ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 812
- 1,942
Yaani mzigo unaingia Mombasa ila clearing unafanya Nairobi.Ghost townuchumi umekufa mombasa




Hii yote ni kwa ajili ya kulazimisha watu watumie white elephant SGR.
Matokeo yake, no business in Mombasa and it is becoming a ghost town.
Deni la mchina lita watafuna sana hawa jamaa. Na bado.


