Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

"Najua tuna ubia na Barrick kupitia Twiga (kampuni ya madini) lakini ndani yake changamoto ni nyingi kuna masuala ya kodi hayajakaa vizuri, kuna masuala mengine hayajakaa vizuri. Tusifike mahali tukaoneshana misuli sisi ndiyo wahitaji ," Rais Samia Suluhu Hassan


Ama kweli 2 sio 1
Hapo Magu angewakoromea mpaka wangekaa, mama anasema tuwapigie magoti tu, sisi maskini 😭😭😭😭😭 tunakukumbuka Magufuli
 
"Najua tuna ubia na Barrick kupitia Twiga (kampuni ya madini) lakini ndani yake changamoto ni nyingi kuna masuala ya kodi hayajakaa vizuri, kuna masuala mengine hayajakaa vizuri. Tusifike mahali tukaoneshana misuli sisi ndiyo wahitaji ," Rais Samia Suluhu Hassan


Ama kweli 2 sio 1
Hapo Magu angewakoromea mpaka wangekaa, mama anasema tuwapigie magoti tu, sisi maskini 😭😭😭😭😭 tunakukumbuka Magufuli
"Sisi ndio wahitaji"??? Kwani wao wametoka huko ulaya mpaka TANZANIA sio wahitaji!? Yaani huyu mama aise!!! Mm nakumbuka Magu akipokea ripoti ya makinikia,wazungu walitutshia kuondoka, akasema,"natamani kusikia wameondoka hata leo" badala yake,wakaomba mazungumzo na Magu,Sasa huyu mama Anawaruhusu watukanyage wanavyotaka. Madini yataanza kugawana tena na Hawa wazungu mda si mrefu wataanza kutuwekea masharti ya ajabu.mm huyu mama nina mashaka naye tokea mwanzo.wanaosema tumpe mda ni vipofu hawajafunguka macho.
 
"Najua tuna ubia na Barrick kupitia Twiga (kampuni ya madini) lakini ndani yake changamoto ni nyingi kuna masuala ya kodi hayajakaa vizuri, kuna masuala mengine hayajakaa vizuri. Tusifike mahali tukaoneshana misuli sisi ndiyo wahitaji ," Rais Samia Suluhu Hassan


Ama kweli 2 sio 1
Hapo Magu angewakoromea mpaka wangekaa, mama anasema tuwapigie magoti tu, sisi maskini 😭😭😭😭😭 tunakukumbuka Magufuli
Dhaaa mama kasha zingua pakubwa... dhaaa sijuia ata niseme nini zaidi ya ku hope things don't turn out as bad as I feel it's gonna be. Jamani tusirudi kuwa abudu wazungu... TANZANIA'S WE ARE RICH!!!!!.. *** them WHITES
 
"Sisi ndio wahitaji"??? Kwani wao wametoka huko ulaya mpaka TANZANIA sio wahitaji!? Yaani huyu mama aise!!! Mm nakumbuka Magu akipokea ripoti ya makinikia,wazungu walitutshia kuondoka, akasema,"natamani kusikia wameondoka hata leo" badala yake,wakaomba mazungumzo na Magu,Sasa huyu mama Anawaruhusu watukanyage wanavyotaka. Madini yataanza kugawana tena na Hawa wazungu mda si mrefu wataanza kutuwekea masharti ya ajabu.mm huyu mama nina mashaka naye tokea mwanzo.wanaosema tumpe mda ni vipofu hawajafunguka macho.
Dah ndio maana dunia inatia hofu sana kwa mwanamke kukalia kiti cha uongozi hofu ya utegemezi inawajaa sana wanawake sio kwamba wanawake wachache wanaweza kuwa strong hapana ukiona mwanamke anakuwa strong ujue alishapat maumivu makali

Mungu ampe nguvu ila pengo tushaanza liona taratibu
 
"Sisi ndio wahitaji"??? Kwani wao wametoka huko ulaya mpaka TANZANIA sio wahitaji!? Yaani huyu mama aise!!! Mm nakumbuka Magu akipokea ripoti ya makinikia,wazungu walitutshia kuondoka, akasema,"natamani kusikia wameondoka hata leo" badala yake,wakaomba mazungumzo na Magu,Sasa huyu mama Anawaruhusu watukanyage wanavyotaka. Madini yataanza kugawana tena na Hawa wazungu mda si mrefu wataanza kutuwekea masharti ya ajabu.mm huyu mama nina mashaka naye tokea mwanzo.wanaosema tumpe mda ni vipofu hawajafunguka macho.
Tuna mtihani kwa kweli
Ni bora asingekua Magu awali tungeona sawa tu, tunalinganisha na utendaji wa Magu nyoyo zinatuuma zaidi
 
