Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lamu munafungua 1 bearth miaka 10
Wakat mtwara ina 2 bearth under construction🤣🤣🤣👇👇👇👇 Total three now

wacha kupotosha nawe mbona Mtwara port expansion kwa hizo berths unazoongelea zishakamilika una-post clips za zamani kinoma (sijui mwaka juzi)! Wacha hizo post latest clips! 🙏



 
Weka link
Mkuu report iko kwa website ya world bank, report ya 2020;
Screenshot_20210521-135538.png

Screenshot_20210521-135613.png

JamiiForums1552698300.jpeg

Vigezo walizotumia ni LDC $1.9, Lower mido income ambayo kwa sasa wataanza kutumia kwa Tanzania ni $3.2, na upper middle income kama akina SA ni $5.5, Sasa mtu akiona eti Kenya below poverty line ni 40% ana fikiria hiyo below poverty line ni same na below ya Tz by then, but kwa sasa watapima kwa pamoja at $3.2 since Tz joined lower mido income.,
Screenshot_20210521-135919.png


My take; Mimi kama a researcher, siwezi kukubali eti 28 million Tanzanians ni fukara wa kutupwa kama vile world bank wanavyo dai., ama eti 40% people living below poverty line (ya $3.2) Kenya ni masikini wote la, I don't accept, poverty is relative ukifanya forensic audit ya poverty across Africa utapata waafrika wako sawa sana., kukosa pesa haimaanishi mtu ni masikini ki hivyo., bei ya commodities pia ni nafuu kiasi ukilinganisha, mashambani pia maisha iko nafuu sana ata kama mtu hana hela, siwezi kuongelea Tz, alafu leo mtu anakosa Kesho anapata, so sio standard., Umasikini upo lakini hatuwezi kufuata hizi data for conclusions. Hapa ni debate tu na kupondana, yaani battle sio uadui.
 
Lamu munafungua 1 bearth miaka 10
Wakat mtwara ina 2 bearth under construction🤣🤣🤣👇👇👇👇 Total three now

Nimeona ktk vyombo vya habari vya Kenya meli aliyoipokea Uhuru Kenyatta lamu ya uzinduzi Jana ikitokea bandari ya Dar.acheni kujikweza tutakula sahani moja.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 narudia kukwambia hvi ndoto ya kuitoa mafuta kwenye soko la africa subiri miaka 200 mbele, mumeshindwa ku electrify white elephant mutaweza electric cars au munafkiri ni kama kula githeri
Already tunazo sasa sielewi unacho cheka ni nini
 
Nms ni county ??? Nms ina mbunge ?? NmS in gavana? NMS iko chini ya serekali ya kenyatta akili kichwani mwako

munalazmisha sukari iwe chumvi ??
Mbona unalialianaona wembe umekata ini ndio manake unapiga kelele..
Jibu swali NMS hana bajaeti?
Pole sana mzee baba
 
Kwan kikwete alikua havai barakoa sasa waganda wanata muvae barakoa na ndio wageni wenu, utawafkuza ama???
Tanzania kwishaaarais keshasema barakoa ndio habari ya mjini...labda afe basi ndio aje mwngine ambae atakataa uvaaji wa barakoa km marehemu
 
Mbona unalialianaona wembe umekata ini ndio manake unapiga kelele..
Jibu swali NMS hana bajaeti?
Pole sana mzee baba
Nijibu basi NMS ni county ?? Mbona sijawah sikua kuna mbunge wa NMS bungeni?? Sijawah sikia NMS ina gavana ??? 🤣🤣🤣

sisi tunazungumzia hiii 🤣🤣👇👇👇👇
D9DE6BB4-9ACD-443A-9386-611718A16856.jpeg
BC5AC4B9-04AA-4EE1-8031-6ABCAF6E032F.jpeg
 
Nimeona ktk vyombo vya habari vya Kenya meli aliyoipokea Uhuru Kenyatta lamu ya uzinduzi Jana ikitokea bandari ya Dar.acheni kujikweza tutakula sahani moja.
Ndio ilitokea dar ikawa inaelekea oman 🤣🤣🤣👇👇👇👇
 
90% ushago wewe kelele mingi rudisha vijiweni kule unakoamkia kila siku😂😂😂😂.,
Mukibanwa kwenye ukweli munaaza kusema kelele nyingi mara kiswahili kingi tulia mzee urambe dawa 🤣🤣🤣🤣🤣 yani mzungu aone slums za dunia nzima asione ya dar kweli are u even serious 😃😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom