Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimekuuliza swali dogo tu. Stand ya Mbezi Luis inaletaje foleni??

Mimi sio mshabiki, but a person with an unaltered state of consciousness, that is, profound truth and profound understanding.

Magufuli kafa watu hawahoji kafaje, afe rais wa Wazungu jws style ile uone kama pangekalika.

You are too submissive, ndio maana whites call us, "Monkeys".
Siwezi kukujibu swali lako kwasababu sijawahi kutumia basi kusafiri nchini na hata hapo stendi sijawahi kufika, hivyo hayo mazingira siyafahamu. Labda tafuta mtu mwenye maelezo zaidi kuhusu kwanini hiyo stendi inaleta foleni! Sikiliza pande yake na ujue kama ni ukweli ama uongo na si kuuliza watu wasiojua ili ujitie uhakika kuwa unachokiamini ni sawa. Halafu, tatizo wewe unaingiza agenda mpya kwenye kila reply yako. Nilikwambia kuwa unapenda sana conspiracy theories! Sasa hivi unaniuliza kuhusu kifo cha Magufuli na kwanini hakuna anayehoji nini kilimtokea. How on earth am I supposed to answer that? I do not work for the TISS and I do not work for the government! Hizi ni stories za kudiscuss vijiweni na kila mtu anatoa wazo lake na hakuna ukweli thabiti. Na pia tafadhali mimi sio "submissive"! Ninaweza kukwambia pia wewe ni submissive kutokana na msimamo wako wa kile unachokiamini!
 
Kwa kifupi tu, mimi naitwa Stephen, nitaishia hapo. Pia Twitter handle yangu ni @KipepeComrade

Aren’t you the one who sent me the tweet below?
View attachment 1747423

You support the assumption that Presidents Hassan isn’t good or strong enough to carry the legacy that Magufuli started. Unaniambia kuwa kuna umuhimu wa kuhoji hii report je, uko tayari kuhoji baadhi ya facts zilizokuwa zinatolewa wakati wa Magufuli?

Ndio niko tayari.

Nipo tayari kusikiliza such facts ila lazima nihoji pia credibility ya huyo mtu or source(s).

Wewe umesoma huko America sijui, sasa unapoona kuna wasomi wenzako wanaekea kulia, should be a wakeup call, kulikoni?

Ni wachache sana huelekea njia ilee nyembamba, na wengi huekekea ile iliyo easy kama ilivyoletwa na CAG bila kuona motive ta hii kitu.
 




Eygpyi7VgAgH7Eo



MY TAKE
Baada ya kumchapa mtu a persona non grata pale Namanga sie hao tunaenda Kampala kusaini largest deal in EA

CC: Tony254
 
Ndio niko tayari.

Nipo tayari kusikiliza such facts ila lazima nihoji pia credibility ya huyo mtu or source(s).

Wewe umesoma huko America sijui, sasa unapoona kuna wasomi wenzako wanaekea kulia, should be a wakeup call, kulikoni?

Ni wachache sana huelekea njia ilee nyembamba, na wengi huekekea ile iliyo easy kama ilivyoletwa na CAG bila kuona motive ta hii kitu.
Wasomi wenzangu wanafanaya nini? sijakuelewa naona kuna typo hapo. Unasema kuwa uko tayari kuhoji credibility sio? How certain are you that every single fact that Magufuli said was true? As an academic, I always needed to cite my sources whenever I would write a thesis. What are your sources?
 
