Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tutaleft wengi mbn kuliko kuendelea na huu upuuzi unaoendelea humu nchini kwa ss.
Hakuna ku-left mkuu. Mimi nilijaribu ku-left ila nimeona kama vile nakuwa nimempigia magoti shetani na hawa vibaraka wake anaowatumia. Now I'm back to the stage. Magu hakutufundisha kuwa dhaifu na kuogopa kupandisha mabega au kuwatunishia misuri mabeberu kwa kuwa eti sisi ndiyo wahitaji. Bali alitufundisha kugangamala. Alisema "tusimame imara na tumtangulize Mungu".

Nikuulize The best 007 , Kati ya Mungu na hawa mafisi, nani zaidi?
 
Hakuna ku-left mkuu. Mimi nilijaribu ku-left ila nimeona kama vile nakuwa nimempigia magoti shetani na hawa vibaraka wake anaowatumia. Now I'm back to the stage. Magu hakutufundisha kuwa dhaifu na kuogopa kupandisha mabega au kuwatunishia misuri mabeberu kwa kuwa eti sisi ndiyo wahitaji. Bali alitufundisha kugangamala. Alisema "tusimame imara na tumtangulize Mungu".

Nikuulize The best 007 , Kati ya Mungu na hawa mafisi, nani zaidi?
Mapambano yanaendeleaaa
 
very sad,kama kuna nyakati nimesononeshwa basi ni kipindi hiki,kweli kabisa utafikiri serikali imepinduliwa imechukuliwa na wawaasi.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Kifo cha Magufuli pekee lilikua ni janga kubwa kuwahi kutokea kwenye Dunia yangu, unexplainable tragedy, jinsi wanavyomtweza na kumsiga naona kama naishi jehanam sababu nayapokea machungu yote haya moyoni kwangu as if ndio Magufuli mwenyewe, worst enough Magufuli Hawezi kuongea tena 😭😭😭😭💔💔
 
Wakuu kwaherini tutaonana siku akipatikana kiongozi mzalendo,sioni matumaini hapa..byebye


All the best
@Papi Chulo . Mkuu usileft. Shetani hajashinda. Mungu anajua anachofanya. Kumbuka namna alivyomhadaa Shetani enzi za Ayubu! Mungu hakutaka twende nchi ya ahadi tukiwa na wanafiki mbele maana kamwe tusingefika. Amempa/ameruhusu Magu apate pumziko la amani ili kazi aifanye yeye.

Nchi haitauzwa, wanajifariji tu kwa sasa. Acha wajidanganye "Kitalu _ _ asiguse mtu, kile kina kazi maalum". Kwa kawaida hata Yuda mwenyewe asingetoa kauli kama hiyo hadharani. Ni Mungu tu kaamua kuwatia upofu ili tuwajue vema kwa roho zao na si rangi za ngozi zao. Leo haiishi tutamjua mwingine.
 
Yani eti naye cag anahoji kwa nn mradi wa bwawa la nyerere unatumia upembuzi yakinifu ulifanyika 1970, ebu nisaidie hvi hii pia ni kazi yake anatafuta visababu tuu
Hakuna uhalisia mkuu. Ukiona zero brain anahoji kazi ya Magu ujue anatapatapa kulinda tumbo lake. Magu hakuwa malaika, ila pia hakuwa nyang'au kama hawa wanaojaribu kum-question.
 
Wewe unayo unayojua na unayojua ni mambo uliyosomea darasani ila kiukweli ni kuwa huna akili za ziada.

Mama anachombeza kana kwamba anajua yaliyomo kwenye CAG report.

Kaka, kulikua na kila jitihada za kumchafua marehemu tangu yuko hai, wamekamilisha walichofanya sasa, hawataki watu wahoji imekuwaje, kufanikisha hilo, wanazika legacy yake kwa kujunua report ya CAG.

