do not underestimate Somalia mkuu,hilo eneo kinajulikana ni la Somalia duniani kote
1)Kenya aliweza kuliingilia kufatia somalia kutokua na serkali kwa muda mrefu
2)hakuna beberu anaweza kuwekeza kwe hilo eneo kupitia kenya (hapa ndipo Somalia anapata nguvu)
3)kenya atalitoa hilo eneo haijalishi ni kwa machungu kiasi gani maana usalama wa kenya unategemea Somalia
4)Somalia ishapata raisi so inasikilizika na ina haki zote kama inchi ma inawashirika wake vilevile

︎kenya rudisheni eneo la watu,msiwacheleweshee wenzenu maendeleo kwa wivu wenu wa kishamba kutamani mafuta ya wenzenu