Siwezi kukujibu swali lako kwasababu usafiri sijawahi kutumia basi kusafiri nchini na hata hapo stendi sijawahi kufika, hivyo hayo mazingira siyafahamu. Labda tafuta mtu mwenye maelezo zaidi kuhusu kwanini hiyo stendi inaleta foleni! Sikiliza pande yake na ujue kama ni ukweli ama uongo na si kuuliza watu wasiojua ili ujitie uhakika kuwa unachokiamini ni sawa. Halafu, tatizo wewe unaingiza agenda mpya kwenye kila reply yako. Nilikwambia kuwa unapenda sana conspiracy theories! Sasa hivi unaniuliza kuhusu kifo cha Magufuli na kwanini hakuna anayehoji nini kilimtokea. How on earth am I supposed to answer that? I do not work for the TISS and I do not work for the government! Hizi ni stories za kudiscuss vijiweni na kila mtu anatoa wazo lake na hakuna ukweli wa thabiti. Na pia tafadhali mimi sio "submissive"! Ninaweza kukwambia pia wewe ni submissive kutokana na msimamo wako wa kile unachokiamini!


Good!

Sasa kama hujui nini kilichopo pale Mbezi Luis, basi huna sababu ya kushadadia mengine aliyosema CAG.

Ni kweli kwa sasa kunafoleni kwakua daraja la Mabasi kutoka terminal ndio linajengwa na lipo kwenye renda. Na amesema Stend inaleta foleni, how? Wakati bado inajengwa?
 
Good!

Sasa kama hujui nini kilichopo pale Mbezi Luis, basi huna sababu ya kushadadia mengine aliyosema CAG.

Ni kweli kwa sasa kunafoleni kwakua daraja la Mabasi kutoka terminal ndio linajengwa na lipo kwenye renda. Na amesema Stend inaleta foleni, how? Wakati bado inajengwa?
🤣 🤣 🤣 Do not be dilusional! Na ndio maana ninakwambia utafute mtu mwenye uelewa wa juu zaidi wa kukueleza kwa nini hiyo stendi italeta foleni. Kwasababu mimi sifahamu haimaanishi kile unachokiamini ni kweli. And no, I won't stop "kushadadia" mengine aliyosema CAG kwasababu mimi sio mwendawazimu kama unavyodhani.
 
Nimependa speech ya mama na watangulizi wake leo...Heri kwa kwao,well balanced.... taratibu tu tutamuelewa mama,Si lazima ukawa mkali kwny matamshi yako...matendo ni kila kitu.Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu na taratibu za kisheria ni kuzifuata atakayekiuka ashughulikiwe mara moja bila kupepesa macho sheria ni msumeno.
Tunamshukuru sana mzee wetu Hayati John Pombe Joseph Magufuli kwa kutujengea msingi imara wa Taifa letu tena ndani ya muda mfupi sana.. Ilikuwa ni kujidanganya kwenda mbele bila kuwa na msingi huu imara mambo mengi yamekaa sawa.. kuanzia kwenye ulinzi na kunufaika na rasilimali zetu,miradi ya kimkakati,urekibishwaji wa sheria zisizo na tija,uwajibikaji, centralization...na n.k,leo hii mtumishi hashiki hela mkononi ni mwendo wa control numbers tu pia kuna mifumo inayofuatilia mapato na matumizi ya taasisi zetu za umma nchi nzima implementation inakwenda vizuri kazia hapo hapo,kila la Heri Mama uko kwny sala zetu kila uchao..
Mkuu politicians wengi hutoa honey words...lakini kwenye actions huwa zero...mfano wa politicians wa taifa la kaskazini....katika hili JPM alikuwa a man of actions ukiachia mbali mapungufu aliyokuwa nayo hata ndiyo hututambulisha kuwa sisi ni wanadamu....siwezi kumjaji our mother kwa SASA kwa kuwa ni mapema sanaaaaa...Mungu atusaidie...amsaidie mama yetu...Mungu ibaeiki TZ
 
🤣 🤣 🤣 Do not be dilusional! Na ndio maana ninakwambia utafute mtu mwenye uelewa wa juu zaidi wa kukueleza kwa nini hiyo stendi italeta foleni. Kwasababu mimi sifahamu haimaanishi kile unachokiamini ni kweli. And no, I won't stop "kushadadia" mengine aliyosema CAG kwasababu mimi sio mwendawazimu kama unavyodhani.
Mzee baba mm ndio njia yangu iyo kwa kifupi mradi bado hujakamilika na foleni sana ipo sehemu ya abiria kuvukia kwa sababu bado footbridge hajakamilika kwa hayo machache utakua umenielewa
 
