komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Uhuru is all alone, neither South Sudan's Kiir nor Ethiopia's Ahmed is there....si mbadili jina toka LAPSSET to LAPIST (Lamu port Isiolo Transport corridor) ? Mbona mnajiangaisha na ndoto za mchana?
Hilo swali lilishawahi kuulizwa na member mmoja humu Jf, ni kwamba vitu vipo wazi kwamba Africa ni sehemu ya upigaji kwa westerners na pia wanaotumiwa ni waafrika wenyewe a.k.a punda, ilikuwa kila siku humu humu Jf hukosi kusikia mtu anasema wamezika watu, wengine wanaongopa mpk ndg zao wamekufa lakini cha kushangaza waliokuwa wanakufa ni watu wa mtaani kwao tu, na ndugu zao, lengo lilikuwa kumtoa kwenye reli mzee wa watu na kumpa stress ikiwezekana afe waendelee na upigaji so lengo lao limetimia huwezi kusikia hizo habari tena.kwann Magu kaondoka, na mambo ya vifo vya corona hazipo tena?.. wale mapadri hawavai barakoa tena



Huyu au mpango tukiwapa tutarudi kwenye msingiTumaini letu kubwa lipo kwa Mzee wetu majariwaView attachment 1792137
Hilo swali lilishawahi kuulizwa na member mmoja humu Jf, ni kwamba vitu vipo wazi kwamba Africa ni sehemu ya upigaji kwa westerners na pia wanaotumiwa ni waafrika wenyewe a.k.a punda, ilikuwa kila siku humu humu Jf hukosi kusikia mtu anasema wamezika watu, wengine wanaongopa mpk ndg zao wamekufa lakini cha kushangaza waliokuwa wanakufa ni watu wa mtaani kwao tu, na ndugu zao, lengo lilikuwa kumtoa kwenye reli mzee wa watu na kumpa stress ikiwezekana afe waendelee na upigaji so lengo lao limetimia huwezi kusikia hizo habari tena.
Huyu au mpango tukiwapa tutarudi kwenye msingi
Hata magu wengi tulisema hatokuwa na nguvu ya kuwabana wale mabwana lkn ikawa vice versa.mpango naona hana nguvu ya kuhimili mikiki ya kampen kzungukazunguka.. yey ni mtu mtulivu
Acha uongo mzee, wakati wa magu upigaji ulikithiri sana..Magu ni rais aliyeishi mazingira magumu sn ktk uongozi wake sidhani kama alipata wasaa wa kufurahia urais wake, alikuwa na stress mno, akizubaa tu watu wanataka kupiga akigeuka huku presha toka kwa wenye dunia, yn maisha yake yalikuwa magumu mno mwache akapumzike, kuna mkenya mmoja humu amewahi kusema ndiyo maana Magu akaamua kuwaachia hiyo shit hole![]()
Kwamba upigaji ulikithiri huku ndio ikiwa awamu iliyofanya makubwa kuliko awamu zote zilizopita au nakosea? Eti miss komora nasema uongoooAcha uongo mzee, wakati wa magu upigaji ulikithiri sana..



From a visionary man who saw it before anyone else akajenga kipande cha mwisho so that whoever comes after him has to finish it for the project to make sense.
Siku hizi huiamini jf tena![]()