Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,945
Vipi vibarua wako au hawako?😂Vipi mbona unanikimbia .? njoo unioneshe mji mzuri wenye nyumba kali za gharama kama huu wa fumba Znz 😂😂, karibu
Vipi vibarua wako au hawako?😂Vipi mbona unanikimbia .? njoo unioneshe mji mzuri wenye nyumba kali za gharama kama huu wa fumba Znz 😂😂, karibu
Usijichetue bro, njoo unioneshe mji hapaVipi vibarua wako au hawako?😂
Hehe mzigo wa serikali huu uje ulelewe
Thanks.
A very good observation.
Nitaweka silaha chini huko twitter kuhusu Samia na nitaongelea observation yako huko kwa wadau tumpe mda mama tuone.
. Majibu hayoKimbunga Jobo kimewasamehe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji205][emoji85][emoji90][emoji1139]Kwaiyo wamebakia na modern coast tuuu maana tahmeed ndio anatawala kule hamna anayemfikia kwa mabasi mengi Kenya kwa kule
Hayo makampuni yalirudi nyuma baada ya JPM kufuta makubaliano ya awali na kutaka waanze upya kwa sharti la kwamba kila kampuni lije kwenye majadiliano na serikali kivyake na siyo kama Cartel. Na kwamba majadiliano yatumie sheria mpya za madini ambazo zinatuhakikishia kupata angalau 50% ya economic benefits.mimi sijui nipoje, niliamini na naendelea kuamini every decision to taken by JPM. hakuna rais anapenda nchi yake isiendelee, especially JPM aliipenda sana nchi yake. ukiona ame delay ku take decision kwenye jambo ujue there is something bad
Kampuni inayonunua ni tofauti kabisa. Tigo ni fond of law breaking na ubabaishaji kwenye uendeshaji wake na hivyo awamu hii tangia 2015 wamepigwa sana faini. Naamini ni moja ya sababu ilifanya host company kuamua kuiuza.Hivi kipindi cha JPM kuna kampuni yoyote inayotoa huduma za mawasiliano ilifanikiwa kubadilisha jina?
Mnakumbuka ule mchezo wa mitandao ya simu kubadilisha majina ovyo kwa mgongo wa kuuza kampuni?
(Hivi ile grace period ya miaka mitano bado inatolewa?) Sina hakika hapa!
Hivi unajua unaweza kuta hiyo kampuni iliyonunua Tigo na Zantel ndo hao hao wanapitia mgongo kama ule uliokuwa unachezwa na makampuni yanayotoa huduma za mawasiliano?
Niko tayari kusahihishwa na nitapokea masahihisho na mkono mmoja tena wa kulia ili mradi tu kusiwe na matusi [emoji4][emoji4][emoji4]
#UkwepajiKodi
Kwani unafikiri hali ilivyo saahii whistleblowers watakaa kimya!? Si umeona moto ulivyowaka Matarajio alivyotolewa? Hata Samia atakalishwa akienda sivyo!Hayo makampuni yalirudi nyuma baada ya JPM kufuta makubaliano ya awali na kutaka waanze upya kwa sharti la kwamba kila kampuni lije kwenye majadiliano na serikali kivyake na siyo kama Cartel. Na kwamba majadiliano yatumie sheria mpya za madini ambazo zinatuhakikishia kupata angalau 50% ya economic benefits.
Sasa huyu (kwa kweli sipendi kumtaja hata jina lake. Kwangu mimi kiongozi akikosa uzalendo nampiga chini hapo hapo) yeye kafanya hatua nne (4) ambazo kimsingi zimewafanya hawa investors kuvimba kichwa;
1. Kawaagiza members wa negotiation teams zetu wasiende "kuwatunishia misuli" hao wawekezaji maana sisi ndiyo "wahitaji'! Hapo investor yeyote mwenye akili anajua cha kufanya: kukaza. Funny
2. Kawaambia (negotiators wetu) kwamba yale ambayo investors wanataka na yako nje ya uwezo wao wayapeleke ngazi za juu yafanyiwe maamuzi. Mwenyewe kayataja, ikiwemo misamaha ya kodi! Pathetic.
3. Kamtengua mzalendo wetu namba moja kwenye sekta ya mafuta, gesi na madini; mkurugenzi wa TPDC Dr. Mataragio. Japo alimrudisha mara moja baada ya upepo kuchafuka lakini tayari alikwisha tuma ujumbe hasi kwa "watumishi wetu wazalendo" walioko ngazi za juu za maamuzi kwamba sasa hawana cover, trust, wala support kutoka juu.
Pia iliwapa nguvu investors kwa kujua kuwa tayari wana-deal na compromised government (tuki-assume kuwa hawakuwa nyuma ya hiyo kitu).
4. Kasema kuwa lazima mikataba isainiwe ndani ya miezi sita ijayo! Hivi kwa investor mwenye akili si atauma uzi kwenye terms zake, maana keshasikia sisi ndiyo wahitaji.
