Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1. Kwanini uzungukie Singida wakati njia ya Iringa ipo vizuri

2. Pitia hapa Tanroads uone status ya hiyo barabara.

Kwa hiyo C to C inapitia Mtera? Original C to C transafrica highway inapitia Mbeya- Rungwa-Itigi -Singida hadi Arusha inaendelea huko Nairobi hadi Cairo

Njia ya Iringa/Mtera ni ndefu na mountainous kuliko ya kupitia Rungwa/ Singida.Afu hii ya Rungwa ina branch pale kwenda Tabora na kuwa route fupi kutoka Mbeya kwenda kanda ya ziwa via Tabora na kwenda Arusha via Singida
 
Tana River county

Gets its name from the river Tana. Longest river in Kenya.

Together with Kilifi county it hosts the Galana Kulalu irrigation scheme along the tana delta This is an ambitious KShs 400b project that seeks to put 1.5million acres of land under irrigation and provide food security to the country.

1619342972810.jpeg

1619343000510.jpeg


Official website: tanariver.go.ke

1619343093198.png
 
wakuu tusijisahau tunaharibu content ya huu uzi,,,
ikumbukwe kuwa huu uzi ni dar vs nairobi
naona watu mpo bize kupost city nyingine acheni hayo mambo ..
 
Kwa hiyo C to C inapitia Mtera? Original C to C transafrica highway inapitia Mbeya- Rungwa-Itigi -Singida hadi Arusha inaendelea huko Nairobi hadi Cairo

Njia ya Iringa/Mtera ni ndefu na mountainous kuliko ya kupitia Rungwa/ Singida.Afu hii ya Rungwa ina branch pale kwenda Tabora na kuwa route fupi kutoka Mbeya kwenda kanda ya ziwa via Tabora na kwenda Arusha via Singida
Mzee nimekuomesha route ya kutoka
Tunduma hadi Namanga. Sasa mambo ya Cairo yametoka wapi!?
Mzee kunywa chai kwanza Jobo haipo.
 
Mzee unanipotezea muda. Kwenye barabara tumeshatoka. Nimekupatia hizo routes leta za kwenu za Kenya. Umekuwa mtu wa kulalamika tuuuuuuu!! Kama mjamzito.
Mkuu huyo co mkenya huyo ni mbongo anaitwa Choice Variable JIPU kwa ID nyingine, huyo anahasira na Magu huwezi muelewesha akakuelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom