Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijui hua tunashindana nn 😆😆👇👇

D7B25069-07F2-4162-B976-81EED5A74900.jpeg
 
Sio hajui, ila swala ni kukubali kuendeshwa na wale walio mfikisha hapo, wakina Kikwete.

Nashangaa, kwanini usalama wanamwacha kikwete aendelee kuushi.

Mwanae anatafuta nafasi ya waziri wa ulinzi kwa kasi mno, siyo shangaa akitangazwa yeye au Makamba. Lets wait and see.
Kweli wewe ni kiazi mbatata,usimlinganishe JK na baba yako? Usalama unawajua wewe au unaropoka tuu kama mwehu hapa?

Utakufa kwa pressure ya uzee,dili na mambo yanayolingana na ufinyu wa akili yako,mambo ya kuendesha nchi achana nayo kabisa utapotea.
 
Ni bora Magufuli aliwabana wawekezaji kwenye kodi na kutuachia tupumue kuliko huyu aliye wachimbia biti watumishi kuwa ataki kuona wakitoshana nguvu kwenye kodi na Barrick nacwawekezaji wengine, then kutubebesha mzigo wa kodi wananchi.

So sad.
Wawekezaji gani wewe kenge? Mikopo ya masharti ya kibiashara ndio wawekezaji? Hili taga la mwendazake ni jinga kabisa.
 


Huyu mwamba kajiamini vipi aisee au alitaka kufa tuu akaona isiwe tabu Acha nikazue taharuki tuu huko mjini
 
Huyu mama tumepigwa tukubali tukatae, tuna katiba mbovu mno, katiba ambayo akitokea mzalendo nchi inaneemeka ila akitokea borgus lazima kilio kisikike, kwa bahati mby wazalendo ni wachache na ndiyo maana na conclude kwamba tuna katiba mbovu duniani, katiba ya karne ya 20 inakwenda kuamua maisha ya kizazi cha karne ya 21.
Naona mataga mnafarijiana ,ni hivi jipangeni 2030 saizi ugulieni maumivu.

Majizi nyie mlikamata mazuzi wenzenu huku mkiibia nchi kwa mgongo wa uzalendo na Mungu mbwa nyie Lipeni Kodi
 
Nimeona nisikujibu kwa maandishi. Kulipa kodi ni wajibu lakini hatuwezi acha watu wazoe madini yetu na kudai eti "hatutaki kuona TRA wakitoshaba nguvu ba Barrick Gold" kwakua ni wawekezaji. Yaani wachukue gold karibu na bure then tuwabebeshe maskini mizigo ya kodi.

Mwanangu kapost hii na kanitag. Msikikize Magufuli juu ya kubebesha maskini kodi.


Unaropoka kwa kutumia tundu la nyuma? Nani anaechukua madini ya bure? Ume loose reasoning kwa hasira za kufiwa na mumeo,utakufa kwa ulcers mda si mrefu.
 
Back
Top Bottom