Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni ya kupika logically.
Stendi ya Ubungo inaletaje foleni kwa mfano, wakati bado haijakamilika?

Tatizo lenu, mkisha maliza shule na kua na degree moja or mbili mnaona mmemaliza or mnaakili.

You have to have something extra to be on par with those who perceive what is way beyond your horizons of the moment.

In his 10 years Kikwete kasambaza umeme vijiji 2000, in his 5 years Magufuli kasambaza vijiji 7500.

Ushuhuda wa nmna hii alifanyiwa Yesu akasulubiwa na Baraba mnyang'anyi akaachiwa huru. Alifanyiwa Thomas More Uingereza, alifanyiwa Saddam Hussein, alifanyiwa Gaddafi.

Ushuhuda wote huo ulitolewa na experts wa field husika. Sasa if that sio enough kwa wewe kuhoji hii ripoti, then elimu yako ni ya kununulia mchele.
Sure mimi pia nimemshusha thamani mshkaji nlikua namkubali kinyama
 
Umekubali kwamba Tanzania tulistahili kuzuia Magari ya Kenya kama kulipiza kisasi kwa Kenya kutangaza na kuzuia mahindi ya Tanzania?, kumbuka hizo gari za Kenya tulizozizuia kuna ambazo zinakwenda nchi za kusini mwa Africa pia, lazima tuwatie adabu

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kama mnataka ubabe hamna shida. Hata sisi tutafunga border tuone mtauza chakula wapi au zitaozea shambani na wakulima kupata hasara.
 
Tujihurumie sisi mkuu. Kuhusu Magu, I bet yuko na pumziko la amani kabisa kwa sasa kwani ikiwa Magu hawezi kupata pumziko la amani kwa kuzingatia namna alivyoishi, basi ni ngumu sana kulipata kwa mtu mwingine. Naamini Mungu anasikia vilio vyetu na atavifanyia kazi.
Hope 🙏
 
Kama mnataka ubabe hamna shida. Hata sisi tutafunga border tuone mtauza chakula wapi au zitaozea shambani na wakulima kupata hasara.
Nilikuambia kwamba kila kwenye mgogoro kati ya KE na TZ lazima chanzo ni Kenya. Ninakuhakikishia kwamba njia pekee ya kushughulikia migogoro ya Kenya na Tanzania ni kulipiza kisasi, ninyi wakenya sio watu wa kushauriana nanyi, ninyi ni watu wa hovyo sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
😀 Magufuli Terminal itasababisha foleni, siku zote naona watu wanapost nafikiri ni watu wa maana kumbe ni mabendera
1617970646556.png
 
Nilikuambia kwamba kila kwenye mgogoro kati ya KE na TZ lazima chanzo ni Kenya. Ninakuhakikishia kwamba njia pekee ya kushughulikia migogoro ya Kenya na Tanzania ni kulipiza kisasi, ninyi wakenya sio watu wa kushauriana nanyi, ninyi ni watu wa hovyo sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hata kama unavyosema ni ukweli kwamba tumezuia mahindi yenu kuingia Kenya bado hainiingi kichwani vipi nyinyi mumeamua kuzuia kila kitu kuingia TZ. Yaani angalau sisi tulizuia mahindi pekee. So wewe unaona kama mko proportional kweli au mnaleta utoto na ubabe?
 
wewe ni bwege wa wapi? Mobilization ya kampuni inayojenga tayari imefaynika ndo maana uzinduzi unakuja!


Asante. Naona you have learnt your lesson. Wachina hawakwepeki. Mpende msipende lazima muwatumie.
 
Back
Top Bottom