"Sisi ndio wahitaji"??? Kwani wao wametoka huko ulaya mpaka TANZANIA sio wahitaji!? Yaani huyu mama aise!!! Mm nakumbuka Magu akipokea ripoti ya makinikia,wazungu walitutshia kuondoka, akasema,"natamani kusikia wameondoka hata leo" badala yake,wakaomba mazungumzo na Magu,Sasa huyu mama Anawaruhusu watukanyage wanavyotaka. Madini yataanza kugawana tena na Hawa wazungu mda si mrefu wataanza kutuwekea masharti ya ajabu.mm huyu mama nina mashaka naye tokea mwanzo.wanaosema tumpe mda ni vipofu hawajafunguka macho.
Mkuu...JPM alitambua kuwa madini...si mbogamboga wala matunda kwamba wasipochimba yataharibika....ndio maana aliwavimbia....natamani sana mama alitambue hili...wakizingua awazingue tu infact there will be a price to pay but as long is for the betterment of our future we are already to pay/endure na uzuri jpm alianza kutuzoeza na watanzania wengi tulianza kuzoea....ingekuwa kaskazini wangeanza kuandamana...washukuru mikopo huwa inawapa nafuu cos politicians wakiiba WANAANZA kuzifuja na kitaa zinaonekana in a short time....ndiooo hiyo ni characteristic ya corruption...ndo maana wakati wa awamu flani huku kwetu pesa ILIKUWA njenje as long you are among of mishemishe town.. connectioniiiiiii...
 
Me nakwambia ninapofanya kazi raia hawamuelewi kabisa huyu mama, kila mtu ana hasira kichizi na tayari conspiracies kwamba anahusika na kifo cha mzee zinajiumba

Ameanza vibaya sana, yaani Ameanza uongozi wake kwa kumvua nguo mzee na kutuaminisha uongozi wake na maamuzi yake mengi kama sio yote yalikua hovyo
Kamvua nguo kivipi?
 
Wasomi wenzangu wanafanaya nini? sijakuelewa naona kuna typo hapo. Unasema kuwa uko tayari kuhoji credibility sio? How certain are you that every single fact that Magufuli said was true? As an academic, I always needed to cite my sources whenever I would write a thesis. What are your sources?
Then i guess we shouldn't believe any body then... kwaio ata mama samia na yeye anaweza akawa anatudanganya..CAG anaweza akawa anapika hizo repoti... si ndo hvyo? Broo stfu unaboa kiukweli.

Kwenye stendi yenyewe ya magu huja fika lakini bado ume amua kuegemea upande wa CAG...tukisema na wewe upo bias uta kata? Swali ni moja pamoja na kujua Jpm hakua mkamilifu do you belive alikua ana taka hii nchi iende pabaya? Navitu vyote hv alivyo fanya vilikua havina umuhimu kwenye hii nchi in a long run?

Yani ukiangalia ata kwenye ndege we all know kupata losses ilikua inevitable. Bado company ni mpya. Na ukijumuisha na huu ugonjwa it's worse lakikini bado watu wanajitoa ufahamu. Kwaio walitaka tusiwe na ndege? Aya wata sema tunge iekeza hiyo hela sehemu nyingine, ni sector gani magofuli hakugusa apa tanzania? Tuwe wakweli tu.

We jama angu unataka kujikuta intellect on how to receive things n how to articulate them lakini common logic na utashi ndo inayo kushinda.

Ndo tuna waita vibendera nyie. Kila kitu anacho ambiwa ye sawa tu.. hu angali outside the box. Hutumi utashi ulio pewa na Mungu.
 
Back
Top Bottom