Angalia nini CAG anadai kuhusu stand ya Mbezi Luis, kajichanganya pale, na yuko sahihi logically kwakua nia ilikua kuponda kila kitu, ila pale kaharibu. Mradi haujakamilika!
Mimi sijali unanifikiriaje, kwamba "sina akili za ziada" ila Nikuulize swali moja tu Je, CAG report ni ya kweli au ya uongo?
 
Toka lini report ya CAG ikasomwa mbele ya press?

Kikawaida huwa inaenda kusomewa bungeni, mama kaona atwist report na kuijaza sumu nyingi kisha kwa mara ya kwanza isomwe mara 2 kwenye press conference na bungeni kama kuwalisha watanzania sumu kwa wingi dhidi ya JPM
ushashau kua ASSAD,Utoh walikua wakikabidhi tu ripoti siku inayofuata wanatoa general comment za ripoti
 
Onyo: Ikiwa si mzalendo hii post haikuhusu, kaa pembeni. Niepushe na dhambi tafadhali.

Hello wazalendo wenzangu. Hapa natype mikono inatetemeka but I have to. Mara tu baada ya tangazo nilifuta social networks zote. Honestly nilijua here comes the hard time. Kwa kweli sikuweza ku-stand kejeli against the man.

Neno moja nawaambia watu wangu wazalendo. Kama alivyosema bro Magu: Watanzania tumtangulize Mungu. Huyu Mungu huyu aliyetuaacha tudhalilike sasa hivi anao mpango wake.

Mungu si kama sisi wanadamu. Yeye anaona mbali. Hajatuacha wala hajatutelekeza. Angeweza kutuacha tuendelee na safari huku tukiambatana mbwa mwitu na manyang'au miongoni mwetu.

Ila nani anajua Musa wetu angeweza kupambana nayo? Nani alijua kuwa kuna mbwa mwitu bado wana ndoto na Bagamoyo Port? Mbwa mwitu anayedai JNHPP ni bogus project tungemtambua kwa macho? Ndiyo, huyuhuyu ambae Magu alimtengua TRA akampeleka mkoani ajifunze. Alipoona kajifunza kampeleka kwenye ukaguzi. Leo ndiyo anatumika ku-liuza taifa!

Hakika nawaambia, macho yetu yasingewaona.

Pia angalie Mungu alivyo wa ajabu. Amewapa upofu ili watuondolee watu wasafi wakakae huko stoo ili waje kuwa hazina mara tu kazi itakapoanza upya. Amewapa upofu sasa wanajaribu kumchafua Musa wetu bila kujua kuwa wao pia wanajichafua.

Mtinange utakapoisha wao watakuwa wachafu kuliko kaburi la Magu.

Tusilie wanapomchafua Magu bali tufurahie maana wanajichafua wenyewe ili wakati utakapofika wasiwe na uhalali wa kuyasogelea malango yetu ya utawala.

Amini nawaambia: Sisi ndilo taifa pekee duniani tuliamua kusimama na Mungu hadharani. Nyakati ambapo kusimama na Mungu ni ushamba. Musa wetu alipomtangaza Mungu kuwa kiongozi wetu aliitwa Kinjekitile, mshamba, na mshirikina.

Hakuna nchi nyingine, hata hizo ambazo huitwa teule zilizoamua kuonesha kuwa Mungu ndiye muweza. Mungu alisema tumtumainie katika kila kitu. Wala hakusema tumtumainie katika yote isipokuwa "hizo sayansi".

Daima Taifa hili litasimama imara. Kwa sasa tupo tu kwenye mapumziko mafupi ili wanafiki wote akina Yuda wajionyeshe hadharani. Kisha Mungu atamuinua Joshua kwa wakati atakaoona sahihi na safari itaandelea.

