Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wadau nimeshangaa zaidi. Eti Kenya imejitoa kwenye kesi ya Maritime dispute? Nimeshangaa sana ila sina la ziada la kusema.
Umeanza kuogopa tena wakati ulituambia hivi...



Yule judge ambaye alikuwa Msomali na pia alikuwa president wa ICJ hatimaye ame-retire. Judge kutoka US amechukua nafasi yake. Somalia ilipeleka Kenya kwenye korti hii ya ICJ kwa madai kwamba Kenya imenyakua kipande cha bahari yake.

Kenya imejaribu kwa muda mrefu kudelay kesi hii ili huyu judge Msomali aretire. Sasa jamaa ameretire. Wacha akwende kabisa. Chances za Kenya kushinda hii kesi imeongezeka mara dufu.
 
Wacha ujinga. Unamaanisha nini unaposema Kenya haiwezi kushinda hii kesi, kwamba Somalia wana nguvu? Wana nguvu kivipi? Kisheria au kijeshi au kiuchumi? Hii ni Mahakama na the only thing that matters is the law. Ulitakiwa unieleze kisheria ni kwa nini unafikiri Somalia watashinda. Sio kuniambia kwamba Somalia wana nguvu, hata sisi tuna nguvu kuwashinda kijeshi na kiuchumi.
Hahah ujinga ni wa kenya na baada ya kuona ujinga wao unawekwa peupe tena katika mahakama ya kimataifa ya ngazi ya juu kabisa kenya imeamua kuhepa hii kasi...ila bado maamuzi yatatolewa tu hata kama mmekimbia kesi.

Janja ya kuigawa somalia ime fail. Hoja ya msingi hapa ni umiliki. Nani mwenye hati miliki wa hilo eneo? Nani anatambulika kisheria kwa umiliki wa hilo eneo? Kenya iko na any piece of legal and authentic paper inayoonyesha hilo eneo liko upande wake? Mlichukua hilo eneo kwa maneno tu.. kama vile kusema mt.KLM iko kenya, mliweza kudamganya dunia hivyo, but can you claim the mountain to be part of kenyan soil kisa mnasemaga ni wenu?

Somalia ni taifa kubwa sana, mliingia kichwa kichwa huko kwa fake promise, ajabu hao waliowapeleka huko hata hawapo kuwatetea au kusema neno. Sasa mmebakiwa na kaeneo kadogo tu ka bahari...ila fresh tu na bandari si mnaachia wabeijing so sio mbaya.
 
Hahah ujinga ni wa kenya na baada ya kuona ujinga wao unawekwa peupe tena katika mahakama ya kimataifa ya ngazi ya juu kabisa kenya imeamua kuhepa hii kasi...ila bado maamuzi yatatolewa tu hata kama mmekimbia kesi.

Janja ya kuigawa somalia ime fail. Hoja ya msingi hapa ni umiliki. Nani mwenye hati miliki wa hilo eneo? Nani anatambulika kisheria kwa umiliki wa hilo eneo? Kenya iko na any piece of legal and authentic paper inayoonyesha hilo eneo liko upande wake? Mlichukua hilo eneo kwa maneno tu.. kama vile kusema mt.KLM iko kenya, mliweza kudamganya dunia hivyo, but can you claim the mountain to be part of kenyan soil kisa mnasemaga ni wenu?

Somalia ni taifa kubwa sana, mliingia kichwa kichwa huko kwa fake promise, ajabu hao waliowapeleka huko hata hawapo kuwatetea au kusema neno. Sasa mmebakiwa na kaeneo kadogo tu ka bahari...ila fresh tu na bandari si mnaachia wabeijing so sio mbaya.
Tony254 kw hizi pumba km ni mm hata nisingeliendelea nae
 
do not underestimate Somalia mkuu,hilo eneo kinajulikana ni la Somalia duniani kote
1)Kenya aliweza kuliingilia kufatia somalia kutokua na serkali kwa muda mrefu
2)hakuna beberu anaweza kuwekeza kwe hilo eneo kupitia kenya (hapa ndipo Somalia anapata nguvu)
3)kenya atalitoa hilo eneo haijalishi ni kwa machungu kiasi gani maana usalama wa kenya unategemea Somalia
4)Somalia ishapata raisi so inasikilizika na ina haki zote kama inchi ma inawashirika wake vilevile

