Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usiongelee hayo kiongozi acha tu. Maana kinachofuata kwangu ni msiba kuanza upya.
😭😭😭
Nahisi kuna kuyumba sana safari hii. Maana sasa kila mtu atajiona ana haki yakutuambia nini cha kufuata.

Mama anamsikiliza Kikwete. Unamsikilizaje mtu aliyefail? Miaka 10 umeme vijiji 2018, wakati Magufuli "Jembe" miaka 5 vijivi 8300. Ingemchukua Kikwete miaka 40 kufanya aliyofanya Magufuli kwenye umeme kwa miaka 5.

Vyama vya upinzani kikubwa wanafanya ni kudhoofisha serikali iiliyo madarakani. Utafanya maridhiana mpaka lini, tena upinzani kama huu wakijinga wa Lisu, Mbowe na Zitto? hawana jema na hupinga kila kitu, karibia kila jambo litataka maridhiano na wakishashtuka wewe ni legelege kama Kikwete lazima wakuendeshe.

Africa inahitaji maendeleo ya haraka sana, na sio siasa kwa sasa. Ni mjinga tu ndio anafikiri anaweza kwenda na vyote: siasa na maendeleo Africa hii.

Major opposition parties in Africa are surrogates of western imperialists, western countries have a full control of those parties.
 
Mama anamsikiliza Kikwete. Unamsikilizaje mtu aliyefail? Miaka 10 umeme vijiji 2018, wakati Magufuli "Jembe" miaka 5 vijivi 8300. Ingemchukua Kikwete miaka 40 kufanya aliyofanya Magufuli kwenye umeme kwa miaka 5.

Vyama vya upinzani kikubwa wanafanya ni kudhoofisha serikali iiliyo madarakani. Utafanya maridhiana mpaka lini, tena upinzani kama huu wakijinga wa Lisu, Mbowe na Zitto? hawana jema na hupinga kila kitu, karibia kila jambo litataka maridhiano na wakishashtuka wewe ni legelege kama Kikwete lazima wakuendeshe.

Africa inahitaji maendeleo ya haraka sana, na sio siasa kwa sasa. Ni mjinga tu ndio anafikiri anaweza kwenda na vyote: siasa na maendeleo Africa hii.

Major opposition parties in Africa are surrogates of western imperialists, western countries have a full control of those parties.

Kwa Afrika, demokrasia siyo kipau mbele. Maendeleo yakiongezeka, ndiyo tutaanza kufikiria democracy.
 
Sikujua Uganda's crane birds wanapatikana Tanzania pia!

2752934_images_-_2021-04-25T101744.102.jpeg
 
Mama anamsikiliza Kikwete. Unamsikilizaje mtu aliyefail? Miaka 10 umeme vijiji 2018, wakati Magufuli "Jembe" miaka 5 vijivi 8300. Ingemchukua Kikwete miaka 40 kufanya aliyofanya Magufuli kwenye umeme kwa miaka 5.

Vyama vya upinzani kikubwa wanafanya ni kudhoofisha serikali iiliyo madarakani. Utafanya maridhiana mpaka lini, tena upinzani kama huu wakijinga wa Lisu, Mbowe na Zitto? hawana jema na hupinga kila kitu, karibia kila jambo litataka maridhiano na wakishashtuka wewe ni legelege kama Kikwete lazima wakuendeshe.

Africa inahitaji maendeleo ya haraka sana, na sio siasa kwa sasa. Ni mjinga tu ndio anafikiri anaweza kwenda na vyote: siasa na maendeleo Africa hii.

Major opposition parties in Africa are surrogates of western imperialists, western countries have a full control of those parties.
Mimi sikuungi mkono kabisa...
Tunaposema nchi hii ni ya kidomokrasia Tunamaanisha lazima kue na mbadala pale ambapo serikali iliopo madarakani itashindwa kutekeleza majukumu ya kuwatumikia wananchi. ..Hayati aliegemea upande wa kujenga nchi ,kukusanya mapato na kuweka nidhamu iyo ni safi kabisa lakini akasahau wakati hayo yanatendeka kuna sekta kaziacha ambazo nazo zinategemea kukua maana haziwezi kungoja hayo mengine yaendelee...
Wanasiasa wanataratibu zao za kufanya shughuli zao ilo linajulikana ,yeye hawezi kukungoja wewe hadi utakapotaka ndio afanye shughuli zake...
Wewe unasema upinzani au demokrasia haitufai lakin mambo mengi aliofanya Hayati yalitokana na mawazo au maoni ya Hao wapinzani
 
