Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inawezekana Geza Ulole kwamba kwa sababu ya culture mbaya ya kumuogopa Hayati Magufuli, mawaziri wenyewe walikuwa wanasukuma miradi hii ijengwe Chato badala ya maeneo mengine ili kumfurahisha Magufuli. Naye Magufuli kwa kupenda nyumbani, hangekataa miradi hio kuja nyumbani. Inawezekana miradi hii ilikuja Chato kwa sababu ya mawaziri kujaribu kujipendekeza kwa rais Magufuli?
Usimsikilize huyo mzee ni kama malaya wa kisiasa tu, ukitaka kuamini hebu jiulize sie yeye aliyekuwa akifungua news kila kukicha akimsifia JPM? Huyo ni malaya wa kisiasa kama malaya wengine tu usimtilie maanani.
 
kwahiyo Mafia Island, Bukoba Town, Kigoma Town na Musoma Town hazijajitenga?


Hebu onyesha Chato imejitenga vp na Geita Town? Mbona isiwe Geita Rural Islands au Bukombe?
View attachment 1976407
hizo sehemu ulizotaja zimejitenga na mikoa yao kama ilivyo kwa chato?

sorry, lakini haya mabishano ya chato sidhani kama yana afya kwa umoja wetu

mimi si mtu wa huko ila naunga mkono investment yeyote inayofanywa kuwanufaisha watanzania wenzangu

tunaona kila kitu kinapelekwa dar ila hatujawahi kupinga

why chato? si sehemu ya tanzania? au watanzania wa chato hawastahiri hizi investment!

na kama ni ndio, basi kuna classes.
 
Farmers tournament!
People are busy with EPL,laLiga,champions league,
Si hizi takataka amateur za kiafrika.

pole sana
giphy.gif
 
Mara Mbili kwa siku kama Dose ya dawa gani vile


View attachment 1976055
Naona ndoto yetu ya kuwa hub inakwenda kutimia!!KQ alikuwa kikwazo sana na alitufanyia figisu nyingi sana na kusababisha baadhi ya mashirika makubwa kusitisha kuja Tanzania, kwa imani yangu tukiona biashara inakwenda vizuri sana tutafanya expansion na refurbishment ya the iconic Terminal 2,mambo yanakwenda vizuri ujenzi wa Hotel kubwa yenye hadhi ya nyota 4 pale pembeni ya Puma P. station au nyuma ya kituo cha daladala kuelekea gomsi unaenda safi kabisa ni mradi wa PPP tender ilishatangazwa wadau walijitokeza,kuna mdau yuko karibu kujimwayamwaya sambamba na serikali😀😀. Tanzania ni bonge la nchi.
 
carter Sama boy 255 The best 007 ndio huu mzigo nimeupata. Nilikuwa tayari nimeshaisoma karibu yote. Ni mzigo mkubwa sana yenye pages karibia mia nne ila page husika ni page 201. Nitaweka link hapa aliye na haja afuate huko asome page 201. Ila pia naweka screenshot. Kwenye hii screenshot utaona kwamba by 2020 Kenya ilikuwa na 19,648 km of bitumen road. Yaani hio ni kama 20,000 km. In fact by now imeshafika 20,000 km maana hii data ni ya 2020.




View attachment 1976612


Hapa nimezoom zaidi ili mueze kuona vizuri hapo mahali palipoandikwa kwamba Kenya ina 19, 629 km of bitumen (paved) road.


View attachment 1976614
Mwishowe ninaweka link anayetaka kusoma zaidi afuate link aende page 201.
Mimi nioneshe article inayosema serikali ya uhuru pekee imejenga hata more than 5k za paved roads. Ingekuwa data za waziri zingesema kwamba ni kipindi cha jayden peke yake wamejenga hizo 10k kilometers it means angesema ni jubelee government. Ila hapo kasema ni kenyan government.

On top of that hakuna Rais kenya alieweza kujenga kilometers nyingi za lami kama kibaki hadi Sasa. Hatu huyu mkora wa gatundu hajamfikia. Hivyo usitake kupotosha hapa. Swallow the bitter truth. Knbs data are trash.
 
Dodoma ipo kisheria toka 1977! Ni Azimio la Bunge kama ilivyo Geita Town ila mwendazake akaamua kuipuuzia kwa sababu zake binafsi.
Chuki yako kwa huyu Hayati ni mbaya sana. Ameshakufa bado hamridhiki mnaendelea tu kumuandama?! Acheni majungu mmeshapata madaraka mliokuwa mnayatamani jengeni nchi sasa kuliko yeye mtakubalika. Kukaa na kupiga majungu mambo aliyofanya hakusaidii kitu.
Thamani ya miradi ya Chato inaweza kufikia daraja la sealnder? Inaweza kufikia sgr? Inaweza kufikia brt phase 2? Inaweza kufikia stiglers dam? Au hivyo navyo viko Chato? Hospitali za wilaya zilizojengwa zote ziko Chato? Daraja la wami liko Chato? Vikvuko vyote vilivyojengwa vinatoa huduma Chato? Acheni roho mbaya let the man rest in peace na jengeni nchi acheni majungu na uswahili.
 
