Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na mm niliwah kukwambia hapa mombasa ilishakufa muda tu ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† ukawa mkali sana ona leo hii sio tu transportation imekufa mpaka real estate imekufa pia ww hushangai fuel inauzwa ghali mombasa kuliko uganda kampala alaf bado unapiga kelele humu ๐Ÿ˜ƒ
Ona akili fupi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Can u kindly explain to me why fuel prices shot up in Kenya na sio tu pwani? Na kwanini tena bei zilishukishwa wiki ilio pita?.., explain the politics behind it.., nione fikra zako, wewe kazi ni ku quote tweets selectively that align with your skewed reasoning tu using them to propagate your subjective views and wishes.., ili Tz ionekane nafuu kwa muonekano wako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Mko hovyo, mapungufu ya Kenya yasikutekenye kisha unacheka, jiangalie๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
 
Watu wako lamu pua na mdomo na bahari lakini hawana maji alaf unazungumza habari ya maendeleo ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Drought effects๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.., kwani wewe unaona tu matako ya pwani na uso hautazami๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, kwa kauli yako ina maana hakuna maendeleo yeyote pwani, naona ukilaza unakurudia., ulikua umepunguza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
...na pia nimekua pwani sana hivi majuzi, hii yako ni porojo, ni Yale fikra zenu za wivu tu, issue imekua effects za Covid more than SGR, pili ushoga kwa wa pwani wote iwe Dar ama Zanzibar sio jambo geni., miji ilia jaa dini ila mambo ya giza ndio inatawala, religion is a scam!.,so hapa sio mambo ya uchumi, ni tabia tu.., jiangalie pale Dar mlivyo, ama unadhani siwajui?..
Sio mm ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† munasingizia covid wakat mombasa imegeuka ghost town even before covid au umesahau balala waziri wenu alisema hamuwezi compete na tanzania kwenye tourism moja ya sababu ilikua hoteli za kisasa au pia ilikua reason ya covid
 
Drought effects๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.., kwani wewe unaona tu matako ya pwani na uso hautazami๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, kwa kauli yako ina maana hakuna maendeleo yeyote pwani, naona ukilaza unakurudia., ulikua umepunguza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kwanini drought kila mwaka?? Hio serekali ya maendeleo iko wapi na inafanya jambo gani ikiwa imeshindwa kuleta maendeleo ya maji nairobi itaweza lamu kweli???๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Ona akili fupi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Can u kindly explain to me why fuel prices shot up in Kenya na sio tu pwani? Na kwanini tena bei zilishukishwa wiki ilio pita?.., explain the politics behind it.., nione fikra zako, wewe kazi ni ku quote tweets selectively that align with your skewed reasoning tu using them to propagate your subjective views and wishes.., ili Tz ionekane nafuu kwa muonekano wako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Mko hovyo, mapungufu ya Kenya yasikutekenye kisha unacheka, jiangalie๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
Nilitegemea pwani fuel ndio iwe less lakini ajabu unaskia kampala fuel iko chini kuliko mombasa ๐Ÿ˜† hvi nyinyi mulirogwa na nani ?? Mapungufu kenya ni mengi sana kuliko zimbabwe na congo

Alaf unaongea habari ya maendeleo pwani wakati ushuzi mtupu ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Wajaluo wamesoma sana kenya lakini nenda kisumu ukaone vile unemployment ilivowachakaza huko ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† hebu niambie kenyatta kapeleka maendeleo gani pwani zaidi leo ya mombasa kugeuka kua ghost town


๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Yaani wewe bado kilaza, I thought u are a critical thinker? Just because a sensational media headline inasema "Ghost town" wewe ukachukia the meaning of it una apply kwa Mombasa, u cannot differentiate sensationalism vs reality, just because a few businesses have closed shop kisa tough economic times so u think Mombasa is dead?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, Unajua maana ya Ghost town kweli?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., do u know in Dar story ni the same, ila tu media haija report the same way KTN News projected Mombasa.., ichoboy 01 you are my guy this morning ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Drought effects๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.., kwani wewe unaona tu matako ya pwani na uso hautazami๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, kwa kauli yako ina maana hakuna maendeleo yeyote pwani, naona ukilaza unakurudia., ulikua umepunguza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Food insecurity kila mwaka lazma iwatafune unaeza tuambie ile pesa mlevi alisema imekusanywa na KRA iko wapi??? Au tuamini siasa za uchaguzi zimeanza
Nye nye nye sisi tuna GDP kubwa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wale Watu [mention]komora096 [/mention] husema Mabasi yote ya Tz huanzia Dar,
Hapa nipo Mbeya travelling back to Dar
You see there are convoy and mind you this isnโ€™t even the Main Terminal of Mbeya,
Hapa ni Nanenane Stand where buses pick some of their respective passengers
Over 100 buses dispatch at Mbeya Terminal everyday to Different regions of Tanzania,
And all are decent Buses. Ukija na manganya huku hutapata abiria
Some of the Key Routes
Mbeya - Mwanza
Mbeya -Dodoma
Mbeya - Arusha
Mbeya -Dar
Mbeya - Songea
Mbeya - Sumbawanga
IMG_4661.jpg