Dhaaa mama kasha zingua pakubwa... dhaaa sijuia ata niseme nini zaidi ya ku hope things don't turn out as bad as I feel it's gonna be. Jamani tusirudi kuwa abudu wazungu... TANZANIA'S WE ARE RICH!!!!!.. **** them WHITES
Magufuli alikuwa anatutia moyo /ujasiri na kutupa matumaini na imani sana, mama ameanza kwa kuwatukuza wazungu na kututweza wenye rasilimali, sina imani na mikataba ijayo, Magufuli tunakukumbuka 😭😭😭
 
Wanaharakat uko washaanza kujihesabia pointi wakina fatma karume na wenzake , mama naona anaanza kulegeza legeza kila eneo Acha tungojee swala la corona atalishughulikiaje, mambo ya kurudi kuanza kumwabudu mzungu kama wakenya hatutakii aisee, mama nampa pointi kwenye swala moja tuu kulegeza sheria za vyombo vya habari na uhuru wa kujieleza basi lakin uku kwingine sijui
 
"Najua tuna ubia na Barrick kupitia Twiga (kampuni ya madini) lakini ndani yake changamoto ni nyingi kuna masuala ya kodi hayajakaa vizuri, kuna masuala mengine hayajakaa vizuri. Tusifike mahali tukaoneshana misuli sisi ndiyo wahitaji ," Rais Samia Suluhu Hassan


Ama kweli 2 sio 1
Hapo Magu angewakoromea mpaka wangekaa, mama anasema tuwapigie magoti tu, sisi maskini 😭😭😭😭😭 tunakukumbuka Magufuli
Tunaambiwa ni mapema tumpe muda🤣😝
 
"Sisi ndio wahitaji"??? Kwani wao wametoka huko ulaya mpaka TANZANIA sio wahitaji!? Yaani huyu mama aise!!! Mm nakumbuka Magu akipokea ripoti ya makinikia,wazungu walitutshia kuondoka, akasema,"natamani kusikia wameondoka hata leo" badala yake,wakaomba mazungumzo na Magu,Sasa huyu mama Anawaruhusu watukanyage wanavyotaka. Madini yataanza kugawana tena na Hawa wazungu mda si mrefu wataanza kutuwekea masharti ya ajabu.mm huyu mama nina mashaka naye tokea mwanzo.wanaosema tumpe mda ni vipofu hawajafunguka macho.
Mimi muda niliompa umeisha, sasa nahitimisha kwamba rasmi Tuko choo cha kike.
Yajayo yanasikitisha.
 
Wanaharakat uko washaanza kujihesabia pointi wakina fatma karume na wenzake , mama naona anaanza kulegeza legeza kila eneo Acha tungojee swala la corona atalishughulikiaje, mambo ya kurudi kuanza kumwabudu mzungu kama wakenya hatutakii aisee, mama nampa pointi kwenye swala moja tuu kulegeza sheria za vyombo vya habari na uhuru wa kujieleza basi lakin uku kwingine sijui
Mimi muda niliompa umetisha, sasa nahitimisha kwamba rasmi Tuko choo cha kike.
Yajayo yanasikitisha.

Tumpe mda kama ikifika mwakani na hamna miradi yoyote mikubwa itakayoqnzishwa tutajua keshafeli
 
"Najua tuna ubia na Barrick kupitia Twiga (kampuni ya madini) lakini ndani yake changamoto ni nyingi kuna masuala ya kodi hayajakaa vizuri, kuna masuala mengine hayajakaa vizuri. Tusifike mahali tukaoneshana misuli sisi ndiyo wahitaji ," Rais Samia Suluhu Hassan


Ama kweli 2 sio 1
Hapo Magu angewakoromea mpaka wangekaa, mama anasema tuwapigie magoti tu, sisi maskini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] tunakukumbuka Magufuli
Wafanyabishara na wenye pesa wanaenda kuwa wenye sauti, dalili ya mvua ni mawingu, ni vzr ila tunarudi kule kule kwenye wizi wa rasilimali zetu yn kwa kifupi inawezekana juhudi zote zikawa nothing, kweli katiba mpya muhimu, haya mambo ya rais ndiyo muamuzi mkuu yataendelea kutuumiza sn cz kila anayeingia na mawazo yake.
 
