tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Serikali sikivu Vijana nao wakale keki ya taifaAsante kwa ajira mama
Serikali sikivu Vijana nao wakale keki ya taifaAsante kwa ajira mama
Si ulikuwa unaongelea international meets??!?..au ushasahau!!??..ndo maana nili-doubt kama unajua hata international meets ni kitu gani,anyway IAAF usiifananishe na football tournament yoyote ile..Wacha bana. Siongelei vitu za kijinga, umewahi sikia kitu kama IAAF wakileta mashindano kwingine kama sio Kasarani!?
Kwa sasa tunajiandaa na World Under 20 Athletics. Over 90 countries confirmed.
Halafu World Safari Rally. Its venue will be Kasarani.
Wataalamu🤣 kina kigwangala I smell something let us wait.swala la covid mama anakusudia kuunda kamati ya kitaalamu
Sasa kama seat ni zege hiyo capacity wamepata wapi!!,wakenya ni wajinga sana..Inside the so called international stadium 😂😂😂 hata kumbe viti vyenyewe hakuna, watu wanakaa kwenye zege,huu uwanja haufikii viwango vya viwanja vya kimataifa kamwe,ni upuuz mtupu 😂😂😂 Simba 254 eti sitting capacity ni 70k 😂😂😂
View attachment 1744772View attachment 1744773View attachment 1744774View attachment 1744775
Acha tu Zuwena,itoshe kusema ni mapenzi yake aliyejuu,ila kwawenye akili tumepoteza mtu wa muhimu kwa taifa letu.Magu angemaliza Mihula yake Da Ingependeza sana
mungu huyu Basi tu
Leo mheshimiwa kanifurahisha sana...Nimemsikiliza Rais yupo live sasa hivi, anasema MIRADI aliyoacha Hayati Magufuli ni urithi wetu, lazima ikasimamiwe kikamilifu ikamilike, lasivyo hatutapata radhi yake na ya Mungu.
Mtihani ndugu Saivi narudi japo Bando nalo Linakuwa MajangaZuwenna unapotea sana kijiweni hapa, kusabahi mara moja moja siyo mbaya.
Salamu siyo posa.
Hao jamaa ni wapuuzi tuSasa kama seat ni zege hiyo capacity wamepata wapi!!,wakenya ni wajinga sana..
Tunarudi enzi za ruksa.Acha tu Zuwena,itoshe kusema ni mapenzi yake aliyejuu,ila kwawenye akili tumepoteza mtu wa muhimu kwa taifa letu.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Naona pia weww ushaona mwelekeo wa maza tumpe mda kiasi gani toa maoni yakoTunarudi enzi za ruksa.
2.5m people wamerudi kwenye below poverty line ukijumlisha na ile 46% iliokuwepo kabla ya corona inaenda 51% alaf sijui hua tunashindana nn
Kama ni kweli basi niJ-10 fighter zinategemea kitua nchini. Kwa habari za chini chini zipo kama 6 hivi. Tusubiri kidogo.
View attachment 1744789




Tutammiss sana hasa katika uthubutu wa kufanya mega projectsAll in all Magufuli tutakumiss sana