Tanzania mlikua pia mnapanga kujenga miji mipya kama hio TATU City, iko wapi hivi? Hivi unajua ni nchi ngapi Africa zishawai kutangaza mipango ya kujenga city kama hizi na hazijawahi kujengwa?Hii ndio kitu mumejenga zaidi ya miaka 10😆😆 yani haijafkia hata 1% of render ya tatu city au nadanganya
View attachment 1725784View attachment 1725785
Somalia got independence in 1960 way ahead of u lazy asses! Original map!We jamaa unakazwa na wasenge wenzako nini, unaleta vitu ambavyo vinajulikana tayari. Mpaka wa somalia na kenya haupo straight, kenya na tanzania haupo straight, tanzania na msumbiji haupo straight sasa hapa point yako ni nini? Mgogoro kati ya somalia na kenya bado upo mahakamani unasikilizwa ex parte, maamuzi yakiwafavor somalia maana yake kenya pia anaweza kuishtaki tanzania. Sihalalishi uonevu nakwambia uhalisia kenya hawezi kuacha hilo eneo alafu aje aishtaki tanzania kama ikitokea ameshindwa sababu haiingii akilini. Na uache kutumia kutumia hisia kama mtoto wa kike.
Kijana nimekuuliza wapi mnasajili PIN. PIN is a Personal Identification Number. Ni sawa na Password.Changamwe interchange. Work going on at night.
View attachment 1725824
Tanzania ni Dar es Salaam pekee, chapa kwishaWanadhani ni moja.
Halafu, zile zinakuja Nairobi kwenye Nairobi express, Viaa duct over Langata na ingine hii ya upperhill zitakuwa ngapi mkuu??



.,matusi si jadi yetu hapa!!We jamaa unakazwa na wasenge wenzako nini, unaleta vitu ambavyo vinajulikana tayari. Mpaka wa somalia na kenya haupo straight, kenya na tanzania haupo straight, tanzania na msumbiji haupo straight sasa hapa point yako ni nini? Mgogoro kati ya somalia na kenya bado upo mahakamani unasikilizwa ex parte, maamuzi yakiwafavor somalia maana yake kenya pia anaweza kuishtaki tanzania. Sihalalishi uonevu nakwambia uhalisia kenya hawezi kuacha hilo eneo alafu aje aishtaki tanzania kama ikitokea ameshindwa sababu haiingii akilini. Na uache kutumia kutumia hisia kama mtoto wa kike.
Mambo....??? Kweli bana ee, vipi lakini unajidhalilisha??? Unasema mambo kwa interchange moja msalaba??? Haina mvuto wowote???Uhehehehhe kwamba tukiona tu scarveter popote tujue interchange 🤣🤣🤣 yani huo ndio ushahidi wako
nikupe ushauri kwa sasa mamabo ya three level iachie dar 😅😅😅😅
Nakuuliza tena bro is that even 1% of this render and i know tatu is over 13 good yrs just tel plz 🤣🤣👇👇👇👇👇Tanzania mlikua pia mnapanga kujenga miji mipya kama hio TATU City, iko wapi hivi? Hivi unajua ni nchi ngapi Africa zishawai kutangaza mipango ya kujenga city kama hizi na hazijawahi kujengwa?
Hivi unajua hata kabla ikamilike TATU city tayari inashikilia taji la kua the largest Industial zone in East Africa???
View attachment 1725795
Miaka kumi ni mda mchachce sana kujenga a whole new city kwa shamba ambalo lilikua limejaa kahawa, Hebu nionyeshe project kama hii ambayo mmeweza kufanyisha ndani ya miaka kumi kabla uanze kucheka wenzako..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Alafu ukumbuke TATU city ni mji unaojengwa na hela za kibinafsi (Private investment) yani kuendelea kwakwe ni kama wawekezaji wa kibinafsi watajipeleka pale wenyewe kwa hiari yao... Kwahivyo usifikirie ni rahisi au jambo dogo kwamba hadi sasa tayari kuna viwanda zaidi ya 70!
Good analysis lakini Watanzania watakupinga kwa sababu ya chuki yao kwa Kenya.
Asante kwa kutuonesha makaratasi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mambo....??? Kweli bana ee, vipi lakini unajidhalilisha??? Unasema mambo kwa interchange moja msalaba??? Haina mvuto wowote???
Checki, sijakataa kwa sasa tamba na hiyo, lakini makubwa yaja, tena kwa kasi.
View attachment 1725826
Boss unataka kunifunza kazi yangu? Hii pin ya KRA sio sawa na ile pin ya sim card yako au ATM card yako. Huku Kenya PIN ya KRA ni number ambayo ina-identify mlipa ushuru na kila mlipa ushuru ana number yake. Na ni public. By the way haijalishi kama inaitwa PIN, TIN, ZIN, FIN AU MAEMBE. Bora ni number unique inayo identify kila tax payer.Kijana nimekuuliza wapi mnasajili PIN. PIN is a Personal Identification Number. No sawa na Password.
When I say TIN is Tax Identification Number. Is public any one can know it but PIN is private. Ni namba ya siri.
Naona Kuna watu watajinyonga humu kwa ajili ya huu mradi wa dongo kundu phase two Mombasa, (changamwe interchange)zinajengwa usiku na mchana. usije kupata aibu kama ile ilokupata kwenye Nairobi expressway.
View attachment 1725815


So maisha yenu ni ya kishamba.Boss unataka kunifunza kazi yangu? Hii pin ya KRA sio sawa na ile pin ya sim card yako au ATM card yako. Huku Kenya PIN ya KRA ni number ambayo ina-identify mlipa ushuru na kila mlipa ushuru ana number yake. Na ni public. By the way haijalishi kama inaitwa PIN, TIN, ZIN, FIN AU MAEMBE. Bora ni number unique inayo identify kila tax payer.
Tazama mfano wa PIN certificate. Top right utasoma PIN number ya huyu tax payer
View attachment 1725846
PIN tunaisajili online. Kwenye website ya KRAKijana nimekuuliza wapi mnasajili PIN. PIN is a Personal Identification Number. No sawa na Password.
When I say TIN is Tax Identification Number. Is public any one can know it but PIN is private. Ni namba ya siri.
Nimekuambia unipatie link. Unanilitea verification ya PIN.PIN tunaisajili online. Kwenye website ya KRA
Sio lazima tuiite TIN kwa sababu nyinyi mnaiita TIN.So maisha yenu ni ya kishamba.
Badilikeni PIN is a Personal Identification Number.
Also nimekuuliza how do you get a PIN!?
Boss si nilikuwekea hii link. Kwani hukusoma? Huoni mahali hapo pameandikwa "new pin registration?" Au kazi yako ni kupiga tu makelele lakini husomi kitu ninachokuwekea? Ukitaka pin mpya unabonyesha kidude kilichoandikwa "new pin registration."Nimekuambia unipatie link. Unanilitea verification ya PIN.
Leta kitu kama hiki:
View attachment 1725854
90% ya nchi duniani zinatumia TIN USA wanatumia SSN kwa wakazi but kwa sio wakazi wanatumia ITIN Canada wanatumia TIN. Nitajie nchi gani inatumia PIN.Sio lazima tuiite TIN kwa sababu nyinyi mnaiita TIN.