Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,719
- 107,165
Hapo kwenye yellow encircled si matayarisho ya office tower kweli? Mimi naona kama vile kuna kitu kinakuja maana la sivyo wangepanda majani!BRT Phase two inapita hapo kuungana na Morogoro Road.
Nadhani Soon hapo patakua safi sana na lile eneo maana TRC washamaliza kazi yao, iliyobaki ni BRT phase two kuanza kazi hapo. Lile eneo wakulungwa wanasema halina lami litawashangaza muda si mrefu. Ntawakumbusha mimi mwenyewe na picha kali za pavements na BR lanes[emoji1787][emoji41]
View attachment 1894237
View attachment 1894235