Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In 10 years mafuta itakua imepungua bei sana due to modern ways and emerging of electric cars and motors
Ndio maana nilimuelewa hata madam president SSH alivyosema kama kuna rasilimali kwenye mbuga au else where zianze kuvunwa maana kwa muongo mmja ujao by 2035 mali ardhi nyingi zitaisha thamani yake kutokana na teknolojia mpya.

Angekuwa yule backward president Jiwe angesema eti watatumia vizazi vijavyo,sijui mda na teknolojia vitakuwa vinawasubilia hao vizazi au laa.

Mbaya zaidi hao wanaoitwa kizazi kijacho wasipoyengenezewa mazingira rafiki kwa kutumia rasilimali saizi hakuna kitu watafanya maana watazaliwa kwenye jamii fukara na wataishia kuwa mafukara hivyo hivyo
 
Uzuri tuko na the largest deposits za nickel na ghaphite na izo rare earth minerals zingine kwaiyo tuta mitigate if that happens
Zote hizo hazina uhakika ,zingekuwa ni deal ungekuta investors wameshakuja kitambo kama kwenye gold na gas na oils
 
From a visionary man who saw it before anyone else akajenga kipande cha mwisho so that whoever comes after him has to finish it for the project to make sense.
Huyo alikuwa anapendelea kwao nani kakwambia kwamba ni lazima amalizie hiyo reli,fine inaweza kujengwa but sio kwa pace ya kuhamoshia bajeti nzima kwenye mradi 1,hakuna mtu atafanya huo ujinga wa mwendazake.

Nchi hii inahitaji mambo mengi ya msingi kuliko reli za kujifurahisha
 
Tatizo ni bei ,bei inaweza kuja kuwa chini kuliko gharama za uzalishaji sasa hapo itakuwa useless kama makaa ya mawe
Nenda kadanganye wanakibera wenzako huko. Unajua 1kg ya coal ni how much!?
Mabaki ya coal baada ya kuchomwa hutumika kutengeneza gypsum.
Coal ash zinamatumizi mengi mno.

Nenda shule kwanza siyo kuropoka kama mpumbavu vile.
 
Tatizo ni bei ,bei inaweza kuja kuwa chini kuliko gharama za uzalishaji sasa hapo itakuwa useless kama makaa ya mawe
Screenshot_20210521-125430.png
 
Nenda kadanganye wanakibera wenzako huko. Unajua 1kg ya coal ni how much!?
Mabaki ya coal baada ya kuchomwa hutumika kutengeneza gypsum.
Coal ash zinamatumizi mengi mno.

Nenda shule kwanza siyo kuropoka kama mpumbavu vile.
Kule Njombe,Mbeya,Ruvuma nk kumekuwa na reserve za hiyo coal kwa miaka ya kuzidi lakini no investor hadi sasa.

Kama ni deal kihivyo kwa nini hawaji badala yake wanakimbklia kwenye mafuta,gold na gas?
 
Kule Njombe,Mbeya,Ruvuma nk kumekuwa na reserve za hiyo coal kwa miaka ya kuzidi lakini no investor hadi sasa.

Kama ni deal kihivyo kwa nini hawaji badala yake wanakimbklia kwenye mafuta,gold na gas?
Mzee hatuuzi national resources kipumbavu pumbavu kama nyie.
Tunaangalia maslahi mapana ya taifa.

Halafu tunarudi kwenye petroleum. Wewe ni ndezi vilevile ni hopeless unapayuka tu huijui duniani.

Jifunze basics kidogo za petroleum.

 
Back
Top Bottom