Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona umeshindw apa kutokea sasa wajifariji
Mwenzako kawekeza we keti hapo tu ukipiga kelele, au unafikiria mjini watu hawamiliki matatu hata za kurithi
Unatia hurum sna ...kwanini unawaza vitu vya kurithi? Kajan pambana uwe na chako ndio kitam
 






MY TAKE

Serikali iangalie uwezekano wa kuomba ku-host Africa Cup esp. wakijenga uwanja wa Dodoma. IMHO ule wa Kirumba Mwanza unahitaji maboresho machache sana kuwa wa Kimataifa esp. kuweka mapaa na kuboresha sitting areas za mashabiki na kuongeza sehemu za kukaa maana una nafasi ya kutosha! A budget of $15 mln inaubadilisha na kuwa kama wa Mkapa! Labda Mbeya na Arusha panaweza kufikiriwa ila viwanja vinne vinatosha kabisa ku-host African cup tena upande wa viwanja vya ndege na accomodations tuko vizuri!
 
Hawa unene wanaupatia mahotelini na makambini broo.
Wajaluo na Waluhya ni watu wa kukula ugali na samaki na ugali na kuku mtawalia. Hawa ni watu wanene kutoka zamani. Wajaluo wanaishi kando mwa Lake Victoria sasa unategemea wawe wamekonda?
 
FB_IMG_16348996353957774.jpg
 
Yaani Arusha haipo top 5 na zaidi ya 70% ya watalii wanaokuja Tanzania hupita pale! Ukiacha International offices presence African Court, EAC n PAPU? Nadhani kuna walakini kwenye hizo statistics!
Hii ni kutokana kukosa activities za kutosha pale Arusha za kufanya watalii wa spend hela.

Yaani tukitaka kunufaika zaidi na sector ya utalii, kwa mapato na ajira, tunahitaji kuwa na activities. Hii ni tofauti na utalii.

Ukiangalia kama Dar es Salaam, tuna Beach nzuri sana, lakini kuna Beach activities ngapi? Matokeo yake, beach hazipo kwenye list ya vitu vinavyo changia uchumi wa taifa au pato la mtu mmoja mmoja.
 
Nilikua nasoma chuo flani nchi flani na Mburundi mmoja, alikiuaa anaipenda bongo achaaa, hadi mi mwenyewe najitaathmini kama mbongo, kulikua na hall kubwa kila mtu anachora na kuandika kitu chochote cha nchi yake, Jamaa ye alichora Ramani ya TANZANIA na bendera .
Nime bahatika kutembelea, kuishi, kufanya kazi nchi nyingi sana Africa. Kiukweli, Watanzania tuna pendwa sana Africa.

Kila sehemu, watu wanaipenda Tanzania na Watanzania.
 
Nilikua nasoma chuo flani nchi flani na Mburundi mmoja, alikiuaa anaipenda bongo achaaa, hadi mi mwenyewe najitaathmini kama mbongo, kulikua na hall kubwa kila mtu anachora na kuandika kitu chochote cha nchi yake, Jamaa ye alichora Ramani ya TANZANIA na bendera .
Kingine Mrundi ukimsaidia huwa anakumbuka hasahau.
Ni tofauti sana na wale wengine jirani yao.

Ndio maana huwa akitokea mpumbav yoyote kutaka kuigusa Burundi lazima tu JWTZ ihakikishe Burundi inakuwa salama.
 
Nime bahatika kutembelea, kuishi, kufanya kazi nchi nyingi sana Africa. Kiukweli, Watanzania tuna pendwa sana Africa.

Kila sehemu, watu wanaipenda Tanzania na Watanzania.
mara nyingi mtanzania anaaminika popote duniani,nimeambia mara nyingi! Where there is a Tanzanian there is honesty and sense of security wabongo hatunaga Noma na MTU tuko cool najivunia Kuzaliwa Tanzania na Kuwa mtanzania🙂
 
Back
Top Bottom