Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Ksh. 95 Milli.... From 50 bob savings🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyuki, laikipia kweli jamani tunazungumza dream za kimjini ww unatuletea mambo ya ushagoo bro are u even serious
Ksh. 95 Milli.... From 50 bob savings🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyuki, laikipia kweli jamani tunazungumza dream za kimjini ww unatuletea mambo ya ushagoo bro are u even serious
Ku invest mikoani pia ni vizuri ndo inchi iinuke evenly🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyuki, laikipia kweli jamani tunazungumza dream za kimjini ww unatuletea mambo ya ushagoo bro are u even serious
Mzee hvi nikuulize ww hutamani kua na plot nairobi na unijibu bila hasira😄😄Ku invest mikoani pia ni vizuri ndo inchi iinuke evenly
Katumia miaka 50😆😆😆 inamaana nyumba kaipata baada ya miaka 50 ama??😁😁😁 Na ujana wake kwisha sasa anasubiri siku ya kufa huku watoto na wajukuu wakitazama nyuma ya urithi ama??? Bado ndugu na jamaaKsh. 95 Milli.... From 50 bob savings
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nyamaza tu bro leo sitaki kuaibisha mtu manake mutazidi kunichukiaArusha napajua vizuri tena sana, labda hata nimesafiri tanzania zaidi yako,
Ndo mimi huyo, unasemaje kwaniAu ndo wewe huyo..!!!?
Ni sacco wacha uboya, alafu usibishane vitu hujui. Si una net, ka tafute huko mwenyewe... 😂Katumia miaka 50😆😆😆 inamaana nyumba kaipata baada ya miaka 50 ama??😁😁😁 Na ujana wake kwisha sasa anasubiri siku ya kufa huku watoto na wajukuu wakitazama nyuma ya urithi ama??? Bado ndugu na jamaa
Tukupe hela ukanunue kiatu,sio unavaa vitu vya ajab ajabNdo mimi huyo, unasemaje kwani
Nimekukanya kuchunguza wanaume ama ndo mmezoea kwenu.Tukupe hela ukanunue kiatu,sio unavaa vitu vya ajab ajab
Jamaa waongo sana,yaani bodaboda let say kaanza na miaka 25 aki-save ksh 50 daily ili apate ksh 95 mill inaweza kumchukua zaidi ya miaka 1000 ...Katumia miaka 50😆😆😆 inamaana nyumba kaipata baada ya miaka 50 ama??😁😁😁 Na ujana wake kwisha sasa anasubiri siku ya kufa huku watoto na wajukuu wakitazama nyuma ya urithi ama??? Bado ndugu na jamaa
Acha uwongo bwana ksh 50 to ksh 95 mill..!!!!???? We akili yako inafanya kazi kweli??!Staki fujo, kama huelewi nazungumzia nini, tulia na ule kitimoto taratibu.. 😂
"From an initial daily savings of Ksh. 50, boda boda operators in Nanyuki town, Laikipia County, became the proud house owners in a project worth Ksh. 95 million."
NB;waendesha boda boda wa huko wanapiga miradi kama hii? 😂
Bora tu arudi maana tumeshaanza kumkumbuka kama alivyosema..Nmerudi kama mzimu View attachment 1791540
Twende pole pole school dropout, hii ndo maana ya metropolitan, soma ukielewa niquote tuendelee na somo.😂😂😂Jibu swali kiambu lini imekua nairobi?? 🤣🤣 na aliengiza kiambu ndani ya county ya nairobi nani??? 😁😁😁😁😁 simamia kwenye swali kwanza