The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
























Nimeona nisikujibu kwa maandishi. Kulipa kodi ni wajibu lakini hatuwezi acha watu wazoe madini yetu na kudai eti "hatutaki kuona TRA wakitoshaba nguvu ba Barrick Gold" kwakua ni wawekezaji. Yaani wachukue gold karibu na bure then tuwabebeshe maskini mizigo ya kodi.
Mwanangu kapost hii na kanitag. Msikikize Magufuli juu ya kubebesha maskini kodi.
Hii ianzishiwe uzi wakuu ili tukaufute ule uzi wao wa kale kaghorofa kao kadwarfView attachment 1907041
Watu bado hawaamini kwamba huu mjengo unaenda kujengwa
Hata mimi siamini bado mpaka nione ground breaking! Kuna miradi mingi Zanzibar imeongelewa ila haijafanyika! Kuna this mega project with at least 4 5 star global brand resorts and 18 holes golf course and even a private airstrip tangu 2017..
ningependa sana uanze !Unless gazeti kama the citizen wanaandika habari za uongo ila tungoje kwa kutulia tuone, bongo kuna miradi mingi tuu ipo on paper ila tunatumai itatekelzwa
Hawa blue amber naona mradi wao bado wana ufanyia promo tuu
ningependa sana uanze !
nao ni mega project over $1.6 bln to be invested utakuwa na private airport with a runway of 3000 m! tangu 2017 wanaufanyia promo ulikuwa ufunguliwe mwaka huu!
Nani anahusika kujenga au serikali?Hii ianzishiwe uzi wakuu ili tukaufute ule uzi wao wa kale kaghorofa kao kadwarfView attachment 1907041
Haiwezi kuwa serikali private individuals!Nani anahusika kujenga au serikali?