Chuki yako kwa huyu Hayati ni mbaya sana. Ameshakufa bado hamridhiki mnaendelea tu kumuandama?! Acheni majungu mmeshapata madaraka mliokuwa mnayatamani jengeni nchi sasa kuliko yeye mtakubalika. Kukaa na kupiga majungu mambo aliyofanya hakusaidii kitu.
Thamani ya miradi ya Chato inaweza kufikia daraja la sealnder? Inaweza kufikia sgr? Inaweza kufikia brt phase 2? Inaweza kufikia stiglers dam? Au hivyo navyo viko Chato? Hospitali za wilaya zilizojengwa zote ziko Chato? Daraja la wami liko Chato? Vikvuko vyote vilivyojengwa vinatoa huduma Chato? Acheni roho mbaya let the man rest in peace na jengeni nchi acheni majungu na uswahili.
Huyu huwa anapambana kuharibu huu uzi lkn kwenye uzi wake kule wala afanyi hivi.
 
Mimi nioneshe article inayosema serikali ya uhuru pekee imejenga hata more than 5k za paved roads. Ingekuwa data za waziri zingesema kwamba ni kipindi cha jayden peke yake wamejenga hizo 10k kilometers it means angesema ni jubelee government. Ila hapo kasema ni kenyan government.

On top of that hakuna Rais kenya alieweza kujenga kilometers nyingi za lami kama kibaki hadi Sasa. Hatu huyu mkora wa gatundu hajamfikia. Hivyo usitake kupotosha hapa. Swallow the bitter truth. Knbs data are trash.
Tumia tu akili kidogo rafiki yangu. Kama sasa hivi Kenya ina 19,629 km of paved roads na alipokuwa akiingia ilikuwa around 11,000 km basi wewe mwenyewe fanya hesabu. Haya ni mambo rahisi tu. Kama Jakaya Kikwete anaweza kujenga barabara ya lami ya 10,000 km ndani ya miaka kumi mbona Uhuru ashindwe kufanya hivyo?
 
Tumia tu akili kidogo rafiki yangu. Kama sasa hivi Kenya ina 19,629 km of paved roads na alipokuwa akiingia ilikuwa around 11,000 km basi wewe mwenyewe fanya hesabu. Haya ni mambo rahisi tu. Kama Jakaya Kikwete anaweza kujenga barabara ya lami ya 10,000 km ndani ya miaka kumi mbona Uhuru ashindwe kufanya hivyo?
Wewe ndio utumie akili, hapa tunaongelea serikali ya jubilee na mkora wa gatundu, mambo ya mzee JK yametoka wapi?

Halafu ni matusi na utovu wa nidhamu kumlinganisha mzee JK na huyo mkora wenu kwenye suala nzima la ujenzi wa miundombinu.
 
Wewe ndio utumie akili, hapa tunaongelea serikali ya jubilee na mkora wa gatundu, mambo ya mzee JK yametoka wapi?

Halafu ni matusi na utovu wa nidhamu kumlinganisha mzee JK na huyo mkora wenu kwenye suala nzima la ujenzi wa miundombinu.
Sasa nimekupatia data na huitaki? Ni sawa. Nilijua mtaikataa.
 
Chuki yako kwa huyu Hayati ni mbaya sana. Ameshakufa bado hamridhiki mnaendelea tu kumuandama?! Acheni majungu mmeshapata madaraka mliokuwa mnayatamani jengeni nchi sasa kuliko yeye mtakubalika. Kukaa na kupiga majungu mambo aliyofanya hakusaidii kitu.
Thamani ya miradi ya Chato inaweza kufikia daraja la sealnder? Inaweza kufikia sgr? Inaweza kufikia brt phase 2? Inaweza kufikia stiglers dam? Au hivyo navyo viko Chato? Hospitali za wilaya zilizojengwa zote ziko Chato? Daraja la wami liko Chato? Vikvuko vyote vilivyojengwa vinatoa huduma Chato? Acheni roho mbaya let the man rest in peace na jengeni nchi acheni majungu na uswahili.
Inapita, uwanja wa ndege Tshs 60 bln! hospitali ya Rufaa ni zaidi ya Tshs 20 bln, kuna hoteli ya nyota tatu zaidi ya Tshs 15 bln, stendi ya mabasi zaidi ya Tshs 10 bln na machinjio na mnada zaidi ya Tshs 10 bln! mbaya malipo haya hayakupitishwa na Bunge! Siwezi kuwa mnafiki aisee kusema ati ni sawa! Hata siku moja! Hapo jengo la Tanesco, jengo la CRDB, jengo la mahakama, jengo la zimamoto, soko la Chato, chuo cha VETA, uwanja wa mpira, nyumba za polisi, nyumba za NHC na kivuko cha Chato havijaguswa! Ule ni wizi siwezi kuunyamazia tena akapeleka kijijini kwake wilayani Chato badala ya Geita Town!
 
Na inapita uwanja wa ndege Tshs 60 bln! hospitali ya Rufaa ni zaidi ya Tshs 20 bln, kuna hoteli ya nyota tatu zaidi ya Tshs 15 bln, stendi ya mabasi zaidi ya Tshs 10 bln na machinjio na mnada zaidi ya Tshs 10 bln! mbaya malipo haya hayakupitishwa na Bunge! Siwezi kuwa mnafiki aisee kusema ati ni sawa! Hata siku moja!
Punguza chuki kwa mustakabali wa Uzi huu. Hapa ni Nai vs Dsm au Ke Vs Tz
 
Hawa jamaa ndio kila siku wanatutambia umu eti wake na almost 20k paved roads
barabara za nairobi tu ndiyo huwa wanaonyesha,yaani hawa tulishawahi kuwachapa humu,tuliwaambia twende mkoa kwa mkoa yaani kila nchi itaje mkoa mmoja mmoja na km zake za rami,wakapotea mitini kwenye bara bara zao za makaratasi ,
ukitaka hivyo waambie wakinukishe hapa wataje barabara zao mkoa kwa mkoa,,hawawezi
 
Back
Top Bottom