Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why 2 weeks tho? Watu wengi wa tanzania wanafanya biashara na china. I expected myb 2 routes a week but it's just 1 route for 2 weeks? mbona kama naona it's a bad deal? Ama I'm I tripping?

Kwa Sasa China inaruhusu watu waliochomwa chanjo yao Kuingia China na ndio Criteria ya kupata Visa. Kwa sasa hakuna mbongo anaweza ingia China. Hizi flights wateja wengi ni Chinese Nationals wanaorudi Kwao.
 
Marsabit County

Coat_of_Arms_of_Marsabit_County.png


images (27).jpeg


moyale-town.jpg


images (26).jpeg


images (25).jpeg


images (24).jpeg


images (23).jpeg


images (22).jpeg


images (21).jpeg


images (20).jpeg


images (19).jpeg


images (18).jpeg


images (17).jpeg


images (16).jpeg


images (15).jpeg


images (14).jpeg


images (13).jpeg


images (12).jpeg


images (11).jpeg


images (10).jpeg


images (9).jpeg


images (8).jpeg


images (7).jpeg
 
Screenshot_20210425-044312_1.jpg
Screenshot_20210425-042428_1.jpg
Screenshot_20210425-043350_1.jpg
Screenshot_20210425-044118_1.jpg
Screenshot_20210425-044235_1.jpg
Screenshot_20210425-044046_1.jpg
Screenshot_20210425-043323_1.jpg

Bros Venus Star ichoboy01 The best 007 NDINDA .. Kuna mkenya mmoja juz Kati kipindi venus anawapiga vitasa vya mabasi, alidai eti sisi tunategemea usafir wa mabasi tu, naomba mumtag aje aone mwenyewe mambo haya kwamba sio mabasi tu tuna treni na ndege na hakuna chombo chochote Kati ya hivyo ambacho hakijazi abiria, NB, Hizi ni treni tu za kawaida (MGR) zikija treni za umeme hii battle itabid isimame kwa siku kumi ikiwa kama ishara ya heshima
 
Dar es Salaam tupo na interchange tatu done ambazo quality yake sio kawaida
Screenshot_20210425-052037_2.jpg
Screenshot_20210425-052400_1.jpg
Screenshot_20210425-052426_1.jpg
no 2
Screenshot_20210425-051712_1.jpg
no 3
Screenshot_20210425-055840_1.jpg
Screenshot_20210425-055813_1.jpg
sasa ka mkubwa Kim Dawizzy nataka nikujuze kwamba miaka minne nyuma hatukuwa na interchange hata moja en boom we now have three interchange, n mbili zenye hadhi kama hiz zipo under construction soon zinaingia mzigoni, sisi jo nani.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Dar es Salaam tupo na interchange tatu done ambazo quality yake sio kawaida View attachment 1763162View attachment 1763163View attachment 1763164no 2 View attachment 1763165no 3 View attachment 1763166View attachment 1763167sasa ka mkubwa Kim Dawizzy nataka nikujuze kwamba miaka minne nyuma hatukuwa na interchange hata moja en boom we now have three interchange, n mbili zenye hadhi kama hiz zipo under construction soon zinaingia mzigoni, sisi jo nani.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Na unapiga kelele eti๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚, interchange tatu nchi nzima!., Moja three level kienyeji Sana, a simple Criss cross., matako ya masikini yanalia mbwata๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Dar es Salaam tupo na interchange tatu done ambazo quality yake sio kawaida View attachment 1763162View attachment 1763163View attachment 1763164no 2 View attachment 1763165no 3 View attachment 1763166View attachment 1763167sasa ka mkubwa Kim Dawizzy nataka nikujuze kwamba miaka minne nyuma hatukuwa na interchange hata moja en boom we now have three interchange, n mbili zenye hadhi kama hiz zipo under construction soon zinaingia mzigoni, sisi jo nani.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Na unapiga kelele eti๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚, interchange tatu nchi nzima!., Moja three level kienyeji Sana, a simple Criss cross., matako ya masikini yanalia mbwata๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwani unafikiri hali ilivyo saahii whistleblowers watakaa kimya!? Si umeona moto ulivyowaka Matarajio alivyotolewa? Hata Samia atakalishwa akienda sivyo!
Conforting yourself,huyo matarajio mara ya ngapi anakoswa koswa mbona hata marehemu wenu alimtumbua na kumrejesha?
 
