Simba 254
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 2,679
- 1,766
Leta battle ya hosipitally we see what you gotKama unataka battle sema tu mm mbn nipo![]()
Leta battle ya hosipitally we see what you gotKama unataka battle sema tu mm mbn nipo![]()
Kenya huwezani nayo mzee likiha swala la kimataifa, wakati Campmulla wamekua nominated BET domo alikua bado yupo tandale anahaha..Hao wasanii wenu watoe kwanza ngoma kali kama hiz . Alaf ndio ulete hii mada tena


Kenya tuna grammy award km hujui. Wasanii wenu kwanza waweze kutoa kazi kali kama hiz , ndio mje mlete mada za kubishana mziki Kim Dawizzy
Naona bullet train mzee
Wewe mgeni humu kwani? Mbn hii battle tulishashinda kitambo, uliza wenzio kwnn hawaitaki hii battleLeta battle ya hosipitally we see what you got








Hio ni drone shot. Punguza ushamba.Duh hiyo ni camera yako low quality au ndio kulivyo mana kumepauka balaa.









Chanika Maternity HospitalYou want us to show case hospitals or what?
Kwn unaona hapa tunafanyaje, lete hospitali za mitaani dar tayari mi nshakupa mbili kw upande wetuKama unataka battle sema tu mm mbn nipo![]()


Hapana tuanze wacha wogaWewe mgeni humu kwani? Mbn hii battle tulishashinda kitambo, uliza wenzio kwnn hawaitaki hii battle![]()
Njoo na hospitali za mitaani dar mzeeKama unataka battle sema tu mm mbn nipo![]()


Kwahiyo drone shot ndio inapausha eneo au sioHio ni drone shot. Punguza ushamba.










Mm nataka battle ya hospitali yyte ile mradi iwe ya govt, ready?Njoo na hospitali za mitaani dar mzee
Unalialia nini sasa




Kwani hospitali za mitaa hamna, tunataka kuona serikali ipi kati ya hizi mbili inawajali watu wa chini..Ukidanganya tunakuumbua.
Tunaanza Temeke Hospital - Dar es salaam
View attachment 1844378
View attachment 1844380
View attachment 1844383
View attachment 1844386
Tangu lini camera ya drone ikawa low quality? Wakati mwingine unazungumza vitu vya hovyo sana.Kwahiyo drone shot ndio inapausha eneo au sio![]()
Kwhyo umeshindwaMm nataka battle ya hospitali yyte ile mradi iwe ya govt, ready?![]()



nchi ya mathievies.. hadi polisi anaibiwa.. ambieni serikali yenu iwape kazi jobless
Sawa vile utatakaMm nataka battle ya hospitali yyte ile mradi iwe ya govt, ready?![]()