Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww chizi ...kuropokwa ndio nini? The only fool is non other than you, show me the prove of new 10000 km which constructed during uhunye regime. Between masharia and you little mouse whom should i belive?View attachment 1977930View attachment 1977932
Hujui tofauti ya "HAS" na "HAD" 😂😂😂😂😂😂😂 kingereza imekupiga chenga unaendelea kudisplay ujinga bila aibu. 😂😂😂😂
 
Inapita, uwanja wa ndege Tshs 60 bln! hospitali ya Rufaa ni zaidi ya Tshs 20 bln, kuna hoteli ya nyota tatu zaidi ya Tshs 15 bln, stendi ya mabasi zaidi ya Tshs 10 bln na machinjio na mnada zaidi ya Tshs 10 bln! mbaya malipo haya hayakupitishwa na Bunge! Siwezi kuwa mnafiki aisee kusema ati ni sawa! Hata siku moja! Hapo jengo la Tanesco, jengo la CRDB, jengo la mahakama, jengo la zimamoto, soko la Chato, chuo cha VETA, uwanja wa mpira, nyumba za polisi, nyumba za NHC na kivuko cha Chato havijaguswa! Ule ni wizi siwezi kuunyamazia tena akapeleka kijijini kwake wilayani Chato badala ya Geita Town!

You old man and fool, Kwani Chato ni Uganda. Unatuharibia battle na ungese wako.
24/7 upo humu unaeneza chuki tu..
 
Hujui tofauti ya "HAS" na "HAD" 😂😂😂😂😂😂😂 kingereza imekupiga chenga unaendelea kudisplay ujinga bila aibu. 😂😂😂😂
Acha kujiaibisha wewe 🤣🤣🤣 na ni huyo huyo macharia ndio alitoa status ya kq kua inamiliki ndege tatu au tuseme hutaki machafia aongee ukweli
 
Sikiliza maneno haya kwanza 🤣🤣

I watched and perfectly understood, sio vile wewe unaona😂😂😂, effects of COVID-19, slowly picking up, as projects are completed utahama jf kimya kimya, coz numbers won't lie again as usual.,
 
Sikiliza maneno haya kwanza 🤣🤣


.....na pia lazima wa pwani wachangamke, dunia imebadilika kazi sio kuendesha malori ya mizigo na mabasi, uzembe ya wapwani ulio tapakaa tokea Lamu, Zanzibar hadi Dar lazima ushighulikiwe hivyo., think outside the box, in Mombasa the upcoming SEZ, EPZ and infrastructure development will sort them out big time.., nyie nje ya Dar mko na nini?.., nothing meaningful
 
I watched and perfectly understood, sio vile wewe unaona😂😂😂, effects of COVID-19, slowly picking up, as projects are completed utahama jf kimya kimya, coz numbers won't lie again as usual.,
Uhehehe sio SGR (white elephant) so kwenu covid ilianza 2017🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo ni mp wa mvita anaegombania ugavana mombasa kabanwa kende kaamua kufunguka
 
.....na pia lazima wa pwani wachangamke, dunia imebadilika kazi sio kuendesha malori ya mizigo na mabasi, uzembe ya wapawani ukio tapakaa tokea Lamu, Zanzibar hadi Dar lazima ushighulikiwe hivyo., think outside the box, in Mombasa the upcoming SEZ, EPZ and infrastructure development will sort them out big time.., nyie nje ya Dar mko na nini?.., nothing meaningful
Ngoja nikwambie kitu wapwani ni watu ambao wametengwa sana kimaendeleo na uhuru kenyatta na ndio sababu kubwa ya kuua pwani na watu wake na hio transportation ndio ilikua tegemezi kwa ajira kubwa sana kwa vijana wa pwani kupitia bandari leo hii mombasa imebakia ghost town na uchumi umekufa kabisa 🤣🤣 vijana wamebakia kua majambazi wengine madawa ya kulevya wengine wanauza miili yao alaf sijui unazungumza nn ww
 
.....na pia lazima wa pwani wachangamke, dunia imebadilika kazi sio kuendesha malori ya mizigo na mabasi, uzembe ya wapawani ukio tapakaa tokea Lamu, Zanzibar hadi Dar lazima ushighulikiwe hivyo., think outside the box, in Mombasa the upcoming SEZ, EPZ and infrastructure development will sort them out big time.., nyie nje ya Dar mko na nini?.., nothing meaningful
Na mm niliwah kukwambia hapa mombasa ilishakufa muda tu 😆😆 ukawa mkali sana ona leo hii sio tu transportation imekufa mpaka real estate imekufa pia ww hushangai fuel inauzwa ghali mombasa kuliko uganda kampala alaf bado unapiga kelele humu 😃
 
Ngoja nikwambie kitu wapwani ni watu ambao wametengwa sana kimaendeleo na uhuru kenyatta na ndio sababu kubwa ya kuua pwani na watu wake na hio transportation ndio ilikua tegemezi kwa ajira kubwa sana kwa vijana wa pwani kupitia bandari leo hii mombasa imebakia ghost town na uchumi umekufa kabisa 🤣🤣 vijana wamebakia kua majambazi wengine madawa ya kulevya wengine wanauza miili yao alaf sijui unazungumza nn ww
Hawapendi masomo wacha uongo, mbona Kuna wengi wanabiashara na wasomi walio endelea, especially wale wanachangamka, na pia Uhuru Kenyatta ndio rais ambaye amepeleka maendeleo pwani kushinda wote walio mtangulia, so your argument is outright baseless!
 
Hawapendi masomo wacha uongo, mbona Kuna wengi wanabiashara na wasomi walio endelea, especially wale wanachangamka, na pia Uhuru Kenyatta ndio rais ambaye amepeleka maendeleo pwani kishinda wote walio mtangulia, so your argument is outright baseless!
Wajaluo wamesoma sana kenya lakini nenda kisumu ukaone vile unemployment ilivowachakaza huko 😆😆😆 hebu niambie kenyatta kapeleka maendeleo gani pwani zaidi leo ya mombasa kugeuka kua ghost town

 
Ngoja nikwambie kitu wapwani ni watu ambao wametengwa sana kimaendeleo na uhuru kenyatta na ndio sababu kubwa ya kuua pwani na watu wake na hio transportation ndio ilikua tegemezi kwa ajira kubwa sana kwa vijana wa pwani kupitia bandari leo hii mombasa imebakia ghost town na uchumi umekufa kabisa 🤣🤣 vijana wamebakia kua majambazi wengine madawa ya kulevya wengine wanauza miili yao alaf sijui unazungumza nn ww
...na pia nimekua pwani sana hivi majuzi, hii yako ni porojo, ni Yale fikra zenu za wivu tu, issue imekua effects za Covid more than SGR, pili ushoga kwa wa pwani wote iwe Dar ama Zanzibar sio jambo geni., miji ilia jaa dini ila mambo ya giza ndio inatawala, religion is a scam!.,so hapa sio mambo ya uchumi, ni tabia tu.., jiangalie pale Dar mlivyo, ama unadhani siwajui?..
 
Hawapendi masomo wacha uongo, mbona Kuna wengi wanabiashara na wasomi walio endelea, especially wale wanachangamka, na pia Uhuru Kenyatta ndio rais ambaye amepeleka maendeleo pwani kishinda wote walio mtangulia, so your argument is outright baseless!
Watu wako lamu pua na mdomo na bahari lakini hawana maji alaf unazungumza habari ya maendeleo 😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom