Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana nilimuelewa hata madam president SSH alivyosema kama kuna rasilimali kwenye mbuga au else where zianze kuvunwa maana kwa muongo mmja ujao by 2035 mali ardhi nyingi zitaisha thamani yake kutokana na teknolojia mpya.

Angekuwa yule backward president Jiwe angesema eti watatumia vizazi vijavyo,sijui mda na teknolojia vitakuwa vinawasubilia hao vizazi au laa.

Mbaya zaidi hao wanaoitwa kizazi kijacho wasipoyengenezewa mazingira rafiki kwa kutumia rasilimali saizi hakuna kitu watafanya maana watazaliwa kwenye jamii fukara na wataishia kuwa mafukara hivyo hivyo
Wewe unafkiri hzi rasli mali amabzo leo unazishuhudia zingetumiwa vibaya na wazee waliopita leo zingekuwepo??? Au ww unaangalia tumbo lako huangalia miaka 30 ijayo utakua kwenye hali gani

dunia hii lazma uwafkirie na wengine sio uangalie tumbo lako na njaa zako🤣🤣🤣
 
Mkuu report iko kwa website ya world bank, report ya 2020;
View attachment 1792702
View attachment 1792703
View attachment 1792711
Vigezo walizotumia ni LDC $1.9, Lower mido income ambayo kwa sasa wataanza kutumia kwa Tanzania ni $3.2, na upper middle income kama akina SA ni $5.5, Sasa mtu akiona eti Kenya below poverty line ni 40% ana fikiria hiyo below poverty line ni same na below ya Tz by then, but kwa sasa watapima kwa pamoja at $3.2 since Tz joined lower mido income.,
View attachment 1792705

My take; Mimi kama a researcher, siwezi kukubali eti 28 million Tanzanians ni fukara wa kutupwa kama vile world bank wanavyo dai., ama eti 40% people living below poverty line (ya $3.2) Kenya ni masikini wote la, I don't accept, poverty is relative ukifanya forensic audit ya poverty across Africa utapata waafrika wako sawa sana., kukosa pesa haimaanishi mtu ni masikini ki hivyo., bei ya commodities pia ni nafuu kiasi ukilinganisha, mashambani pia maisha iko nafuu sana ata kama mtu hana hela, siwezi kuongelea Tz, alafu leo mtu anakosa Kesho anapata, so sio standard., Umasikini upo lakini hatuwezi kufuata hizi data for conclusions. Hapa ni debate tu na kupondana, yaani battle sio uadui.
Sasa world bank walikosea ama 🤣🤣👇👇
Ongea taratibu plz bila hasira kuna wagonjwa humu plz plz 😄😄😄😄
BA3A2BAA-9D31-4CC4-94F7-3B4B99A97627.jpeg






07BC6969-9AC5-4D91-9F10-D7131AC14557.png



 
Sasa world bank walikosea ama
Ongea taratibu plz bila hasira kuna wagonjwa humu plz plz
View attachment 1792784





View attachment 1792790


Kilaza katika ubora wake
 
Sasa world bank walikosea ama 🤣🤣👇👇
Ongea taratibu plz bila hasira kuna wagonjwa humu plz plz 😄😄😄😄
View attachment 1792784





View attachment 1792790


Semi illiterate kazi yako nilimaliza😂😂😂😂😂😂., hautowai niambia chochote ever😂😂😂😂😂😂, hauna uwezo wa ki fikra😂😂😂😂., heri ufyate tu, if I engage u right now utatapatapa tu humu😂😂.,
 
Back
Top Bottom