Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 ngoja tuone twitter inasemaje








Opinion vs opinion
Na watanzania wanasemaje pia, lazima ni ji entertain humu😂😂😂😂😂
Screenshot_20210307-074439.jpg

Screenshot_20210307-074429.jpg
 
Sasa haya mazingira gani ya kujivunia,,ona venye uswazi unafanana,,mabati yameoza,,hakuna tofauti na slums 😂😂
Kwani tandale mwanzo mulikua munaionaje sasa hvi je?? Munahamu ya kuiongelea sasa kesho naenda yombo kaa mkao wa kula nataka kuamini ww na mzungu nani anaakili zaidi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Middle class ziko sehemu nyingi sana dar hata mikocheni mbezi ni middle class, upnga ni middle sasa tunapoongelea umaskini na maskini wenyewe

tukiwapimisha ratio ya maskini wa kenya na tanzania ambao ndio wengi tutapata majibu gani???😀😀😀

slums zinamilikiwa na serekali na zimebeba 70% ya nairobi nzima sasa hapa tunashindana nn 😁😁😁😁😁

Hao hao 70% hawana ndoto ya kumiliki chakula achana na ardhi haya tukitoka hapo twende kwa wale bedsitter munaowaita middle class 😄😄😄 wale wanakwenda speed ya kutafuta pesa ya rent na uji ndoto ya ardhi na nyumba

sasa wale matajiri nataka kuona nyumba walizojenga kwa kutumia ndoto zao au nyumba wanazotaka wao ukipata hio nitag bro 😀😀😀😀😀😀
Masikini wa Tz world bank inapima na kigezo cha kuishi chini ya $0.9 na anapata fukara 28million ndani ya Tanzania😂😂😂😂., Kenya wanapima na $2.99, wanapata 20 Million., fikiria sana semi illiterate, fikiria 😂😂😂😂😂😂.,
 
Kuna mtu anasikia kukupiga eti umewajuza vya Kenya😂😂😂😂.,vanatamani haungepost hii taarifa😂😂😂 Maendeleo left right n centre with covid challenges.., wengine hawakufunga lakini wapi!!😂😂😂😂.,
😂😂😂Sasa wataelewa sababu ya Kenya kuwa superpower hapa East and central Africa,,
 
Subiri wajenge alaf ongea sasa 🤣🤣🤣 munaji race sana tulieni leo tanzania inawapeleka mputa mputa 😆😆😆😆😆 miaka 10 iliopita sio nyinyi mulikua munaitukana tanzania leokimy
😂😂😂Sasa Tanzania GDP bado inatapatapa kule chini,,nyi bado Sana😂😂
 
Masikini wa Tz world bank inapima na kigezo cha kuishi chini ya $0.9 na anapata fukara 28million ndani ya Tanzania😂😂😂😂., Kenya wanapima na $2.99, wanapata 20 Million., fikiria sana semi illiterate, fikiria 😂😂😂😂😂😂.,
Tz ilishaingia middle income toka mwaka jana sasa wewe unatuletea hadithi za zilipendwa na za alinacha ongea facts mzee
Hata tukija kwenye inflation rate tanzania iko chini easta africa nzima unategemea maskini hatakua na ndoto ya kujenga 🤣🤣🤣 wakat ardhi kigamboni is about 2m to 5m
 
Na tandale je ilikua wapi ushagoo kesho naenda yombo sasa tukaamini kwann mzungu sio mjinga 🤣🤣🤣🤣
90% ushago wewe kelele mingi rudisha vijiweni kule unakoamkia kila siku😂😂😂😂.,
 
Tz ilishaingia middle income toka mwaka jana sasa wewe unatuletea hadithi za zilipendwa na za alinacha ongea facts mzee
Hata tukija kwenye inflation rate tanzania iko chini easta africa nzima unategemea maskini hatakua na ndoto ya kujenga 🤣🤣🤣 wakat ardhi kigamboni is about 2m to 5m
😂😂😂😂😂Semi illiterate, since muingie LOWER middle income, pale kwa mkia dogo to be specific, bado world bank hawaja release any data, what is there ni ile ya 0.9$., wakati corona ilikua ndio imeanza, so tuambie wangapi wamepanda kutoka hiyo 28million, na vyuma vilikua vimekaza mkijaribu kushindana na Kenya ilhali mna uchumi hafifu, sasa mliiumbuliwa na CAG.,😂😂😂😂.,
 
Taken 15km from cbd😂😂😂 Nairobi scrapers si mchezo,inaumiza watu sana
Na ni old CBD tu kwa hiyo picha, hii👇👇 ya Dar ni CBD yote!, mwanzo mwisho😂😂😂 kisha ushuzi kachukua ushukani kuendelea kujaza 1500 sq km 😂😂😂😂😂.,
Screenshot_20210514-145319.png

Screenshot_20210517-115337.jpg
 
Back
Top Bottom