Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,691
- 107,133
kuliko Uhuru?Mtalii huyu.
nani anatamani ama ni mamako. sisi tumeridhika na ikulu yetu sawa na venye waamerika wameridhika na whitehouse. senge hiiyaani wanapoona Tz tunajenga ikulu mpya na makao mapya roho zinawauma kweli wanatamani wajenge ikulu mpya nairobi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hehehehe hili dege wallahi kwa haya masafari safari ya kila siku na wakati ndege ndogo ya Rais ipo cjui itakuwaje huko mbele.
Sure.Mtalii huyu.
huwezijua labda ndege ya Rais ni ndogo kwa mama!Hehehehe hili dege wallahi kwa haya masafari safari ya kila siku na wakati ndege ndogo ya Rais ipo cjui itakuwaje huko mbele.
Kweli kabisa mkuu.huwezijua labda ndege ya Rais ni ndogo kwa mama!
unajua anapotumia Air Tanzania serikali inakodi hiyo ndege? Sasa kipindi hiki cha corona ni anaipa boost Air Tanzania!Kweli kabisa mkuu.
Mm sizungumzii mapato ya Air Tanzania nazungumzia matumizi mabovu ya fedha za umma hasa kwa viongozi malimbukeni wa kiafrika, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kuharibu haribu pesa kwa sifa za kijinga.unajua anapotumia Air Tanzania serikali inakodi hiyo ndege? Sasa kipindi hiki cha corona ni anaipa boost Air Tanzania!
Hahahahaaa huyu mzee pilika zake zootee na mabarakoa kila sehemu sijamuona kuunga mkono juhudi za chanjo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena na mbali sana. Tangu aingie urais ametembea nchi nyingi kuliko Uhuru alivyotembea. In fact since Samia aingie Urais Uhuru ametembelea UK pekee. Samia naye ametembea Ug, Kenya, Rwanda, Burundi sasa ako Malawi.kuliko Uhuru?
Hapo double stack inapitaje sasa kwenye hiyo tunnel [emoji50][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vumilia tu, ya umeme itafika hivi karibuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachana na chuma chetu..,
View attachment 1894306
View attachment 1894314
View attachment 1894312