Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania mliokuwa hamjui jinsi nchi yetu ilivyojuu kwa kila kitu EA nadhani mmeona, kila wanapogusa hawa wakunya tunawawashia moto yn hakuna mahali wanatuweza ukiacha mchezo wa kitumwa

Juzi tulikuwa na battle ya school buses wamechezea kichapo

Tukaweka battle ya hotels wakachezea dudu

Leo ya hospitals tayari wametuma mtu aje kuharibu battle mana wamebaki kuiba hospitals za watu wakisema ni zao mbwa hawa
 
95% ya hospital alizopost humu hazipo Kenya, kwahiyo Venus Star unajichosha kuendelea kuweka hospital za Tz mana tumeshinda mda mrefu hii battle, ona hapa huyu mbwa anavyoongopa View attachment 1845067View attachment 1845068
Screenshot_20210707-194424_Chrome.jpg

You must be sick
 
🤣 🤣 🤣 🤣. Mzee umetepeta leo
View attachment 1845109
Nyi mkishindwa you start getting petty search st Mary's mission hospital langata nairobi If there is a a saint Mary's and 80% of the pics are accurate well and good when searching for images google for several hospitals at once such mistakes are bound to happen so being petty is just a sign of a sour looser
 
Huyu mbwa ni mwizi wa kiwango cha SGR, km hospitali zimeisha Kunyaland si uwache hii battle kuliko kuiba za watu View attachment 1845059View attachment 1845060View attachment 1845061View attachment 1845062
Nyi mkishindwa you start getting petty search st Mary's mission hospital langata nairobi If there is a a saint Mary's and 80% of the pics are accurate well and good when searching for images google for several hospitals at once such mistakes are bound to happen so being petty is just a sign of a sour looser

Quote
 
Watanzania mliokuwa hamjui jinsi nchi yetu ilivyojuu kwa kila kitu EA nadhani mmeona, kila wanapogusa hawa wakunya tunawawashia moto yn hakuna mahali wanatuweza ukiacha mchezo wa kitumwa

Juzi tulikuwa na battle ya school buses wamechezea kichapo

Tukaweka battle ya hotels wakachezea dudu

Leo ya hospitals tayari wametuma mtu aje kuharibu battle mana wamebaki kuiba hospitals za watu wakisema ni zao mbwa hawa
Si mbaya kujifari
Battle ya school buses mlibaki ku post viberiti mzee, leo battle ya hospitali za mitaani ukakimbia, ya hospitali zote mumeanza kulia lia..
Hamna kitu nyie bana, sio mtaani mpka ushuani huduma zero..

Km unabisha tuanze sai na usikimbie, chagua tuanzie ushuani au mitaani chaguo ni lako bibie..
Nairobi vs Dar km hukukimbia nitakusifu
 
I asked you what is the meaning of sgr? When you understand then you will become sober and answer that question on your own
Hawezi akajibu vitu km hvyo, hana uwezo wa kungamua mambo km hayo we muulize kulialia tu hapa
 
Back
Top Bottom