Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa mbwa wanapenda sana sifa za kipuuzi, ni laana waliyonayo, hivi vipicha unavyoona tunawastukia kwamba wameiba sio kwamba wanafanya kusudi bali ni media zao ndio ziko hivyo, ukiingia Google utaona vitu vingi wameweka mtandaoni kwamba ni vyao, uki Google picha ya infrastructure nyingi za EAC utakuta heading wameweka nchi yao yani mpk ukiingia ndani ndo utakuta kwamba sio ya Kenya, ni mbwa sana hawa wenye tabia za kichokochoko kupenda mali za watu.
Si hata nyie ukiingia google sgr yetu ndio mnaitumia kw karibia kila cover page ya habari zenu kuhusu sgr
 
Muhimbili Orthopaedic Institute
1625666883035.png


1625666989698.png


1625667051058.png


1625667257321.png
 
sijawah kuona mtanzania kaiba picha, it only happens to kenyans
Hivi mbona mnasahau haraka hivi, tanzania mpka viongozi wanaiba picha we unasema nini bana..
Kenya ukinionyesha kiongozi au mtu yyte serekali kaiba picha ya sehemu tofauti duniani na kusema ni ya kenya
 
Huyu demu kuna mitaa hapa bongo nimewahi kumuona km ni yeye, ni kama.laya kamoja hivi nilikaona mitaa ya kitunda kamevaa kikuku mguuni kanatokea mombasa, kadada poa poa flani
Huyo sitaki kujua kama ni kiruka njia wala nini. Akinipa napiga bila maswali.
 
Back
Top Bottom