Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mod we shangazi si ulikuwa unasema ndege ya Raisi mbovu
Sema leo mtaani kwatu kuna msiba wa mzee mmoja kachanjwa chanjo ya kovidi kafariki ndiyo shukuru mungu ,sijui nipost picha ya msiba hapa ,maana watu wanakufa kwa chanjo serikali inaficha
Kwake hao hawana mana ila azora na lisu...
 
Sabaya ni majinga tu,Kama Magufuli angekuwa hai,asingeonge Huo ujinga,anamfanya Magufuli kuwa 'scapegoat'acha maneno ya kipuuzi ww,tumekuchoka humu,akafu,Wakati Magu yupo hukuwahi kuonyesha chuki kubwa kiasi hiki,baada ya kufariki ndo unapiga kelele humu.
Katiba inataka kulinda kila mwananchi sasa yeye kuzuia uchunguzi wa hawa watatu ina maana kahusika! Kingine fuatilia kesi ya Sabaya ujue "maelekezo/amri toka juu" inamaanisha nn!
 
Hata huku Tabora wazee waliochanjwa wengi wamefariki aise
mod we shangazi si ulikuwa unasema ndege ya Raisi mbovu
Sema leo mtaani kwatu kuna msiba wa mzee mmoja kachanjwa chanjo ya kovidi kafariki ndiyo shukuru mungu ,sijui nipost picha ya msiba hapa ,maana watu wanakufa kwa chanjo serikali inaficha
 
IMG_5078.jpg

 
Natafakari tu kwa sauti ivi mfano raisi asinge kuwa mwenda zake, let say mzee wa mvii angechukua...ivi kuna asilimia ngapi huu uzi ungefunguliwa .....je tunge sustain kucompete na hawa jamaa ?given a fact tulikuw tunampango wa kujenga lireli kama lao?
Kama JPM asingekuwa rais mm binafsi nisingekuwepo kwenye huu uzi amini kwamba.
 
But nairobaa is also about its metropolitan area, i mean the likes of kiambu, ruiru, machakos, kiserian, kitengela, athi river, ngong, kikuyu, ruai, limuru and so on... all cummulatively having an area of more than 2,000km sq and with a population of more than 10m. Its only that nairobi territory as a city has never been revised ever since the colonial period
Sasa nenda kwanza uka update google inayosema hivi
Screenshot_20211022-194616.jpg
Screenshot_20211022-194551.jpg
 
ila hata sisi viongozi wetu hawajiongezi, azam kaondoka juzi na ndege ya abiria ya Ethiopia ..
kwanin wasingekodi ndege ya ATCL pamoja na Biashara United wakaenda wote huko Libya na Egypt..
Libya na Egypt ni nchi majiran
IMG_2532.jpg


hopefully, biashara watavuka, cause tayar wana advantage ya magoli mawili home..
 
Tatizo wanafanya siasa, kama kweli wako serious wanatakiwa kuondoa mabango yote yaliyo katikaki ya barabara, malori na magari yanayo paki hovyo hovyo kando ya barabara
Daaah basi tuna safari ndefu Sana 😔
 
Back
Top Bottom