Uganda kuna mafuta yakutosha kweli😂😂😂 lamu port tayari kazi, bado bomba mpaka south sudan kwenye visima venye hela ndefu🤑🤑this is how you console yourself baada ya kuloose bomba la mafuta?!
Hatujapoteza sasa hivi hata ndo njia zinapanuliwa za kutoa mafuta from there to lamu huna habari???this is how you console yourself baada ya kuloose bomba la mafuta?!
Do you know graphite, and nickel needed for electromobility is ample in Tanzania!? Even Tantalum(coltan) for mobile fones aside Helium!In 10 years mafuta itakua imepungua bei sana due to modern ways and emerging of electric cars and motors
Tanzania ina mafuta mengi kama uarabuni
🛢️🛢️🛢️🛢️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ⛽⛽⛽
The price for those is going to shoot in a few if you invest in stocks I can recomend you invest in those.. that I have no fight over but oil will deep soon unless otherwiseDo you know graphite, and nickel needed for electromobility is ample in Tanzania!? Even Tantalum(coltan) for mobile fones aside Helium!
In 10 years mafuta itakua imepungua bei sana due to modern ways and emerging of electric cars and motors
😅😅😅 Kisumu na Eldoret zote zinalambishwa mchanga na Kilimanjaro
Hicho kikisumu kina majengo mawili tu 😅😅😅
[MEDIAyoutuyu
😅😅😅 Kisumu na Eldoret zote zinalambishwa mchanga na Kilimanjaro
Hicho kikisumu kina majengo mawili tu 😅😅😅
Mzee mafuta unadhani kazi yake ni kuendeshea kagari pekee!?In 10 years mafuta itakua imepungua bei sana due to modern ways and emerging of electric cars and motors
Okoa muda na bundle 😅😅
yaan moshi inaichapa kisumu nnje ndani
Ila kuondoa bidhaa ya mafuta sokoni inahitaji zaidi ya miaka 100 toka sasa, petrol/diesel ni 1 tu kati ya aray of petroleum productsThough mm npo against na izi fossil fuels expecially mafuta ila hatuna budi tunaitaji maendeleo na yakipatikana yachimbwe fasta kwa kasi ya 5G maana miaka 20 ijayo yatakua hayana soko tenaa