Mtanzania akamatwa mombasa moi airport na 5.3kg of heroin View attachment 1725799View attachment 1725800
mpambanaji



Mtanzania akamatwa mombasa moi airport na 5.3kg of heroin View attachment 1725799View attachment 1725800



ni ujinga kun'gan'gania hamna yani hewa bora kwa kujitoa mtaokoa fedha na mudaWadau nimeshangaa zaidi. Eti Kenya imejitoa kwenye kesi ya Maritime dispute? Nimeshangaa sana ila sina la ziada la kusema.
Wadau nimeshangaa zaidi. Eti Kenya imejitoa kwenye kesi ya Maritime dispute? Nimeshangaa sana ila sina la ziada la kusema.
kwamba eneo sio la Somalia au? em tafuta ramani letsay hata ya 70's afu ipost hapaStatement yako number 1 ni uongo mtupu.
Unaonekana huna Latest info kwenye hiki suala, hio Kenya unayodhani italindwa na UK na USA imeona ni bora kujitoa kwenye mkataba wa International Court of Justice (ICJ) kwa sasa imetambua kuwa Somalia inakaribia kushinda kesi.Hii ishu somalia hana chake sababu hata akishinda mahakamani sidhani kama kenya watamuachia amiliki hilo eneo la bahari. Kwa kenya ni rahisi zaidi kuidhibiti somalia kwa nguvu kuliko kufungua kesi kama hiyo dhidi ya Tanzania kudai eneo la bahari wakati alishakuwa nalo kabla. Sioni jumuiya ya kimataifa ikiwa upande wa somalia kwa maamuzi yoyote yale ambayo kenya atayachukua ukizingatia pia ni mshirika mkubwa wa marekani na uingereza ukanda huu.
Makucha ya mchina sasa🤣🤣🤣🤣 alaf wako wanashuglika na magufuli
View attachment 1725913
Taja legal reasons why. Taja sababu za kisheria sio rumours.Ukweli utajidhiirisha soon🙂
Chances za Somali kushinda hii kesi zipo juu nimekua nikifatilia hii issue kwa ukaribu Sana tusubiri tuone🙂
Wacha ujinga. Unamaanisha nini unaposema Kenya haiwezi kushinda hii kesi, kwamba Somalia wana nguvu? Wana nguvu kivipi? Kisheria au kijeshi au kiuchumi? Hii ni Mahakama na the only thing that matters is the law. Ulitakiwa unieleze kisheria ni kwa nini unafikiri Somalia watashinda. Sio kuniambia kwamba Somalia wana nguvu, hata sisi tuna nguvu kuwashinda kijeshi na kiuchumi.
Acha tumalizie tu nakusema za "kumwaga"Wanadhani ni moja.
Halafu, zile zinakuja Nairobi kwenye Nairobi express, Viaa duct over Langata na ingine hii ya upperhill zitakuwa ngapi mkuu??

Sawa injinia, chora ya kwako ya kijanja na wewe..mbona imejengwa kibahili sana hii mzee. Hio njia ya chini kabisa nadhani lengo ilikuwa kukwepa kuweka njia ya juu tu kwa sababu hata hiyo ya juu nayo mmeiminya sana.
Kubadilisha kila kitu unafanya mtandaoni kasoro vidole.Ukitaka passport huko kwenu una-apply online?
Tatizo hujui kinachosemwa, we unajua treni zetu za mizigo zinabeba mabehewa mangapi kila moja inapoondoka bandariniMachuma kibao kumbe yanabeba tani 25 tu.
Umejibu kinyonge sana maskini, yani huna taarifa zozote kumhusu lkn bado unanengua tu..Amekufa, alilazwa Nairobi, akapelekwa India, akarudi Tanzania Mzena Hospital akajifia, Leo ndio tunafanya mazishi yake.
Taja legal reasons why. Taja sababu za kisheria sio rumours.
Oneni huyu msee wajubaUnajua kitu kinaitwa USSD!? Tanzania ipo mbele sana kijana.
View attachment 1725714View attachment 1725717

Hii mbona umeruka mzee baba, au hko kwenu hamna haya mambo ni mpka search kila kitu kivyake km hapo kw hyo screenshot yako ya passport uliyotuleteaMbona mnamfumo wa kizamani hvo, yani unajiingilia kw mtandao kijinga jinga tu wala hata account huna..
Sisi e-citizien account ukiingia ndani unakuta kila kitu ndani wala sio mambo na ku search
Unajua kitu kinaitwa USSD!? Tanzania ipo mbele sana kijana.
View attachment 1725714View attachment 1725717
Sijajua umetumia kigezo gani kuamini somalia inakaribia kushinda wakati kesi bado inaendelea( kesho inasikilizwa tena). Sio wishful thinking binafsi sihitaji hilo lakini hapa itategemea somalia ameshinda kwa sheria ipi. Hizo historical evidence sidhani kama zitatosha kuwapa ushindi labda ungetoa mfano japo mmoja wa mgogoro mmoja ambao nchi imenyanganywa eneo la maji kwa sababu za kihistoria. Hawajajitoa ICj wamejitoa kwenye kesi.Unaonekana huna Latest info kwenye hiki suala, hio Kenya unayodhani italindwa na UK na USA imeona ni bora kujitoa kwenye mkataba wa International Court of Justice (ICJ) kwa sasa imetambua kuwa Somalia inakaribia kushinda kesi.
Na suala la kusema eti kwakua Somalia kashinda kesi then sasa twende tukaombe eneo la mpaka wa TZ ni wishful thinking.
Kisheria ni lazima uwe na sababu yenye mshiko otherwise dunia nzima nchi zitaanza kufungulia a similar cases ili zipewe maeneo ya nchi jirani.
FYI, Somalia wana historical evidence kuwa wao ndio wamiliki halali wa hilo eneo since the establishment of their stste na hicho kitu Kenya wanajua lakini walijaribu kujitutumua wakidhani Somalia itakata tamaa mpaka sasa wameona hali mbaya na kuamua kujitoa ICJ.