The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Zinafanana sanaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ndo huwa mnasema "bidi ofu zee semu faza" [emoji23][emoji23][emoji23]Zinafanana sanaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1906828View attachment 1906829
Jamaa malofa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndo huwa mnasema "bidi ofu zee semu faza" [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi nyie ndio mlisema nchi yenu ina mafuta vileee, yako wapi sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Biggest non- mineral economy in africa, mungu alitunyima resources lakini akili kubwa tunazo. Wengine akili ubongo wa mende[emoji23][emoji23]View attachment 1906731View attachment 1906733
Same technology same design same style same classZinafanana sanaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1906828View attachment 1906829
Wachina wala hawakufanya kosa...ni mwendo wa copy n peste from TazaraZinafanana sanaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1906828View attachment 1906829
Huu ni utapeli mkubwa sanaHapa ndio waliua kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1906839View attachment 1906840
Nimeona nisikujibu kwa maandishi. Kulipa kodi ni wajibu lakini hatuwezi acha watu wazoe madini yetu na kudai eti "hatutaki kuona TRA wakitoshaba nguvu ba Barrick Gold" kwakua ni wawekezaji. Yaani wachukue gold karibu na bure then tuwabebeshe maskini mizigo ya kodi.Kulipa kodi ni wajibu mzee kwa ajili ya kuwa huru huwezi kutegemea wahisani ndumilakuwili kama IMF na WB kila siku, wahisani wenyewe wanatoza hizo kodi kwao kutupa mikopo! Ukiwabana sana wawekezaji unaongezaje ajira sasa? Na nani kakuambia matozo kwao yatatosha? Na unawezaje ku-compete katika kuvutia wawekezaji na kodi kubwa kwao? Mimi namshauri mama aache expenses zisizo na tija kubeba kundi wakati anazungumzia kujenga mahospitali na anatoza zaidi kodi si akili! Anapaswa aonekane akibana matumizi pia!
Huyu mama tumepigwa tukubali tukatae, tuna katiba mbovu mno, katiba ambayo akitokea mzalendo nchi inaneemeka ila akitokea borgus lazima kilio kisikike, kwa bahati mby wazalendo ni wachache na ndiyo maana na conclude kwamba tuna katiba mbovu duniani, katiba ya karne ya 20 inakwenda kuamua maisha ya kizazi cha karne ya 21.
Cc: Coco reborn [emoji3516][emoji3516] hatutaki masihara na nchi maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Iyumbu DOM .. vile tz tupo busy kuijenga nchi yetu [emoji116]View attachment 1906873View attachment 1906874View attachment 1906875View attachment 1906876kuna mbuzi tunaziacha nyuma kwa speed ya 5G , eti nazenyewe back zinapigazana kelele na sie it's a shame