Huwezi kusema upinzani usiwepo leo hii hawa kijani wameanza kuogopa kuiba kwann?wanajua mbadala upo watakosa ulaji unafikiri ukofuta upinzani patakalika hapa?wataiba mpaka mshindwe kulipwa mishahara
 
Sasa umeona eh, hilo limetegezwa wapi. Wahindi wametegeza wenyewe kila kitu ndio maana wakaweka na jina lao mbele ya benz hata kama Benz is their subsidiary. In short, made in India not Germany.
Ila technology wamenunua ya germany akili yako imeganda au🤣🤣🤣🤣
 
Mimi sikuungi mkono kabisa...
Tunaposema nchi hii ni ya kidomokrasia Tunamaanisha lazima kue na mbadala pale ambapo serikali iliopo madarakani itashindwa kutekeleza majukumu ya kuwatumikia wananchi. ..Hayati aliegemea upande wa kujenga nchi ,kukusanya mapato na kuweka nidhamu iyo ni safi kabisa lakini akasahau wakati hayo yanatendeka kuna sekta kaziacha ambazo nazo zinategemea kukua maana haziwezi kungoja hayo mengine yaendelee...
Wanasiasa wanataratibu zao za kufanya shughuli zao ilo linajulikana ,yeye hawezi kukungoja wewe hadi utakapotaka ndio afanye shughuli zake...
Wewe unasema upinzani au demokrasia haitufai lakin mambo mengi aliofanya Hayati yalitokana na mawazo au maoni ya Hao wapinzani
Huwezi kusema upinzani usiwepo leo hii hawa kijani wameanza kuogopa kuiba kwann?wanajua mbadala upo watakosa ulaji unafikiri ukofuta upinzani patakalika hapa?wataiba mpaka mshindwe kulipwa mishahara

Hakuna mahala nimesema upinzania au demokrasia haifai "kabisa". Nilisema "Upinzania huu".

Democrasia sio kuwa na vyama vingi. Demokrasia ni uhuru ambao wote tunao na sijui wewe kazi unayofanya umechaguliwa na nani, ama nani alikuchagulia nini usomee or nani uwe ukiwa mkubwa, or umoe nani or utembee na nini - hii ni uhuru ndio demokrasia.

Uhuru unamipaka.

Hakuna chama mbadala wa CCM Tanzania, hakipo, labda kama unamakengeza ya kimtazamo. Hakuna chama mabadala wa CCM Tanzania, vyama havina hata ITIKADI wala hujui nini wanasimamia.
 
Huyu jamaa si abaki tu huko huko!!! Anaongea ongea tu. Anatutoa kwenye reli.
Mi naongelea Ndugai na kuvunja katiba ya kuwa na Wabunge waliofukuzwa yaani hawana chama! Sidhani kama mama Samia atamkingia kifua!
 
Hakuna mahala nimesema upinzania au demokrasia haifai "kabisa". Nilisema "Upinzania huu".

Democrasia sio kuwa na vyama vingi. Demokrasia ni uhuru ambao wote tunao na sijui wewe kazi unayofanya umechaguliwa na nani, ama nani alikuchagulia nini usomee or nani uwe ukiwa mkubwa, or umoe nani or utembee na nini - hii ni uhuru ndio demokrasia.

Uhuru unamipaka.

Hakuna chama mbadala wa CCM Tanzania, hakipo, labda kama unamakengeza ya kimtazamo. Hakuna chama mabadala wa CCM Tanzania, vyama havina hata ITIKADI wala hujui nini wanasimamia.
Unakuja kwenye hoja vizur,Huo mbadala unaharibiwa na hao hao CCM, miaka 5 iliopita walihangaika sana kuwavuruga kwa kutumia mbinu zote wanazozijua,Wanasahau wote wanajenga nyumba moja!!
Tuendelee na battle letu pendwa
 
Back
Top Bottom