Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni Hali ya kawaida sana Kenya. When i was in Nairobi about a year ago, barabarani nilikuwa naona wakenya wengi tu wameshikilia mambango wanatafuta kazi. Yaani sijawahi kuona hii kitu Tanzania hata siku Moja.

Si wanasema kila kitu kwenye Mtandao? Au hapo ndio anapiga picha na kuweka kwenye Mtandao ili watu wengi wamwone? Au anatumia njia zote na za kienyeji.
 



EwcsvUuXIAAflZU


Inaonekana station Rooftop kuna eneo zuri linafaa kuwa Rooftop restaurant & Bar. Angalia hapo walipokaa.
 
duuuuhh||||| aliyekyzaa kapata hasara bora angezaa panya angesaidia kutafuna nguo za ndani
Basi hapo unajiona umeongea kitu cha mana kweli..
Kwanz nishakupuuza, sai nimekuweka katika lile kundi la wanenguaji
 
Service zote TZ ni za kielectronic.
Tumewaacha mbalino.
Nitakutajia service kibao.
Tanzania passport system is very simple.
You can aply popote.
View attachment 1725585
Mbona mnamfumo wa kizamani hvo, yani unajiingilia kw mtandao kijinga jinga tu wala hata account huna..

Sisi e-citizien account ukiingia ndani unakuta kila kitu ndani wala sio mambo na ku search
 
Ni rare sana. Tatizo ni kwamba inapofanyika lazima ifikie media. Hii niruhusu niite "media effect." Yaani jambo nadra likifanyika, media inaweza kui-amplify na kufanya watu wafikiri ni jambo common. Kwa mfano, watu wengi wanafikiri kuwa polisi wa Marekani wanauwa thousands of unarmed black men in America every year. Lakini ukiangalia data, utashangaa kuwa less than 200 unarmed black people are killed by police every year despite the fact that there are millions of interactions between police and black people. So watu 5 kwa mwaka wakishika mabango wote watarushwa kwenye media kwa sababu ni jambo nadra na linashangaza. Kama lingekuwa ni jambo la kawaida basi halingekuja kwenye media. When a dog bites you, that is not news (won't be written on newspapers.) But when you bite a dog, that is news ( It will be written on newspapers.)
First, if you haven’t experienced first hand systemic racism in the US then you have no right to say that it’s being blown out of proportion let alone speak anything about it! Let’s say your statistics (200 unarmed African Americans are killed every year) is true. That figure should be compared to that of unarmed White Americans killed by the police annually! Racism is all about relativity because that’s how you see that it is alive in the USA! Now let’s go back to Kenya. This whole issue has nothing to do with the media. It’s so common that I am not the only person who has witnessed it. You can try to hide what really goes on in your country but we know better!
 
First, if you haven’t experienced first hand systemic racism in the US then you have no right to say that it’s being blown way out of proportion let alone speak anything about it! Let’s say your statistics (200 unarmed African Americans are killed every year) is true. That figure should be compared to that of unarmed White Americans killed by the police annually! This issue is all about relativity because that’s how you see that racism is alive in the USA! Now let’s go back to Kenya. This whole issue has nothing to do with the media. It’s so common that I am not the only person who has witnessed it. You can try to hide what really goes on in your country but we know better!
Okay. You are free to believe whatever you want. No problem.
 
Kijani Ridge, TATU City

130935294_3632071993525186_4198169587361830794_o-jpg.840452








SHyXCgKh.jpg
4vZgfQth.jpg
H1V4UZSh.jpg




Wizara ya kukuza viwanda (Industrialization) imesema kulingana na takwimu zao ya makampuni yanayopanga kujenga viwanda Tatu City SEZ, Tatu city itakua na uwezo wa kuchangia hadi 10% ya uchumi wa Kenya. Viwanda 50 vipya vimejenga ndani ya miaka mitatu
GTkbpe4h.jpg
sNEJvXOh.jpg
LuXpxyRh.jpg


3Mya882h.jpg


CdblXE1h.jpg


wdehi3xh.jpg
 
Back
Top Bottom