Narudia: Ikiwa bango hili halikuhusu, tafadhali potezea uniepushie ban.
💔
 
Mimi binafsi nataka Miradi YOTE aliyoanzisha Magufuli imalizike. Lakini naona kuwa kuna vitu ambavyo haviendi Sawa kwenye uendeshaji wa baadhi ya miradi ikiwemo SGR. Kwa nini muda wote huu serikali haikutoa vibali?
Vibali vingetolewa kirahisi kama Yuda mmoja alivyoagiza hizo ajira zingelindwa vipi ndugu yangu? Kwenye mkataba na Yapi lot I, local content kwenye HR ni 80% ila mudu wote tumetembea na 96%. Hapo genius ni nani? Bro Magu aliyekaza kwenye vibali au huyo "mashavu panya" aliyeletwa mjini na Magu? Aliyemlea hata pale alipoonekana jipu!
 
Toka lini report ya CAG ikasomwa mbele ya press?

Kikawaida huwa inaenda kusomewa bungeni, mama kaona atwist report na kuijaza sumu nyingi kisha kwa mara ya kwanza isomwe mara 2 kwenye press conference na bungeni kama kuwalisha watanzania sumu kwa wingi dhidi ya JPM
Wanajaribu kuua legacy ya Magu ila ipo siku hata wao watakaa wajicheke! Ila Magu bwana! Usikute siku zote alijua kazungukwa na mbwa mwitu. No wonder alisisitiza kumtumainia Mungu pekee. Alijua tu akitoka kuna nyang'au watatawala.
 
mwenzenu maneno ya kuandika yameniisha.

najihisi ni mkosefu sana kuvumilia jpm akitukanwa kwa naman yoyote tu,huyu jamaa na mashavu yake kama chura anataga ni wa kutuambia stand ya mbezi itasababisha foreni!!!!stand yenyewe haijaisha bado.

mwanzoni wakati zinatoka riport za ATC nilizikubali kwamba inawezekana,shirika letu sio la kwanza,ila kwa sasa naanza kuona rangi halisi ya utapeli kwa watz.

Mungu umetukosea sana watz,na kwa hili hatutaacha kukulaumu milele.ulipanga haya yatukute.
Mkuu, just trust in God. Kila kitu kitakuwa sawa. Ila tutapitia magumu. Mwanzo nilidhani msiba wa Magu ndiyo mtihani. Kumbe aftermath ya kifo chake ndiyo mtihani wenyewe. Amini nakwambia, tutafika tuendako. Let's just pray for Dr. Mpango wasijekumlisha masumu.

Mimi nimependa namna wanavyom-skip. That way mabeberu hawatamdhuru kirahisi.
 
Mungu sio wakulaumiwa na hatokuja kuwa wakulaumiwa but I have a feeling anataka tujifunze n I know watanzania tuta take action for real one day... Mungu alitusambazia uzalendo watanzania kupitia huyu mzee, and i believe its of no waste. Nisha anza kuona ata raia wengi wakaida huku wanaanza kuuona utopolo wa mama. Na akicheza hamalizi hu muula.
Kweli mkuu.
 
Wewe ni mmoja ya watu ambao baada ya shule ulienda tafuta or kutafutiwa kazi.

Maswala ya inteligensia yako nje ya upeo wako kaka.

Your biggest problem is, oversimplification. Unapokua na alternatives kadhaa, the simpler belongs to commonsense.

To mature intellectually, you ought to fly way above commonsense.

All the best in your journey of mental challenges.


🤣🤣🤣🤣 Do you even read what you write before clicking "post reply"? So, according to your " profound intelligence," President Hassan is using the CAG to ruin every single project that the late Magufuli started because she cannot handle the workload? That's one hell of an assumption! I would gladly be willing to discuss it with you, but it's simply just CONJECTURE! Kwa nini ni ngumu kukubali kuwa kuna mambo mengi serikalini hayakuwekwa wazi hapo nyuma? Tweet niliyoleta ni fact kutoka kwenye ripoti ya CAG, wewe unaniletea tweet ya some random person ambaye simfahamu. Halafu unasema kuwa"maswala ya intelijensia yako nje ya upeo wangu". Ka-discuss hizi conspiracy theories na wenzako kwenye vijiwe vya kahawa!
 
