Hiyo ndiyo hofu yangu.kwanza huu ujasiri wameutoa wap? kwann kipindi hiki cha samia
nafasi zimebanwa sio so wanapopanga mipangoyao nakupata nafasi wanafanya moja kubwa wawe na stok ili uipotezamaboya serkalikwanza huu ujasiri wameutoa wap? kwann kipindi hiki cha samia
Tigo wamefunga biashara afrika nzima,nchi za mwisho ni Tanzania na ghana,si kama wanabadilisha jina baada ya kifo cha jpm😭😭😭
Msiba kwangu ulianza upya baada ya kusikia hiyo na. 1.
Still wondering why JPM hakumchagua huyu jamaa kua makamu wa raisi...while huyu mwamba m99 kawatimua watu huyu wa kwetu jamaa wa tasac walilamba 600m+ kwa vikao kawasema tu ila kawaacha.
wamerudisha tena
Wajaribu waone balaa mwenye trucks 🤣🤣Halafu kuna mafala hujitamba ati wana magari mengi zaidi EA!Tukija kwenye ma-truck wasiguse kabisa maana mining activities zetu zinaondoa mpinzani!