Tunna05
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 243
- 526
Mama amesha haribu pakubwa sana saivi, kumruhusu CAG kutoa report kiolela hivi kiolela it's just sad... na ninahisi kashinikizwa amruhusu cag atoe taarifa. Ona sasa ni kashfa ju ya kashfa. Its like wao hiko kipindi hivyo vitu vinatokea hawakuwepo (kama ni kweli). Kwaio walitegemea Jpm afatilie kila kitu? Kazi yao ilikua ni ipi sasa? Afu saivi Magu ndo anaanza kuonekana mbaya kisa watu wachini yake hawakufanya kazi yao vzuri... yani ccm isipo angalia they are digging their own grave... yani i Can feel it. Wasizani sisi wanachi tuliompenda Jpm ni wajinga na hatuelei nini kina endelea. Na wengi wao walishinda hii awamu ya pili kisa yeye... damm
I don't think I'll ever trust Mama any more, i had benefit of doubt before lakini kwa mwendo hu huyu mama hu mziki ume mshinda.. dadili ya mvua ni mawingu na nyota njema huonekana asubuhi... kwa mnao nielewea mtajua hilo
I don't think I'll ever trust Mama any more, i had benefit of doubt before lakini kwa mwendo hu huyu mama hu mziki ume mshinda.. dadili ya mvua ni mawingu na nyota njema huonekana asubuhi... kwa mnao nielewea mtajua hilo
