babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Sema chupa zao zina shepu mbaya kinoma hazifai kabisa kupiga tarumbeta.Alafu wanatumia maglas ya kushare na corona hii![]()
Ni chupa ambazo ziliacha kutumika Tanzania miaka kumi iliyopita.



Sema chupa zao zina shepu mbaya kinoma hazifai kabisa kupiga tarumbeta.Alafu wanatumia maglas ya kushare na corona hii![]()



Wako na masilaha!!! Hazardous!!!Alafu wanatumia maglas ya kushare na corona hii![]()
Baada ya kuumbuliwa😁😁😁Sasa ungesema ni tbt![]()
Jamaa wako nyuma sana, nashangaa mno, unajua zamani nilikuwa najua hz bata zilizo bongo ndo zipo Africa nzima kumbe wapiii, wenzetu tumewaacha mbali snSema chupa zao zina shepu mbaya kinoma hazifai kabisa kupiga tarumbeta.
Ni chupa ambazo ziliacha kutumika Tanzania miaka kumi iliyopita.![]()






Hapo Sawa 😁😁😁😁Saahivi 2021 october 17th View attachment 1977872View attachment 1977873
Kila mkoa utakao ingia hapa Tanzania lazima ukute kuna sehemu za maana za kula bata.Jamaa wako nyuma sana, nashangaa mno, unajua zamani nilikuwa najua hz bata zilizo bongo ndo zipo Africa nzima kumbe wapiii, wenzetu tumewaacha mbali sn![]()



Kaandika "sasa hivi" ila ni one hour ago au huwa wako lisaa limoja nyuma!Hapo Sawa![]()



HeheheheeI wonder kama kweli Nairobi kuna maua yakutosha kama msela ndo anatamba na pisi za kiwango kile hahahaha!!!side chicks zangu we si unakimbia nyumba kbs!!!







Acha kbs, ushamba pia ni mzigo!!!😂😂Jamaa wako nyuma sana, nashangaa mno, unajua zamani nilikuwa najua hz bata zilizo bongo ndo zipo Africa nzima kumbe wapiii, wenzetu tumewaacha mbali sn![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We Noma🤣🤣🤣Kaandika "sasa hivi" ila ni one hour ago au huwa wako lisaa limoja nyuma!
Ila ngoja nimuache ajibambe.
Taratibu tunaondoka, wachezaji wa kitanzania wanaanza kuaminika, Sàmatta na Msuva wameonesha njia, next stop Europe kwa wingi.
Hao ndivyo walivyo, mkenya ukitaka atoe boko aoneshe mambo yake personal japo kidogo lazima ucheke, wana hali ngumu kweli kweli co masihara, hivyo hapo huyo mkora alidhani amebamba kumbe kajibambaJapo ni TBT kajichanganya leo msela![]()









Shida ya hawa ndugu zetu ni uchafu, sio wastaarabu kabisa, utakuta wanamenya miogo maji wanamwaga barabarani, alafu unakuta wanajenga mavibanda yenye sura mbaya mixa ma naylon yaliyochoka, ss hapo hata mkijenga infrastructure nzr kiasi gani ni kazi bure cz uchafu unaharibu aesthetic ya eneo husika hata kama lina infrastructures za gharama, mfano Kenya unakuta building nzr lkn mahwker wanaharibu muonekano kwa mauchafu yao plus flying toilets, kwa hili nasema nipo pamoja na serikali.dah aisee ni bora,,sasa city inakuja kwenye muonekano wake,,clean vision
Ww chizi ...kuropokwa ndio nini? The only fool is non other than you, show me the prove of new 10000 km which constructed during uhunye regime. Between masharia and you little mouse whom should i belive?Punguza kuropokwa hata kama hujui maana ya context. You are only displaying your ignorance. 10k is the addition to the previous 11k done by previous governments. That's the data from Kenya Roads Board. The citation is very clear from this article. State values road network at Sh3.5trn before audit

