Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao wasanii wenu watoe kwanza ngoma kali kama hiz . Alaf ndio ulete hii mada tena
Kenya huwezani nayo mzee likiha swala la kimataifa, wakati Campmulla wamekua nominated BET domo alikua bado yupo tandale anahaha..
Vile vile prezzo wakati anakula bata marekani domo alikua bado ywasoma, sasa nyie vitu mnavyovifanya sasa kenya wasanii walifanya kitambo....
Prezzo alitembelea helicopter 15yrs ago lkn nyinyi mnafanya sasa lkn midomo mingi tu
 
Wenzio mpk leo hawataki tena battle ya govt hospitals, waliishia kusema hospitali co majengo
 
You want us to show case hospitals or what?
Chanika Maternity Hospital
1625650719897.png


1625650759427.png


1625650855585.png


1625650901827.png
 
Back
Top Bottom