Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huyo jamaa anaitwa hamza... najua anapokaa.. na ni tajir kiaina.. nashangaa sana anaposemwa ni alshabab
anyway, maisha ya mtu ni siri yake

Hvi izo bunduki alizoshika kisheria anaruhusiwa mwanachi wa kawaida kumiliki mm najuaga vibastola tuu ebu tusaidie
 

Hakuna mwenye akili timamu angethibutu kuhatarisha pesa zake za mradi kama huu kwenye Serikali ya majambazi ilivyokuwa ikiongozwa na mwendazake.

Majambazi wadogo wako kotini kujitetea ,huku yule jambazi mbeba ndagu kaufyata kimya maana alipanua tuu mdomo ana kesi ya ku deny wenzie haki ya kuishi.
 
kwahiyo baada ya kodi za madini zilizopandishwa na JPM unataka kupandisha tena? lipa kodi mzee enzi za kuishi burebure zimepita unless huoni matumizi yake ila nina uhakika unaona kupitia post zako humu!
😁😁😆😆 waambie hao wapuuzi walikuwa wanatamba Sana mjini kwa kuitwa eti Tiss wa JPm hakuna mtu alithubutu kuwachoma popote,hao ndio walikuwa wazalendo wa Mwendazake 😂😂.

Kwa kweli Mungu katuokoa maana.
 
Huu mradi ulisimama kwa sababu ya sera mbovu na zisizotahirika za Uchumi za Mwendazake.

Wawekezaji wamerudi tena,soon utaanza kuiona Dar ikirudi tena kwenye ligi ya majengo marefu na real estates sector kiujumla.
Wewe matakooo akili hauna ubongo wa ccm ni magufuli sasa hivi ccm hakuna ubongo wewe ukiwa ni mmoja wapo wa wasio na ubongo magufuli akuwa mpumbaavuu wa kuruhusu miradi uchwara ya sgr ya mchina kama ya kenya ,na kwa taharifa yako magufuli kaipaisha sana tz na zanzibar wakati wa korona kutokana na kuaminika kwake na watalii watalii walikuwa wanasema tukiwa tz tunajihisi tuko salama kwa sababu ya magufuli ujambazi na kukatika kwa umeme vyote vilitoweka tofauti na huyu minido
 
Wewe matakooo akili hauna ubongo wa ccm ni magufuli sasa hivi ccm hakuna ubongo wewe ukiwa ni mmoja wapo wa wasio na ubongo magufuli akuwa mpumbaavuu wa kuruhusu miradi uchwara ya sgr ya mchina kama ya kenya ,na kwa taharifa yako magufuli kaipaisha sana tz na zanzibar wakati wa korona kutokana na kuaminika kwake na watalii watalii walikuwa wanasema tukiwa tz tunajihisi tuko salama kwa sababu ya magufuli ujambazi na kukatika kwa umeme vyote vilitoweka tofauti na huyu minido
Kaipasha kutoka growth ya 7% hadi 4%,una akili kweli wewe nyumbu wa Magufuli?

Sitaki maneno nataka Takwimu, investors walikimbia wote na miezi 4 ya mama wamerudi fasta na kufikia ile Mark ya 2015 wakati anapokea kijiti.

Nchi ilikuwa inaendeshwa kwa mikopo huku mkiwa fool nyumbu kwa propaganda za kijinga eti tunajenga kwa pesa zenu.Acheninupumbavu bora Mungu katusikia wajane sasa mnasikilizia maumivu.
 
hilo sijui.. jamaa ana nyumba nzuri tu.. kitajiri.. maisha ya watu wengine ni siri
Al shabab kwn hakuna marajiri mzee, leo nakushangaa unataka kupindisha pindisha kweli..
Hyo jamaa katoa habari kiaina na tatizo mlizembea kumuua wakati ilikua keshaamua kujisalimisha
 
Back
Top Bottom