aisee kwakweli najihisi uchungu sana nikiikumbuka haiba ya uso wa mzee kwa watanzania.

kaka taifa tumeshapotea tayari.
Taifa hatujalipoteza mkuu. Ninmapumziko tu wanafiki watajane. Kwani nani alijua yule aliyepewa jina la soko na mheshimiwa naye ni Yuda! Mungu pekee ndiye alijua ndiyo maana alijua watatupoteza.
 
hivi na ninyi mmeumizwa kama mimi?maana yake nini hii kwamba hakufanya kizuri hata kimoja?

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Samahani kwa swali langu, wewe ni mtanzania au mnyarwanda, siku za nyuma ulijitambulisha kama mnyarwanda, au hii picha na jina ninavichanganya?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sijali unanifikiriaje, kwamba "sina akili za ziada" ila Nikuulize swali moja tu Je, CAG report ni ya kweli au ya uongo?

Ni ya kupika logically.
Stendi ya Ubungo inaletaje foleni kwa mfano, wakati bado haijakamilika?

Tatizo lenu, mkisha maliza shule na kua na degree moja or mbili mnaona mmemaliza or mnaakili.

You have to have something extra to be on par with those who perceive what is way beyond your horizons of the moment.

In his 10 years Kikwete kasambaza umeme vijiji 2000, in his 5 years Magufuli kasambaza vijiji 7500.

Ushuhuda wa nmna hii alifanyiwa Yesu akasulubiwa na Baraba mnyang'anyi akaachiwa huru. Alifanyiwa Thomas More Uingereza, alifanyiwa Saddam Hussein, alifanyiwa Gaddafi.

Ushuhuda wote huo ulitolewa na experts wa field husika. Sasa if that sio enough kwa wewe kuhoji hii ripoti, then elimu yako ni ya kununulia mchele.
 
Mimi nimeacha kusikiliza, kuna hotuba alitoa majuzi watu wakasifia nikaona ngoja nisikilize, utopolo nilioukuta mule niliumia sana mpaka nikahisi naweza jipa ugonjwa wa moyo,
Jamii Forums nachungulia hapa tu na sifungui video yoyote imhusuyo mama na genge lake.
 
🤣🤣🤣🤣 Do you even read what you write before clicking "post reply"? So, according to your " profound intelligence," President Hassan is using the CAG to ruin every single project that the late Magufuli started because she cannot handle the workload? That's one hell of an assumption! I would gladly be willing to discuss it with you, but it's simply just CONJECTURE! Kwa nini ni ngumu kukubali kuwa kuna mambo mengi serikalini hayakuwekwa wazi hapo nyuma? Tweet niliyoleta ni fact kutoka kwenye ripoti ya CAG, wewe unaniletea tweet ya some random person ambaye simfahamu. Halafu unasema kuwa"maswala ya intelijensia yako nje ya upeo wangu". Ka-discuss hizi conspiracy theories na wenzako kwenye vijiwe vya kahawa!

Kwa kifupi tu, mimi naitwa Stephen, nitaishia hapo. Pia Twitter handle yangu ni @KipepeComrade

Sisi tunalipigania hili taifa miaka mingi sana, sehemu nyingi, tulikua na wakina geza huko Skyscrapercity.com.

Hakuna Mahala nimesema "workload" or kumaanisha hivyo, hii assumption ni yako sio yangu.

Nilichojaribu kufanya ni kukukumbusha umuhimu wa kuhoji kila kitu ikiwamo hii report.

Sasa, kama wewe ni mtu wa report na ndio unaamini tu, utakua na shida mahala.

Reports za Iraq kumiliki WMD hazikuandaliwa na vijana wa kijiweni.
 
Back
Top Bottom