My take:
Hii serikali ina papara sana kwenye suala la madini. Inaonesha wapigaji (rejea ishu ya kitalu C Mererani, suala la mabilioni ya Uswisi & makampuni ya gas, nk) wamechoka kusugua benchi toka 2015 hivyo wana alosto kali na pengine wanahofia lisijekutokea la kutokea wakakosa tena.
Nawapa pole sana wale mnaoiamini hii awamu ya 6 kwenye ishu za madini na gesi. Mimi naendelea kujiuguza maumivu mapema.
Kwale County
View attachment 1761390
View attachment 1761391
View attachment 1761392
View attachment 1761393
View attachment 1761394
View attachment 1761395
View attachment 1761396
View attachment 1761397
View attachment 1761398
View attachment 1761399
View attachment 1761400
View attachment 1761401
View attachment 1761402
View attachment 1761403
View attachment 1761404
View attachment 1761405
View attachment 1761406
View attachment 1761407
View attachment 1761409
View attachment 1761410
View attachment 1761411
View attachment 1761412
View attachment 1761413
Kama kawaida yetu Tumesha muomba Mungu na ametusikia, tukutane J3 tukiwa na afya tele[emoji847]Kimbunga kizito kinakuja kuwapiga nyinyi watu wa Dar es Salaam juma tatu. Chukueni tahadhari.
![]()
A rare tropical cyclone is approaching one of Africa's most populated cities | CNN
A rare tropical cyclone is approaching Tanzania and could become the first cyclone to make landfall in the nation in modern records.www.google.com
Nidanganye mlinunua ya Mjerumani! 🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji205][emoji85][emoji90][emoji1139]View attachment 1762495
Hayo makampuni yalirudi nyuma baada ya JPM kufuta makubaliano ya awali na kutaka waanze upya kwa sharti la kwamba kila kampuni lije kwenye majadiliano na serikali kivyake na siyo kama Cartel. Na kwamba majadiliano yatumie sheria mpya za madini ambazo zinatuhakikishia kupata angalau 50% ya economic benefits.
Sasa huyu (kwa kweli sipendi kumtaja hata jina lake. Kwangu mimi kiongozi akikosa uzalendo nampiga chini hapo hapo) yeye kafanya hatua nne (4) ambazo kimsingi zimewafanya hawa investors kuvimba kichwa;
1. Kawaagiza members wa negotiation teams zetu wasiende "kuwatunishia misuli" hao wawekezaji maana sisi ndiyo "wahitaji'! Hapo investor yeyote mwenye akili anajua cha kufanya: kukaza. Funny
2. Kawaambia (negotiators wetu) kwamba yale ambayo investors wanataka na yako nje ya uwezo wao wayapeleke ngazi za juu yafanyiwe maamuzi. Mwenyewe kayataja, ikiwemo misamaha ya kodi! Pathetic.
3. Kamtengua mzalendo wetu namba moja kwenye sekta ya mafuta, gesi na madini; mkurugenzi wa TPDC Dr. Mataragio. Japo alimrudisha mara moja baada ya upepo kuchafuka lakini tayari alikwisha tuma ujumbe hasi kwa "watumishi wetu wazalendo" walioko ngazi za juu za maamuzi kwamba sasa hawana cover, trust, wala support kutoka juu.
Pia iliwapa nguvu investors kwa kujua kuwa tayari wana-deal na compromised government (tuki-assume kuwa hawakuwa nyuma ya hiyo kitu).
4. Kasema kuwa lazima mikataba isainiwe ndani ya miezi sita ijayo! Hivi kwa investor mwenye akili si atauma uzi kwenye terms zake, maana keshasikia sisi ndiyo wahitaji.
My take:
Hii serikali ina papara sana kwenye suala la madini. Inaonesha wapigaji (rejea ishu ya kitalu C Mererani, suala la mabilioni ya Uswisi & makampuni ya gas, nk) wamechoka kusugua benchi toka 2015 hivyo wana alosto kali na pengine wanahofia lisijekutokea la kutokea wakakosa tena.
Nawapa pole sana wale mnaoiamini hii awamu ya 6 kwenye ishu za madini na gesi. Mimi naendelea kujiuguza maumivu mapema.
kazikazi [emoji1241]View attachment 1762571
Lamu County
View attachment 1762609
View attachment 1762610
View attachment 1762611
View attachment 1762613
View attachment 1762614
View attachment 1762616
View attachment 1762617
View attachment 1762618
View attachment 1762619
View attachment 1762621
View attachment 1762622
View attachment 1762623
View attachment 1762625
View attachment 1762626
View attachment 1762628
View attachment 1762629
View attachment 1762630
View attachment 1762631
View attachment 1762632
View attachment 1762633
View attachment 1762637
View attachment 1762638
View attachment 1762639
View attachment 1762641
View attachment 1762642
View attachment 1762643
View attachment 1762644
View attachment 1762646
View attachment 1762647
View attachment 1762649