Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG-20210425-WA0001.jpg
 
"Mfumo dume, ujima, tabia mbaya, upeo mdogo" hii ni baadhi ya maoni yako juu yangu.

Nikupe shukran kwa kutumia vyema fursa yako ya kutoa maoni, lakini pia, sioni wapi unakwazika na fursa wanaochukua wenzio kutoa maoni yao.

Would you be kind enough and share with all of us whichever evidence at your disposal that I hate Samia due to her gender?

In this world, you will never come across anyone who agrees with you on everything - so, if you can't reconcile with opinions of others, no need of attacking their personalities- just move on peacefully.

Ukweli ni kuwa, Samia ameonesha ni mtu wa kuyumbishwa or one with no stand of her own.

Alisema, "haiwezekani, kwingine kote kuna numbers, Tanzania dash-dash-dash" akiongelea Corona.

Leo, Dunia inakubaliana na approach ya Magufuli dhidi ya Corona.

Labda kama una upeo mdogo wa kutambua kuwa, kama Corona ingeanza leo, angeua uchumi kwa kutuweka kwenye lockdown kama Kenya kwa style yake kuunda tume na kuangalia muda wote Dunia inafanya nini then you move into the bandwagon.

Mama huko twitter, kafollow accounts zote za Harris Kamala na Biden bila kufollow account ya Rais yoyote Africa, apart from Magufuli na Kikwete.

Katika hali ya kawaida, as a head of state, ni ujinga kufollow watu, hasa viongozi ambao hawakufollow or hawainta-act na wewe even on occassional basis.

Anasemwa or kukosolewa kwakua ni Rais, na si kwa uwanamke wake.



Usiongelee hayo kiongozi acha tu. Maana kinachofuata kwangu ni msiba kuanza upya.
😭😭😭
Nahisi kuna kuyumba sana safari hii. Maana sasa kila mtu atajiona ana haki yakutuambia nini cha kufuata.
 
Mzee unanipotezea muda. Kwenye barabara tumeshatoka. Nimekupatia hizo routes leta za kwenu za Kenya. Umekuwa mtu wa kulalamika tuuuuuuu!! Kama mjamzito.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Still wondering why JPM hakumchagua huyu jamaa kua makamu wa raisi...while huyu mwamba m99 kawatimua watu huyu wa kwetu jamaa wa tasac walilamba 600m+ kwa vikao kawasema tu ila kawaacha.
Amenikosha alipotoa jibu la wale wenye elimu ya kukariri kwamba kila taasisi lazima iongozwe na mtu alieyesomea fani husika. Kasema kuwa yeye hatafuti utaalam bali anatafuta uongozi. Period.

Imagine anatoka JPM anaingia huyu mwanafunzi wake aliyefuzu.
 
Tulia wewe watu wafanye Kazi,nyie ndio wajinga ambao uwezo hamna ila mnataka 50/50 ambayo haitakaa uwepo

Mwingine anakwambia yabakie then itakuwa faida ya nani maana teknolojia inabadilika yanaweza kuishia kinyesi tuu baadae,wajao wasifaidike na wa sasa wasifaidike
Nakubali. Mimi ni mjinga na wewe Opportunity Cost ni genius. Tena unaonekana kuwa mchumi mzuri kuliko mimi.
 
Hujui kitu wewe mbususu,kuanzia mpakani mwa Rukwa/Katavi all the way to Kigoma,Kigoma to Nyakanazi ni mavumbi with exceptions of few tarmacked road stretches

Umekaa huko Dar Tzn huijui,hii nchi nazunguka Sana kwa biashara
Barabara Izo zinajengwa kwa kiwango cha lami mara ya mwisho umepita lini uko?
 
Back
Top Bottom