaidi ya ukabila, niambie upinzani wa Kenya unachokitaka ni lipi zaidi ya kupigania mtu wa kabila lao kuwa rais. Hawapo tayari kufa kwa Jambo lolote lile zaidi ya kutaka mtu wa kabila lao kupata urais, Sasa huo ni upinzani au ukabila?
 
Weka ushahidi unaosema Magu ndiye aliyeruhusu Ben saa8, Tundu Lissu na Azory gwanda wapotezwe.
Katiba inataka kulinda kila mwananchi sasa yeye kuzuia uchunguzi wa hawa watatu ina maana kahusika! Kingine fuatilia kesi ya Sabaya ujue "maelekezo/amri toka juu" inamaanisha nn!
 
mimi nashangaa halafu Mhariri, Diversity, Wang, Mhariri, Boqin, Fang, Active, Cookie, Moderator wanamuangalia tuu! Imebidi niwe namjibu wazazi wake! Imenibidi aisee maana freedom of opinion humu ndani imetekwa! watu wanalazimisha ufikirie kama wao. Si kwangu aisee!
mod we shangazi si ulikuwa unasema ndege ya Raisi mbovu
Sema leo mtaani kwatu kuna msiba wa mzee mmoja kachanjwa chanjo ya kovidi kafariki ndiyo shukuru mungu ,sijui nipost picha ya msiba hapa ,maana watu wanakufa kwa chanjo serikali inaficha
 
Anayosema mengi ya ukweli yako wapi hayo mengi anayosema, infact humu ndani Watz walio wengi including me tunashindwa kumuelewa mana anaonesha tabia za wanasiasa wa bongo ambayo ni tabia iliyoongelewa vzr sn na Mwl. Nyerere.

Humu watu hatumpingi lkn asituone wajinga tunapomkumbusha kauli zake juu ya JPM, kama ulikuwa unasifia zen baada ya mambo kubadilika umeanza kuponda inatakiwa utoe taarifa kwamba jamani eehh nilikuwa nakosea kusema vile samahani jamani ukweli ni huu, Mana lengo la kuwa humu ni kupeana taarifa hata kama una uhuru wa kuongea unachotaka lkn juwa kwamba huongei peke yako humu.

So unafki co mzr, asilimia kubwa humu watu wameelimika usidhani kwamba hatukumbuki, kwa hyo inabidi ajitathmini kwanza Mana humu hajiabarishi yeye mwenyewe.
We basi una akili gani ya kuelewa vitu, achana na geza awanyooshe bana
 
mod we shangazi si ulikuwa unasema ndege ya Raisi mbovu
Sema leo mtaani kwatu kuna msiba wa mzee mmoja kachanjwa chanjo ya kovidi kafariki ndiyo shukuru mungu ,sijui nipost picha ya msiba hapa ,maana watu wanakufa kwa chanjo serikali inaficha
Mm wewe lwiva nakupa baraka zote tembea naye huyo.
 
Katiba inataka kulinda kila mwananchi sasa yeye kuzuia uchunguzi wa hawa watatu ina maana kahusika! Kingine fuatilia kesi ya Sabaya ujue "maelekezo/amri toka juu" inamaanisha nn!
Unaweza kutupa ushahidi ku support ur claim?
 
Anayosema mengi ya ukweli yako wapi hayo mengi anayosema, infact humu ndani Watz walio wengi including me tunashindwa kumuelewa mana anaonesha tabia za wanasiasa wa bongo ambayo ni tabia iliyoongelewa vzr sn na Mwl. Nyerere.

Humu watu hatumpingi lkn asituone wajinga tunapomkumbusha kauli zake juu ya JPM, kama ulikuwa unasifia zen baada ya mambo kubadilika umeanza kuponda inatakiwa utoe taarifa kwamba jamani eehh nilikuwa nakosea kusema vile samahani jamani ukweli ni huu, Mana lengo la kuwa humu ni kupeana taarifa hata kama una uhuru wa kuongea unachotaka lkn juwa kwamba huongei peke yako humu.

So unafki co mzr, asilimia kubwa humu watu wameelimika usidhani kwamba hatukumbuki, kwa hyo inabidi ajitathmini kwanza Mana humu hajiabarishi yeye mwenyewe.
Mkuu, mtu kuwa kigeugeu (mafiki) na kile anachokisema ni Mambo mawili tofauti kabisa, Geza tunaweza kumuhukumu kwa hilo la kugeuka lakini sio kwa anayoyasema.

Hilo la kugeuka hata Mimi ninaliona na linanisikitisha, ninaamini Moja ya sababu ya kuwa hivyo ni (Counter reaction) baada ya watu kumzonga na kumshambulia Sana akaamua "Kama ni mbwai iwe mbwai", lakini kwa anayoyasema ni ukweli kwa kiasi kikubwa.

Mimi ninamkubali Sana Magufuli, Sana Sana, lakini hayo maeneo anayozungumzia Geza kuhusu Magufuli ni kweli Magufuli alikosea, Mimi ninayachukulia Kama ni sehemu ya mapungufu yake, ninayaweka pamoja na kuyalinganisha na mazuri yake mwisho ninagundua kwamba, mazuri yake yanazidi mabaya yake.

Kosa ninaloliona kwa Geza ni kwamba ameamua kushikilia Yale mabaya yake Kama silaha ya majibishano, lakini Kama tungeamua kutaja mazuri vs mabaya ya Magufuli, hapo ndio tungejua nani angeishiwa hoja mapema.
 
Mkuu, mtu kuwa kigeugeu (mafiki) na kile anachokisema ni Mambo mawili tofauti kabisa, Geza tunaweza kumuhukumu kwa hilo la kugeuka lakini sio kwa anayoyasema.

Hilo la kugeuka hata Mimi ninaliona na linanisikitisha, ninaamini Moja ya sababu ya kuwa hivyo ni (Counter reaction) baada ya watu kumzonga na kumshambulia Sana akaamua "Kama ni mbwai iwe mbwai", lakini kwa anayoyasema ni ukweli kwa kiasi kikubwa.

Mimi ninamkubali Sana Magufuli, Sana Sana, lakini hayo maeneo anayozungumzia Geza kuhusu Magufuli ni kweli Magufuli alikosea, Mimi ninayachukulia Kama ni sehemu ya mapungufu yake, ninayaweka pamoja na kuyalinganisha na mazuri yake mwisho ninagundua kwamba, mazuri yake yanazidi mabaya yake.

Kosa ninaloliona kwa Geza ni kwamba ameamua kushikilia Yale mabaya yake Kama silaha ya majibishano, lakini Kama tungeamua kutaja mazuri vs mabaya ya Magufuli, hapo ndio tungejua nani angeishiwa hoja mapema.
 
Ila taratibu ni muhimu wafanyabiashara wadogo wafanye biashara zao mahali rasmi na waruhusu wafanyabiashara wakubwa wafanye biashara kwa amani pia. Imagine mtu anapika chini ya nguzo ya umeme na anaiba na umeme, hatari yake inaweza unguza kiwanda kizima cha yule mfanyabiashara mkubwa! Pia kuna suala la haki za wapita kwa miguu. Hili zoezi limechelewa sana! La sivyo tunaenda kujenga Manila, Mumbay na Jakarta nyingine hivihivi tukiangalia cha ajabu masoko yapo tena yamejengwa kwa gharama. Hao wafanyabiashara ndogondogo wanaweza kujikusanya wakanunua bajaj za kusambaza chakula chao kama RC alivyosema wapikie majumbani kwao na si kama sasa. Mbona mamalishe wapo dunia nzima hata nchi zilizoendelea unakuta viwandani kuna canteen na kuna wale wanaoleta chakula kwa van! ikifika mchana kipindi cha break wapo!l