IMG_4660.jpg

IMG_4651.jpg

IMG_4649.jpg

IMG_4647.jpg

IMG_4645.jpg

IMG_4650.jpg

IMG_4658.jpg

IMG_4646.jpg
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Yaani wewe bado kilaza, I thought u are a critical thinker? Just because a sensational media headline inasema "Ghost town" wewe ukachukia the meaning of it una apply kwa Mombasa, u cannot differentiate sensationalism vs reality, just because a few businesses have closed shop kisa tough economic times so u think Mombasa is dead?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, Unajua maana ya Ghost town kweli?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., do u know in Dar story ni the same, ila tu media haija report the same way KTN News projected Mombasa.., ichoboy 01 you are my guy this morning ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Unaamua kujichetua ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† na habari ya ghost town mombasa nilikwambia kama 2yrs back ukaja juu sana nakumbuka vzr sana


 
Wajaluo wamesoma sana kenya lakini nenda kisumu ukaone vile unemployment ilivowachakaza huko ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† hebu niambie kenyatta kapeleka maendeleo gani pwani zaidi leo ya mombasa kugeuka kua ghost town


Wajaluo wamesoma ni kweli, ndio maana ni madaktari, engineers, professors na lawyers kwa wingi sana, Kenya na nchi za nje ama unataka list? na ukumbuke walimtibu lisu hapa Nairobi akapona na pia Mukulu ila kwa bahati mbaya aliaga,., so unemployment issue has many underlying factors, thought utafafania ila umekurupuka your ignorance, na kama unajua ukweli hauwezi kiweka himu maana it is what ails Tz n Africa, Tz ni hovyo tu wacha kujitekenya.., ki fikra mko hovyo.,
 
Nilitegemea pwani fuel ndio iwe less lakini ajabu unaskia kampala fuel iko chini kuliko mombasa ๐Ÿ˜† hvi nyinyi mulirogwa na nani ?? Mapungufu kenya ni mengi sana kuliko zimbabwe na congo

Alaf unaongea habari ya maendeleo pwani wakati ushuzi mtupu ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Nilijua hautanijibu utakwepa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
 
Unaamua kujichetua ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† na habari ya ghost town mombasa nilikwambia kama 2yrs back ukaja juu sana nakumbuka vzr sana



..leo am driving in the jam while chatting with u this morning,, ndio maana nachukua mda to respond, I like your energy, ., Jam imefunguka will chit chat niki stop.., nisisababishe ajali..,
 
Wajaluo wamesoma ni kweli, ndio maana ni madaktari, engineers, professors na lawyers kwa wingi sana, Kenya na nchi za nje ama unataka list? na ukumbuke walimtibu lisu hapa Nairobi akapona na pia Mukulu ila kwa bahati mbaya aliaga,., so unemployment issue has many underlying factors, thought utafafania ila umekurupuka your ignorance, na kama unajua ukweli hauwezi kiweka himu maana it is what ails Tz n Africa, Tz ni hovyo tu wacha kujitekenya.., ki fikra mko hovyo.,
Umesifia kabila lake ona anavyojibamba
Na lini mlimtibu Lissu

Yn unasema kabisa waliompa first aid Lissu ni wajaluo na co Wakenya, umeingia mtego unaowamaliza nyie wakunya wa ukabila.

Alafu ukinipa ushahidi JPM alitibiwa kwenu navunja simu
 
Walisema hatuwez nunua ndege...badae ilivyokuja bombadier wakasema panga boy sio ndege. ..zilivyoanza kuja dreamliner walisema hatuwez kwenda popote nje ya africa..tulivyoanza route ya Mumbai wakasema wao wanaenda hadi NYC wala hatukubisha...sahivi ndege zimefika 11 tukiwa humu jamvini sote, tizama wameanza tena kusema tumekurupuka kuja JKIAIlhali KQ kila siku inatua JNIA...
Hawa jamaa msiwahi ogopa maneno yao...ndege 11 tayari ziko Tz na kama kawaida tutawafurahisha nazo
wakati wao wameshindwa hata kununua "panga girl"
 
Unaamua kujichetua ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† na habari ya ghost town mombasa nilikwambia kama 2yrs back ukaja juu sana nakumbuka vzr sana



Here is where Tanga port will come to fit in and play to those businesses around Mombasa and the whole of Kenyan ports! Don't worry Mr Mvita MP, ur cries r being listened and from next year u will be able to collect ur cargo from Tanga!
 
Back
Top Bottom