Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I asked for aerial photos, not horizontal ones. Alafu unasema picha Ni za mbali sana wakati MNF linaonekana vizuri sana picha ya mwisho?
Nilicheka sana cku uliposema hapa ni CBD
JamiiForums1512544399.jpg
 
Hatuiyogopi, tumeitambua kikamilifu, sasa Kiswahili chenyu kuihusu haituchanganyi kamwe.., facts ziko wazi tu ., Dar kazi yake tumemaliza.., Mimi nilishamaliza na drone clips., and when I went there for work some years back kama bado brt was still under construction., makazi yenyu ni ya kimasikini na ni kubwa sana, mtu anaweza potea ndani kama ni mgeni!.., Dar ni Lagos na Kinshasa tu., Kinshasa CBD yao ni kubwa kuliko Dar by far! Makazi uchwara kwa wingi, mnafanana tu.
Hehehehee haya hapa makazi ya mwananchi wa kawaida Dar
IMG_20210523_153417_763.jpg
IMG_20210515_122242_506.jpg
IMG_20210515_122216_287.jpg
IMG_20210515_122231_203.jpg
IMG_20210523_154719_613.jpg
IMG_20210523_154705_966.jpg
 
Hehehehee jaribu kunifuatilia ninapoenda majukwaa mengine mfano jukwaa la siasa, huwa nawagalagaza kwa facts na sijawahi kushindwa mm kubaabeq
Ikija kwa Kenya hauna facts per'se ni cherry picked news item then unatumia out of context kulazimisha fikra zako ama muonekano wako kwa wengine.,but for objective analysis of issues, kaka uko ovyo, hapa unanitumbuiza tu na vioja vyenu 😂😂😂., have read several of your arguments, ni biased reasoning, very subjective na kulazimisha kisichokua kionekane ni kama kipo. Wewe bado sana, you are just a sycophant kama ichoboy01 😂😂😂😂, eti facts!!😂😂😂😂 Wewe bado sana in any serious debate, you are a childplay 😂😂😂
 
Ikija kwa Kenya hauna facts per'se ni cherry picked news item then unatumia out of context kulazimisha fikra zako ama muonekano wako kwa wengine.,but for objective analysis of issues, kaka uko ovyo, hapa unanitumbuiza tu na vioja vyenu ., have read several of your arguments, ni biased reasoning, very subjective na kulazimisha kisichokua kionekane ni kama kipo. Wewe bado sana, you are just a sycophant kama ichoboy01 , eti facts!! Wewe bado sana in any serious debate, you are a childplay
Hahahahahaaa mm huwa nabadilika kulingana na mtu husika, ukija kichizi nakuwa chizi zaidi yako, ukija kwa busara nakuwa na busara zote, mm niligundua Wakenya ni washenzi hivyo nikiwa na debate nao natakiwa niwe mshenzi zaidi yao
 
Cku hz Wakenya wanaiogopa CBD ya Dar kinoma noma niko hapa leo mpk saa saba usiku atokeze mkunya anayejiona ana msuli au UFIPA yeyote yule
Sasa Dar cbd iko na nini cha kuogopwa? I am just reminding you that Dar ni cbd tu, hakuna kitu kingine nje ya hiyo cbd
 
Back
Top Bottom