Ila taratibu ni muhimu wafanyabiashara wadogo wafanye biashara zao mahali rasmi na waruhusu wafanyabiashara wakubwa wafanye biashara kwa amani pia. Imagine mtu anapika chini ya nguzo ya umeme na anaiba na umeme, hatari yake inaweza unguza kiwanda kizima cha yule mfanyabiashara mkubwa! Pia kuna suala la haki za wapita kwa miguu. Hili zoezi limechelewa sana! La sivyo tunaenda kujenga Manila, Mumbay na Jakarta nyingine hivihivi tukiangalia cha ajabu masoko yapo tena yamejengwa kwa gharama. Hao wafanyabiashara ndogondogo wanaweza kujikusanya wakanunua bajaj za kusambaza chakula chao kama RC alivyosema wapikie majumbani kwao na si kama sasa. Mbona mamalishe wapo dunia nzima hata nchi zilizoendelea unakuta viwandani kuna canteen na kuna wale wanaoleta chakula kwa van! ikifika mchana kipindi cha break wapo!
Nakubaliana na hoja zako mia kwa mia...lazima tuache ushamba
 
Urafiki nje ya ukweli ni unafiki! Get to know the genesis ya hili! Ni kueleza mabaya ya Magufuli! I have nothing to fear and no one will cow me down on that! Just like they peddle his good i have the right to peddle his bad in the honor of those lost souls!
Ukweli gani wewe wewe ni malaya wa kisiasa kama nyerere alivyo sema wewe ni .nafiki kama kuua hata kueneza ukimwi ni kuua tu watz wengi tunaua ila hatujui kwa sababu ya unafiki
 

GRA to sign MoU with Tanzanian revenue body

#Headlines
Oct 22, 2021, 10:52 AM

The Board of Directors of the Gambia Revenue Authority (GRA) has returned from a four-day study tour at the Tanzania Revenue Authority (TRA), Dar Es Salam, Tanzania. The two institutions are expected to sign an MoU.

Tanzanian-revenue-body__ScaleMaxWidthWzcwMF0.jpg


According to the Commissioner General Yankuba Darboe, the board’s study tour was meant to expose the board to the experiences of the Tanzania Revenue Authority in using digital platforms to collect revenue and to benchmark GRA’s tax processes and procedures with those of TRA to determine best practice.

The study tour was informed by the fact that GRA is in the process of introducing e-filing and e-payment platforms for the payment of duties and taxes. He stated that the introduction of the digital platforms will not only reduce the cost of compliance for taxpayers, but it will also reduce the cost of tax administration. “GRA is looking forward to launching the ASYCUDA WORLD system most likely at the end of the year. The ASYCUDA WORLD system is an improved upgrade of the ASYCUDA++ that is currently in use. It is web-based and as such, it will allow importers and exporters to clear their goods in the comfort of their couch or offices anywhere in the world with little or no human intervention,” CG Darboe said.

Aside from the ASYCUDA WORLD system, GRA is also in the process of acquiring a new Integrated Tax Administration System for domestic tax collection through a funding from the World Bank to replace the GAMTAXNET system. “This new system will be a game changer in terms of GRA’s digitalisation agenda. Once in place, the new system will allow taxpayers among other things, to file returns and pay taxes online with little or no human intervention and with no need to visit our offices.”

The study tour to TRA was worth the visit as the Board was taken through TRA’s modern tax administration practices and how this has significantly impacted the revenue performance of TRA. “We chose TRA for the study tour because it is the oldest Revenue Authority in Africa and this has placed it as a beacon in implementing effective reforms in tax administration. Further, as an African country, Tanzania and The Gambia share the same social and economic realities and are faced with similar challenges. Therefore, TRA was an ideal Revenue Authority to learn from as we seek to modernize our processes and procedures.”

As part of the study tour, the Board was also taken on a conducted tour of the Tanzania Institute of Tax Administration (ITA), one of the leading tax administration institutes in Africa. ITA offers degree programs and short courses various aspects of tax administration and GRA and TRA have proposed the signing of an MoU to enhance cooperation between the two sister institutions especially in areas of capacity development and exchange programmes.

All the way from west coast of Africa to East Africa, how did they come to know our TRA?
Tony254
 
Back
Top Bottom