Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_4306.jpg

Ongoing construction of Gov City in Dodoma
Things gonna be different right here meen
 
Narudia sina haja ya kurithi tuje kutoana macho , kama mzazi alipigana akaweza kwanini ww ushindwe badala yake uwaze kurithi?
We zipeleke yard zikaoze hku ukiwa katika harakati zako za kutafuga za kwako
 
Geza tumewaachia awe team kibera ili kuongeza nguvu kidogo maana jahazi la kunya linazama kwa sababu ya kazi nzuri za MAGUFULI THE GREAT ,hata nyinyi wakenya mnajua bila ya magufuli bomba la mafuta ya uganda lingepita kenya ,na sgr yenu ingekuwa imefika uganda rwanda na drc ,pia bila ya magufuli yule COW wa kibera angekuwa hai hadi leo
Comment yangu na magu wapi wapi, km wampenda sana hyo ungelienda kuzikwa nae
 
Ila wakenya ni watu wa ajabu kweli, mtu utakimbiaje nchi yako ili ukawe mwanajeshi marekani, yote hayo ili kuupata uraia wa marekanii
Kw kuwa mwanjeshi wa marekani basi kupata uraia kabisa, nyie watu mna balaa..
US army kibao na bado sio raia wa marekani
 
Kw kuwa mwanjeshi wa marekani basi kupata uraia kabisa, nyie watu mna balaa..
US army kibao na bado sio raia wa marekani

Huo ni ujinga mkenya hakiona maisha yamempiga chenga anakimbilia kuwa mwanajeshi marekani, kwa afrika nyie ndio mnaongoza kwa Huo ujinga
 
Back
Top Bottom