Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunduma -Namanga Via Rungwa ni matope tupu kuanzia Makongolosi - Rungwa -Itigi hadi Singida ..
Mzee hebu pitia na hapa


Screenshot_20210425-194949.png


Hii ni taarifa mbichi kabisa.
 
Mzee mimi naongea ukweli. Kama unaongelea issue ya viti maalum. Mwenye mamlaka ya kupitisha ni tume ya uchaguzi na siyo spika.
Hao akina Mdee watamchafua sana spika...iweje wanawang'ang'ania na barua walishapewa kutoka kwenye chama chao kwamba wameshafukuzwa
 
Hao akina Mdee watamchafua sana spika...iweje wanawang'ang'ania na barua walishapewa kutoka kwenye chama chao kwamba wameshafukuzwa
Issue za siasa tuziache. Ni mchezo ambao upo complex.
Hakuna ushahidi wa barua kufukuzwa chama kwenda kwa spika.

Tuachane na issue za siasa. I am talking the truth. Wengi hawapendi ukweli.
 
Ila technology wamenunua ya germany akili yako imeganda au🤣🤣🤣🤣
Kasome vizuri boya, kila kitu hadi engine ni wao, wamepewa boost ya kupewa jina lao sababu benz ana shares pale. Changamka bro, hata trucks wanatoa, wacha hizo bus.
 
Unakuja kwenye hoja vizur,Huo mbadala unaharibiwa na hao hao CCM, miaka 5 iliopita walihangaika sana kuwavuruga kwa kutumia mbinu zote wanazozijua,Wanasahau wote wanajenga nyumba moja!!
Tuendelee na battle letu pendwa


Kama nilivyokwambia kwenye post iliyopita, hivi vyama vya upinzania Tanzania havipo kwa maslahi mapana ya taifa, ni maagents wa nchi za magharibi. Sasa, kwa sera ya maendeleo aliyokuja nayo Magufuli ni ngumu kuwaacha wawe huru, amini nakuambia.

Lazima ujiulize kwanini nchi za magharibi wanashinikiza sana mfumo wa vyama vingi Africa, unafikiri mfumo huo wanaoulazimisha kwetu ni kwa kututakia mema? HAPANA. This is specifically meant: to reach us and unseat a democratically elected president through ( competitive politics ) political strategy.

France, Uingereza, USA kuna vyama vingapi vya siasa? angalia Africa.

Who finances all these political parties, and what is(are) the motive(s) of doing that?
 
Tukisema mashamba arable land zinamilikiwa na foreigners wanakasirika 🤣🤣🤣
 
Kumbe wawashwa na upupu wangu, angalia wee boya, Achana na mambo ya Wikipedia, angalia website yao uone ka sio wao wanaoseti kila kitu. Sio assembly point hiyo, kudadadeki! 🤣 🤣 🤣
So umepanic tayar unafkiri unaweza invest jina la benz bila technology investments yani uharibu jina la benz kwa product za low quality nani atakubali??? Lazma kuna technology investment kutoka benz imefanyika na wanasimamia kwa ubora wote
 
Kama nilivyokwambia kwenye post iliyopita, hivi vyama vya upinzania Tanzania havipo kwa maslahi mapana ya taifa, ni maagents wa nchi za magharibi. Sasa, kwa sera ya maendeleo aliyokuja nayo Magufuli ni ngumu kuwaacha wawe huru, amini nakuambia.

Lazima ujiulize kwanini nchi za magharibi wanashinikiza sana mfumo wa vyama vingi Africa, unafikiri mfumo huo wanaoulazimisha kwetu ni kwa kututakia mema? HAPANA. This is specifically meant: to reach us and unseat a democratically elected president through ( competitive politics ) political strategy.

France, Uingereza, USA kuna vyama vingapi vya siasa? angalia Africa.

Who finances all these political parties, and what is(are) the motive(s) of doing that?
Tatizo hata CCM wamekua serious utawala wa JPM ila hawajawah kua serious na unalijua hilo
 
Kumbe wawashwa na upupu wangu, angalia wee boya, Achana na mambo ya Wikipedia, angalia website yao uone ka sio wao wanaoseti kila kitu. Sio assembly point hiyo, kudadadeki! 🤣 🤣 🤣
Nilishakwambia ukibishana na mm hakikisha akili haiwazi chakula 🤣🤣👇👇👇
1F580077-F729-4121-BCB9-A77C533E6E7A.jpeg
 
Nilishakwambia ukibishana na mm hakikisha akili haiwazi chakula 🤣🤣👇👇👇
View attachment 1764193
BharatBenz inatengeneza vifaa kulingana na utaratibu wa Benz lakini sio muundo kama za kutoka Ujerumani direct! Hizo zimetengenezwa hususan kwa ajili ya utumizi ndani ya India na walianza kuuzia mataifa ya Afrika pia kama nyinyi. So sio origanal 'made in Germany' benz ni 'made in India' BharatBenz! 🤣 🤣 🤣
 
BharatBenz inatengeneza vifaa kulingana na utaratibu wa Benz lakini sio muundo kama za kutoka Ujerumani direct! Hizo zimetengenezwa hususan kwa ajili ya utumizi ndani ya India na walianza kuuzia mataifa ya Afrika pia kama nyinyi. So sio origanal 'made in Germany' benz ni 'made in India' BharatBenz! 🤣 🤣 🤣
Sijasema ni original from germany ila nimekwmabia wanatumia germany technology na wanafata quality zote za benz sasa ni sawa na kusema under license kinachokuuma ni kwamba kenya mumekosa benz bus sasa munatapatapa🤣🤣🤣🤣
05C1AF7F-F406-4D4D-B308-5BFC851A4FCF.jpeg
 
Back
Top Bottom