Hayo makampuni yalirudi nyuma baada ya JPM kufuta makubaliano ya awali na kutaka waanze upya kwa sharti la kwamba kila kampuni lije kwenye majadiliano na serikali kivyake na siyo kama Cartel. Na kwamba majadiliano yatumie sheria mpya za madini ambazo zinatuhakikishia kupata angalau 50% ya economic benefits.

Sasa huyu (kwa kweli sipendi kumtaja hata jina lake. Kwangu mimi kiongozi akikosa uzalendo nampiga chini hapo hapo) yeye kafanya hatua nne (4) ambazo kimsingi zimewafanya hawa investors kuvimba kichwa;

1. Kawaagiza members wa negotiation teams zetu wasiende "kuwatunishia misuli" hao wawekezaji maana sisi ndiyo "wahitaji'! Hapo investor yeyote mwenye akili anajua cha kufanya: kukaza. Funny

2. Kawaambia (negotiators wetu) kwamba yale ambayo investors wanataka na yako nje ya uwezo wao wayapeleke ngazi za juu yafanyiwe maamuzi. Mwenyewe kayataja, ikiwemo misamaha ya kodi! Pathetic.

3. Kamtengua mzalendo wetu namba moja kwenye sekta ya mafuta, gesi na madini; mkurugenzi wa TPDC Dr. Mataragio. Japo alimrudisha mara moja baada ya upepo kuchafuka lakini tayari alikwisha tuma ujumbe hasi kwa "watumishi wetu wazalendo" walioko ngazi za juu za maamuzi kwamba sasa hawana cover, trust, wala support kutoka juu.

Pia iliwapa nguvu investors kwa kujua kuwa tayari wana-deal na compromised government (tuki-assume kuwa hawakuwa nyuma ya hiyo kitu).

4. Kasema kuwa lazima mikataba isainiwe ndani ya miezi sita ijayo! Hivi kwa investor mwenye akili si atauma uzi kwenye terms zake, maana keshasikia sisi ndiyo wahitaji.

My take:

Hii serikali ina papara sana kwenye suala la madini. Inaonesha wapigaji (rejea ishu ya kitalu C Mererani, suala la mabilioni ya Uswisi & makampuni ya gas, nk) wamechoka kusugua benchi toka 2015 hivyo wana alosto kali na pengine wanahofia lisijekutokea la kutokea wakakosa tena.

Nawapa pole sana wale mnaoiamini hii awamu ya 6 kwenye ishu za madini na gesi. Mimi naendelea kujiuguza maumivu mapema.
Tulia wewe watu wafanye Kazi,nyie ndio wajinga ambao uwezo hamna ila mnataka 50/50 ambayo haitakaa uwepo

Mwingine anakwambia yabakie then itakuwa faida ya nani maana teknolojia inabadilika yanaweza kuishia kinyesi tuu baadae,wajao wasifaidike na wa sasa wasifaidike
 
Hivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?

Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya[emoji23]

Au??

View attachment 1760733
View attachment 1760734
Yani hizi numbers zinaonesha kiasi gani mzungu ni muonga wa mambo mengi ya Africa name hajui kitu.

Ati $20,000 ndio zinakifanya uwe kwenye top 1% Kenya! ? Kama ni hivyo basi wantanzania tuna pesa nyingi sana! !!

Mimi watu wenye $20, 000 in cash, ukitoa Fixed Assets wanafika hata 100.

Watu wanoenda China kufata mzigo wakiwa na dola 100,000 nawajua kama 50.

Na hao wote ni watu wa kawaidi tu. Tunakuaanao vijiweni. Huwa tunawaita "wako vizuri "

Kwa huku TZ naweza nikasema kwenye hii miji mikubwa. Dar, mwanza, arusha, zanzibar, mbeya. Mtu kuwa na dola 20, 000 ni kawaida sana.

Kwa hivyo naweza kuthubutu kusema sisi watanzania kunahela sana kuliko wakenya.
 
Back
Top Bottom