▪︎kenya rudisheni eneo la watu,msiwacheleweshee wenzenu maendeleo kwa wivu wenu wa kishamba kutamani mafuta ya wenzenu
Kaka hizi ndio sababu za kumbeba somalia?
 
deni la mchina lazima lilipwe.. kibaya zaid reli waliyojengewa ni utopolo na anaeumia ni mwananchi.. viongozi wanaendeshwa na hela za serikali
hii 122.81 in Nairobi inatrend twitter, fatilieni muone


 
Boss si nilikuwekea hii link. Kwani hukusoma? Huoni mahali hapo pameandikwa "new pin registration?" Au kazi yako ni kupiga tu makelele lakini husomi kitu ninachokuwekea? Ukitaka pin mpya unabonyesha kidude kilichoandikwa "new pin registration."


View attachment 1725858
Halafu hi portal ingekua TZ tungesema imetengenezwa na wanafunzi
 
Boss si nilikuwekea hii link. Kwani hukusoma? Huoni mahali hapo pameandikwa "new pin registration?" Au kazi yako ni kupiga tu makelele lakini husomi kitu ninachokuwekea? Ukitaka pin mpya unabonyesha kidude kilichoandikwa "new pin registration."


View attachment 1725858
Alafu ujue kwetu una log in sehemu moja tu kupata huduma wao kwao mpka u search kila service kivyake
 
Halafu acha ujinga. Mambo ya account hats kunisogelea huwezi.
Also issue za TIN siyo masuala ya account.
Finally nitajie nchi gani inatumia PIN kwama Tax Identification number!?
Uganda, Rwanda, SA, China, UK, Russia, German etc waanatumia TIN
Kwn watu lazima wafanane, mbona nyie mumepima mapapai na mbuzi corona..
Nikikwambia unitajie nchi ambayo imepima mapapai corona utaziorodhesha hapa
 
do not underestimate Somalia mkuu,hilo eneo kinajulikana ni la Somalia duniani kote
1)Kenya aliweza kuliingilia kufatia somalia kutokua na serkali kwa muda mrefu
2)hakuna beberu anaweza kuwekeza kwe hilo eneo kupitia kenya (hapa ndipo Somalia anapata nguvu)
3)kenya atalitoa hilo eneo haijalishi ni kwa machungu kiasi gani maana usalama wa kenya unategemea Somalia
4)Somalia ishapata raisi so inasikilizika na ina haki zote kama inchi ma inawashirika wake vilevile

︎kenya rudisheni eneo la watu,msiwacheleweshee wenzenu maendeleo kwa wivu wenu wa kishamba kutamani mafuta ya wenzenu
Hilo eneo tulilichukua lini, lete ushahidi hapa..
We unafikiria jf ni sehemu kupiga vibao kata
 
Wacha ujinga. Unamaanisha nini unaposema Kenya haiwezi kushinda hii kesi, kwamba Somalia wana nguvu? Wana nguvu kivipi? Kisheria au kijeshi au kiuchumi? Hii ni Mahakama na the only thing that matters is the law. Ulitakiwa unieleze kisheria ni kwa nini unafikiri Somalia watashinda. Sio kuniambia kwamba Somalia wana nguvu, hata sisi tuna nguvu kuwashinda kijeshi na kiuchumi.
Subiri by jioni leo utapata hukumu!
 
deni la mchina lazima lilipwe.. kibaya zaid reli waliyojengewa ni utopolo na anaeumia ni mwananchi.. viongozi wanaendeshwa na hela za serikali
hii 122.81 in Nairobi inatrend twitter, fatilieni muone




Kama 2600 hivi aiseh
 
Back
Top Bottom