Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

this must be a real and serious project
IMG_1103.jpg
 
Nyumba 1000 yani tukianza kupiga picha hazitakuwa za upande upande yani tunapiga tu kwa angle tofauti tofauti bila woga, sio vijumba kumi vinapigwa upande upande vinatupiwa humu
Anza kupiga picha sasa hivi uone ukiishiwa pumzi., anza sasa hivi kama una kende😂😂😂😂., , Domo domo tu., vijimaneno tupu bure kabisa😂😂😂, vitown vidogo Kenya vitakutoa kamasi uanze kutafuta Kibera ili kujikomboa.., mifukara kazi yao ni hadithi za vijiweni, facts zero!.,
 
Anza kupiga picha sasa hivi uone ukiishiwa pumzi., anza sasa hivi kama una kende😂😂😂😂., , Domo domo tu., vijimaneno tupu bure kabisa😂😂😂, vitown vidogo Kenya vitakutoa kamasi uanze kutafuta Kibera ili kujikomboa.., mifukara kazi yao ni hadithi za vijiweni, facts zero!.,
Acha kuongea maneno ya kujipa faraja we t**o ..hapo kunya land kuna mradi wa kulinganisha na Iyumbu nje ya NAIROBI.? Yani mji wenye nyumba 1000 .. kmmk ukileta mji wa hivyo nakunya hapa nilipo Mwanza mpaka kibera
 
Screenshot_20210825-004656_1.jpg
Screenshot_20210825-005032_1.jpg
Screenshot_20210825-004858_1.jpg
Screenshot_20210825-005021_1.jpg

Don YF heb pitia hapa alafu ulete kitu kinachofanana na hiki nje ya NAIROBI, huu mradi ni eneo zima la hivyo vitown vyenu uchwara, and guess what hizi hapo kwenye picha ni phase 1 ya mradi ni 400 houses..na huo ni mradi wa shirika la nyumba la taifa yaani unafanywa na government if Tanzania sio private property hii mzee
 
Ushawai sikia Vipingo Ridge?
View attachment 1907445

We ni chizi nini.? Unalinganishaje vijumba hata 100 havifiki kwa nyumba 1000.? Acha upumbavu kubali ukweli usijitie mipresha, miradi ya hivyo ipo kibao hapa bongo na huwezi kukutana na mtz anayozungumzia, tulieni hakuna mradi mkubwa kama Iyumbu nje ya NAIROBI kwahyo mkae kwa kutulia
 
Back
Top Bottom