"Sisi ndio wahitaji"??? Kwani wao wametoka huko ulaya mpaka TANZANIA sio wahitaji!? Yaani huyu mama aise!!! Mm nakumbuka Magu akipokea ripoti ya makinikia,wazungu walitutshia kuondoka, akasema,"natamani kusikia wameondoka hata leo" badala yake,wakaomba mazungumzo na Magu,Sasa huyu mama Anawaruhusu watukanyage wanavyotaka. Madini yataanza kugawana tena na Hawa wazungu mda si mrefu wataanza kutuwekea masharti ya ajabu.mm huyu mama nina mashaka naye tokea mwanzo.wanaosema tumpe mda ni vipofu hawajafunguka macho.
Wala haihitaji jicho la tatu kuona maudhui yake.
 
Wafanyabishara wanaenda kuwa wenye sauti, dalili ya mvua ni mawingu, ni vzr ila tunarudi kule kule kwenye wizi wa rasilimali zetu yn kwa kifupi inawezekana juhudi zote zikawa nothing, kweli katiba mpya muhimu, haya mambo ya rais ndiyo muamuzi mkuu yataendelea kutuumiza sn cz kila anayeingia na mawazo yake.
Daah kweli aisee mm jpm nitabakia kumlaumu kitu kimoja tuu kwann hakutuletea katiba mpya we fikiria pamoja na ukali wote wa jpm wafanyabishara walikua wanakwepa kodi na kujipigia uko sembuse mama anavyuwasujudia hususan hawa wawekezaji mm naona tunarudi kule kwenye mikataba mibovu kama ule wa bandari ya bagamoyo
 
Daah kweli aisee mm jpm nitabakia kumlaumu kitu kimoja tuu kwann hakutuletea katiba mpya we fikiria pamoja na ukali wote wa jpm wafanyabishara walikua wanakwepa kodi na kujipigia uko sembuse mama anavyuwasujudia hususan hawa wawekezaji mm naona tunarudi kule kwenye mikataba mibovu kama ule wa bandari ya bagamoyo
Tushaambiwa sisi ndiyo tunaowahitaji wao zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji, hivyo ile mentality iliyohubiriwa kwamba Tz ni tajiri ife kuanzia sasa mkuu, so sad [emoji22][emoji22][emoji22]
 
Huyu mama anafocus Dunia inaitazamaje Tanzania na sio kama Magufuli alifocus watanzania wanahitaji nini no matter what the damn world thinks about us

Yaani kisa Tanzania tu ipo blank basi mama hataki, anataka kuona na Tanzania imejaa statistics za vifo, infections and all that

Tumepigwa wakuu
Hamna mtu hapa

 
"Najua tuna ubia na Barrick kupitia Twiga (kampuni ya madini) lakini ndani yake changamoto ni nyingi kuna masuala ya kodi hayajakaa vizuri, kuna masuala mengine hayajakaa vizuri. Tusifike mahali tukaoneshana misuli sisi ndiyo wahitaji ," Rais Samia Suluhu Hassan


Ama kweli 2 sio 1
Hapo Magu angewakoromea mpaka wangekaa, mama anasema tuwapigie magoti tu, sisi maskini 😭😭😭😭😭 tunakukumbuka Magufuli
Kwa kiasi fulani wote tunategemeana. Wao wawekezaji wanahitaji kufanya biashara kwetu na sisi tunategemea uwekezaji wao kupata Ajira na serikali kupata revenues. Tayari mama ameshasema tuna ubia na Barrick na bado anatambua umuhimu wa kufanya nchi iwe na favorable business environment. Kodi kali zinafanya nchi ipoteze wawekezaji wengi. Mabavu yatakusaidia wapi pale makampuni ya wawekezaji yakiondoka? Na wawekezaji unajua wanaenda wapi wakiondoka Tanzania? Kenya! Kuna biashara za horticulture Arusha zimekufa na kuhamia kenya kwasababu kodi zimezidi kuwa kubwa sana. Unavyosema Magu kuwakoromea labda unamaanisha nini? Kwamba Angeongeza Kodi?
 
Tushaambiwa sisi ndiyo tunaowahitaji wao zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji, hivyo ile mentality iliyohubiriwa kwamba Tz ni tajiri ife kuanzia sasa mkuu, so sad [emoji22][emoji22][emoji22]
to be honest siku mama anaapishwa nililia sana,nilitafakari mengi mno,sio Kua namchukia mama ila niliona viatu hivi mbona vikubwa mno,niliifikiria ile Tanzania Magufuli aliyoitaka itafanikiwa au ndo na yenyewe Tunaizika.


Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom