Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumemaliza. Imetestiwa kwa mwili ya watu 1.2 million huko Israel na inafanya kazi. Hii vaccine ya pfizer iko very effective. Lakini hamuwezi kuiafford maana hamna hio pesa ya kununua.
😂😂😂😂utafkir nyie mnaweza kuinunua 😂😂😂😂😂😂
 
We kw kupinga hujambo
Kuna video mlileta hapa siku hyo, eti sijui mtaa gani umepanda bei kisa siku hzi hakuna vyuma vya 25k tsh nikuanza 30k..
Yani nilishangaa sana
Hata mimi nimeshangaa. Yaani hio Tsh 30k si ni ksh 1,500. Yaani rent huko ni cheap vipi? Yaani nyumba ni ya mawe na imepigwa rangi vizuri na ni ksh 1,500. Nairobi kurent nyumba ya mawe/matofali ni around ksh 4,500 kuenda juu.
 
Tumemaliza. Imetestiwa kwa mwili ya watu 1.2 million huko Israel na inafanya kazi. Hii vaccine ya pfizer iko very effective. Lakini hamuwezi kuiafford maana hamna hio pesa ya kununua.
hivi bado hamuamini Corona ni mtego?
 
Hata mimi nimeshangaa. Yaani hio Tsh 30k si ni ksh 1,500. Yaani rent huko ni cheap vipi? Yaani nyumba ni ya mawe na imepigwa rangi vizuri na ni ksh 1,500. Nairobi kurent nyumba ya mawe/matofali ni ksh 4,500 kuenda juu.
Tony umenifurahisha, ati nyumba ya mawe, so huko nyumba za bati nazo ni for rent!?
 
Hata mimi nimeshangaa. Yaani hio Tsh 30k si ni ksh 1,500. Yaani rent huko ni cheap vipi? Yaani nyumba ni ya mawe na imepigwa rangi vizuri na ni ksh 1,500. Nairobi kurent nyumba ya mawe/matofali ni ksh 4,500 kuenda juu.
duuh yani mmeziclasfy kabisa 😂😂😂😂😂😂 eti mawe na tofali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Geza Ulole wewe ndio ulisema kwamba mradi wa umeme wa Ethiopia wa Gerd hautakamilika? Wahabeshi wameamua kukamilisha kwanza the first two turbines na kuzilaunch this year. Each turbine has a capacity of 375 MW. Progress ya nyumba ya turbines ndio hii hapa
Eu-2Pk0XEAQUue4.jpg


Ujue ujenzi wa nyaya za umeme kati ya Kenya na Ethiopia umekamilika.
 
Huo mradi haujaisha tu
Wamekuwa wakisumbuliwa na Egypt sana. Wanajenga mradi wa $4.5 billion (6,000MW) kwa pesa yao ya ndani kwa sababu hakuna benki yoyote inayoweza kuwakopesha. Mama mboga na wamachinga wa huko ndio wanachangia ile pesa kidogo wanayo. Ila wamepiga hatua kubwa maana turbines mbili zitaanza kuzalisha umeme mwaka huu. Turbines zingine na nyumba za turbines zingine zitaendelea kujengwa polepole lakini hizi hapa chini mbili ziko karibu kukamilika.
Eu-2Pk0XEAQUue4.jpg
 
Tumemaliza. Imetestiwa kwa mwili ya watu 1.2 million huko Israel na inafanya kazi. Hii vaccine ya pfizer iko very effective. Lakini hamuwezi kuiafford maana hamna hio pesa ya kununua.
Kwani ile iliotestiwa mpaka watu wakazima ilitestiwa kwenye miili ya wanyama au??😀😀
 
Nice one ila mradi upo slow, bado hawaja-install Francis Turbines! pili sioni power substation sioni!

2-A-view-of-the-Francis-turbine-ref-Kvaerner-Brug-AS.png



68f752f94355bba00163c0495f0bfbbb.jpg
Turbines zimeshaagizwa na zitawasili soon maana mwaka huu lazima wafunge turbines mbili na zitazalisha 375 MW × 2 = 750 MW.


Halafu mimi sio engineer bali najua kwamba hili shimo hapa chini ndipo ambapo turbine itashushwa. 👇 👇 👇
Eu-2Pk0XEAQUue4.jpg

Power substation walishajenga zamani sana.
 
Back
Top Bottom