Kwhyo lorry hapo halianguki kabisa, yaninki magu magu litakua salama hata libingirie kivipiplz no hurt feelings ....enjoy the modernity of this one compare it to your old design
.View attachment 1746103
kazi kweli kweli
“CAG naomba ulimi wao usiwe mzito kuongea yaliyopo kwenye reports “
Eti Magufuli stand itasababisha foleni kwamba haikuzingatia ujenzi wa barabara ya kimara-kibaha
Na kwamba bwawa la JNHP linajengwa kwa hesabu za kizamani za 70s
Kwahiyo ilani yao waliyoitengeneza wenyewe leo wanaikosoa, kwahiyo mapesa yote yaliyozama pale tumeyatupa tu tuanze upya
Yani kiukweli mambo mengine hata wapinzani wanashangaa, hakuna jema lililofanywa awamu iliyopita, kesho tutaambiwa mradi wa sgr hauna tija mana tayari spika anasema ilipaswa utegemee ujenzi wa Bagamoyo port
Wallahi Africa ni shit hole.
Wakuu humu ndani wengine naona tuna reasoning za kitoto, Magu wasn't a Saint na alikuwa na matatizo yake mengi tu na wengi wetu bdo tulimkubali/tunamkubali but tuwe waungwana na tuaknowledge kuwa mengi yamefanyika behind the scenes ambayo alipaswa kuyasuluhisha na kukubali yasemwe ili watu wayajue na yarekebishwe, waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua, sasa mlitakaje watu wabaki kimya na uozo upo unafanyika mchana kweupe?????? acheni hizo bwana tunatakiwa tujifunze kuwa hakuna kiongozi aliokamilika duniani na hapa kwa sasa tuombe mama ajaribu kuchukua hatua nzito kwa yale yte ambayo CAG ameyabainisha na sio kila mwaka anatoa reports zake ila hakuna hatua yyte inayochukuliwa
Wewe ndio mwenye reason ya kitoto, ya kuamini kila ukidomacho.Wakuu humu ndani wengine naona tuna reasoning za kitoto, Magu wasn't a Saint na alikuwa na matatizo yake mengi tu na wengi wetu bdo tulimkubali/tunamkubali but tuwe waungwana na tuaknowledge kuwa mengi yamefanyika behind the scenes ambayo alipaswa kuyasuluhisha na kukubali yasemwe ili watu wayajue na yarekebishwe, waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua, sasa mlitakaje watu wabaki kimya na uozo upo unafanyika mchana kweupe?????? acheni hizo bwana tunatakiwa tujifunze kuwa hakuna kiongozi aliokamilika duniani na hapa kwa sasa tuombe mama ajaribu kuchukua hatua nzito kwa yale yte ambayo CAG ameyabainisha na sio kila mwaka anatoa reports zake ila hakuna hatua yyte inayochukuliwa
Yani mambo yote yaliyofanywa awamu iliyopita yameonekana ni ya hovyo, kila mahali pametolewa dosari, ss hapa km hawajitii doa wao wenyewe sijui imekaaje, nadhani wanajichimbia kaburi wao wenyewe, tatizo la nchi hii hakuna upinzani imara ila kiukweli huu ndiyo ulikuwa mwisho wa hiki chama.
Chuki mbaya sana aisee.
Kuna mtu alinitukana kwasababu hakutaka kusikia ukweli kuhusu kodi zilizokithiri. nilimwambia hata ukusanyaji wa kodi utapungua. Haya sasa hivi si mimi ninayeongea ni CAG.
Kuna madudu yaliyofanyika yanawekwa wazi na CAG. Money laundering serikalini 😶
Wewe unayo unayojua na unayojua ni mambo uliyosomea darasani ila kiukweli ni kuwa huna akili za ziada.Were we really less corrupt than Kenya? It’s funny because Instances of Corruption and embezzlement of public funds are always all over the news in Kenya but in TZ, these things happen in secret. No one knows except those involved! 😡 And we entertain ourselves by posting tweets about corruption in Kenya not knowing that we are not different than them. 🤡🤡🤡
Me too soon 💔Wakuu kwaherini tutaonana siku akipatikana kiongozi mzalendo,sioni matumaini hapa..byebye
All the best
Mimi nilishahisi huyu mama kaniulia Rais wanguKama huko mbeleni akibadilika tutarudi ila kwa sasa mh, mpaka nafikiri vibaya yaani kwa lugha ya fasihi ni hivi.
MUNGU anamshangaa JPM "mbona umekuja mapema kabla ya wakati?"
MUNGU anisamehe kama ndivyo sivyo.
Kumbe ndio maana wamempiga chini bashiru aisee nishalielewa picha yani kwa hali hatuwezi kuenda ata kidogo, daahMimi nilishahisi huyu mama kaniulia Rais wangu
Nimelisema kwa miaka mingi sana hapa, hili suala la akili ya ziada na kusema hapa ndipo wazungu (na sasa wachina) wanapotuzidi.Wewe unayo unayojua na unayojua ni mambo uliyosomea darasani ila kiukweli ni kuwa huna akili za ziada.
Mwanamke mpunbavu sana yuldUkikuta wapinzani wanakushangilia, mpaka kutaka kukubeba, lazima urudi nyuma na kujiuliza, nimekosea wapi. Wakinuna ujue umewapiga kisawa sawa. By JPM.
Na sasa mtaanza kuuana kama njungu. Mlivyokuwa mafisadi. Half of the guns produced will end up on the streets. Mtaishia kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Toka lini report ya CAG ikasomwa mbele ya press?Kumbe ndio maana wamempiga chini bashiru aisee nishalielewa picha yani kwa hali hatuwezi kuenda ata kidogo, daah