Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wamekaa kikao kule PM wakaona wakikaa kimya hawataeleweka, now ndo wameambizana waje kwa pamoja kutetea upuuzi, eti Petty search, we mpuuzi nn unaiba picha zaidi ya tatu kwenye post moja zen unasema Petty, c ungeweka picha hii hapa ya ukweli kuliko ku mix hospitali ya kiwango kule SA uki claim kwamba ipo Nairobi, weka picha yenu ya st mary's ya Kenya unaona aibu gnView attachment 1845125

Hapo mlangoni ukija na Ambulance ipo speed ndio unafia hapo hapo getini Sio kwa Marked road hiyo . Kwa sauti ya Mapesa.
 
Na huo udogo wake bado Nairobi ni two times wealthier than Dar😂😂.
Wealthier of what ??? 😂😂😂 ikiwa 75% watu wanaishi kwenye maisha zaidi ya nguruwe kuna utajiri gani au unamaanisha utajiri wa politicians na wale wajanja wachache
 
Je, wakumbuka ukisema GTC ni render?
Je, wakumbuka ukisema Expressway in render?
Je, wakumbuka ukisema 88Nairobi ni render?
Je, wakumbuka ukisema CBK Pension House ni render?
Je, wakumbuka ukisema Parliament Tower ni render?
Je, wakumbuka ukisema miradi nyingi za Nairobi ni render, mwishowe unaaibika?

Haven't you learnt something bongolala?
Express way nakumbuka nilifkiri munajenga nyinyi kwa pesa yenu kumbe ni ya mchina kwa miaka 30 na mutalipia hapo kwa lazma sio ombi 😂😂😂😂

GTC nayo ni ya mchina ni yale yale unaruka mkojo unakanyaga mavi 😆😆😆😆

Narudia kusema mwambie mwenzako asante kwa render
 
Si mbaya kujifari
Battle ya school buses mlibaki ku post viberiti mzee, leo battle ya hospitali za mitaani ukakimbia, ya hospitali zote mumeanza kulia lia..
Hamna kitu nyie bana, sio mtaani mpka ushuani huduma zero..

Km unabisha tuanze sai na usikimbie, chagua tuanzie ushuani au mitaani chaguo ni lako bibie..
Nairobi vs Dar km hukukimbia nitakusifu
Usipokimbia nitakusifu mzee..chagua, tuanzie ushuani au mitaani kw kila kitu mzee
Tena hapo mmezzd mpk Morroco na Egypt health care services zenyewe ndiyo hizi mnapost humu View attachment 1845160
 
wacha ushenzi Mkunya! Hii ni Aga Khan University campus ya Karachi Pakistan

2834109_images_-_2021-07-07T150218.129.jpeg



And this is Arusha's

Architectural Model of the Aga Khan University Faculty of Arts and Sciences (AKU-FAS)​

aku-fas-01.jpg



aku-fas-02.jpg



aku-fas-03.jpg



aku-fas-04.jpg



aku-fas-05.jpg



aku-fas-07.jpg

aku-fas-06.jpg



aku-fas-08.jpg



aku-fas-09.jpg



aku-fas-15.jpg



aku-fas-18.jpg



aku-fas-19.jpg




🤣🤣🤣🤣🤣 kama kawaida yao kwenye maneno 10 chukua moja uondoke

Simba 254 vp mzee umekula kamasi
 
Wamekaa kikao kule PM wakaona wakikaa kimya hawataeleweka, now ndo wameambizana waje kwa pamoja kutetea upuuzi, eti Petty search, we mpuuzi nn unaiba picha zaidi ya tatu kwenye post moja zen unasema Petty, c ungeweka picha hii hapa ya ukweli kuliko ku mix hospitali ya kiwango kule SA uki claim kwamba ipo Nairobi, weka picha yenu ya st mary's ya Kenya unaona aibu gnView attachment 1845125
Barabara yenyewe imechoka hatari 😂😂😂
 
Mkunya hii facility ipo New York city
2834422_images_-_2021-07-07T174539.686.jpeg

 
Back
Top Bottom